Magwiji wa IT wazifutilia mbali acount za kimbeya inster imo na ya mwana dada mange

Wanaume wa dar kwa umbea hamjambo!!
 
Nimeumia sana nimefedheheshwa sana na kupotea kwa Account ya Mange Kimambi kwa hali hiyo kuanzia sasa bila kushurutishwa na mtu yoyote nimeamua kujitoa Instagram kwa sasa.
 
Poa naona dada yake mange umekuja kutoa taarifa
 
Inashangaza sana!Kumkosa Mange kuna mtu analalamika sana kama vile kanyimwa unyumba mwaka mzima!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…