Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Biashara wanafanya sana na mswahili ila kwa kuwapiga sasa ni nadra sana kupata waaminifuWapi ushawahi Ona msomali anafanya biashara na mswahili....
Msomali ni wao kwa wao tu......
Ova
Huyu jamaa ananunua hapo Opal kutoka kwa hao Aussies yuko Australia hapo na ofisi yake amewapa $7000 kwa mzigo mdogoKwa sababu wenyewe vyanzo vyao vya hela ni 4---- foooo rafu wanazijua sana
Ova
Naona unanisoma tu hili u reply wala sio kuelewa, ni wapi nimesema kwamba mimi nimekaa tu nasubiri msaada? Hujaona sehemu nimekwambia hadi mimi kufikia hatua ya kumpigia hodi my bro ilikuwa ni baada ya jitihada zangu binafsi kukwama?
Kwa hizi comments zako natumai wewe ni mtu mwenye mafanikio sana na katika safari yako hujawahi kusaidiwa hata kidogo katika maisha yako na ndio maana unaniona mimi wa maajabu. Ni kweli ujamaa ni mfumo wa kizamani kwenye mazingira sahihi ambayo ni rafiki na mifumo mingine tofauti na ujamaa.
Haya nimekuelewa ndugu.My point is, umekosa huo "msaada" sehem uliyotaka, kwahiyo unafanya nini, unakufa? Unakaa chini unalia kama mtoto mdogo? Unaacha wazo lako life? Mtu anayetakiwa kulifanya wazo lako lifanikiwe ni wewe, siyo ndugu yako. Man up and move on. Acha kukaa ukiwaza wengine wanamiteremko kwa sababu aaabeechee, unaonekana wa ajabu kukaa ukilialia mitandaoni kumlaum "blaza" wako. Sina mafanikio ya kihivyo ndugu mi naganga tu kama mwananchi wa kawaida, lakini sijawahi kumtegemea mzazi wala ndugu zaidi ya kulipiwa ada mwisho A-Level, chuo nilijilipia, nimiaka ishirini iliyopita lakini sijawahi kuwasilisha shahada yangu popote kuomba kazi wala sijaomba mtaji kwa jamaa yeyote kwa sababu siamini katika ujamaa! Acha kushinda nyuma ya keyboard, toka nje ya huo mji ujifunze maisha.
Yeah ni kweli lakini hata wakioma huwa hawaaminiki kiasi cha kupewa kazi nzuri na nyeti....ukimkaribisha msomali mmoja basi watakuja Mia moja kupitia mgongo wake tu.Yaani nimetembea nchi zaidi ya 20 sijawahi kuona msomali anaomba omba yaani utawakuta ni mishemishe ya utafutaji tu
Nimewaona kila mahali na wakiamua kubukua wanakipaji ila wengi ni biashara tu
Wana vipaji sana na wako sharp sana
Kwa kweli sijajua unazungumzia nchi gani maana nimeishi nao kila sehemuYeah ni kweli lakini hata wakioma huwa hawaaminiki kiasi cha kupewa kazi nzuri na nyeti....ukimkaribisha msomali mmoja basi watakuja Mia moja kupitia mgongo wake tu.
Hata wakifanikiwa vipi kimaisha uharamia hawaachi, Yaani naweza Sema hawa ndio Black Jews wenyewe Sema kupatikana Afrika ndo imewa cost sana.
CC aiseAisee
Wasomali na waethiopia ni Kama Wana nusu ya damu ya waesraeli kwa hyo hata thinking capacity yao haiwezi kuwa sawa na wasomi wa jalalani.Wasomali ni damu nyingine, acha kabisa hao jamaa, angalia ,,the pirates of Somalia" ndo utaelewa!
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watoto wa Baba hao
Hata Darfur wapo ukienda Mosul utawakuta wana hotel
Torabora wana malori ya kubeba chakula cha UN kwa ajili ya walioathirika na vita
Yaani kama ni survival hawa jamaa hawanaga msalie
Nyie kaeni vijiweni mjadili nani mganga mkali wa kukupa utajiri wakati yeye mwenyewe akitegemea mali yako ili aishi
Kwa bongo sio rahisi hata kuandamana barabarani tu hawawezi wakiambiwa watachakaa tu wanaghairi na kukimbia.Sasa kwann na sisi wabongo tusigonge upaireti mkuu? Geti richi bai ene minsi nesesare wanasema wenyewe…
Ila Kuna kingine pia nimegundua kwamba ukitoka nje ya nchi yako unakuwa na exposure na added advantages nyingi either iwe kibiashara au kikazi kuliko ukiwa ndani ya nchi yako otherwise labda uwe fisadi au tapeli.Akili za wabongo zitaishia kusema wanapata fedha kutokana na ugaidi au pirates hatuendi mbali zaidi ya hapo na hapo ndipo wenzetu wanapotuacha, fursa zipo nyingi ila hatuzioni wao wanakuja kutoka kwao kwenye matatizo wanapofika huku wanapiga fedha tu.
Hapo umeongea sana mkuu wenzetu akifanikiwa mmoja utajiri anausambaza kwa wenzake lkn huku kwetu akifanikiwa mmoja anakausha hawaongozi njia wenzake.Unacho sema ni kweli. Jamaa wana pambana sana na wana Umoja sana nazani Umoja wao ndo siraha inayo wasaidia.
Nchi yao inaweza kuwa chini kutokana na majanga ya asili na ndio maana wakatumia njia mbadala ya kwenda kwenye nchi za watu waliozubaa na kutusua.Kama hao wasomali wako wana "kipaji" mbona nchi yao ni shithole?