Mahad Nur: Msomalia Wa City Mall na Victoria Plaza, Vijana wa Kitanzania tuko wapi?

Wasomali hawana kodi kama huku dubai hawana ushuru wowote wa port.huwa wanakuja na meli zao chakavu wanapakia bidhaa kiasi wanachohitaji bila kodi aina yoyote(exempted)kisha wanaondoka!
Jamaa wana roho ngumu wale wanaweza kusafiri na MV LIEMBA hadi marekani.
 
Hahahaaa,nimecheka kweli.MV LIEMBA mpaka Marekani inaweza tumia miaka 100.
 
Vijana wa Tanzania acheni kuangalia huyu ana nini yule ana nini! tumieni ubongo wenu kuwa wajasiriamali! hawa lazima walianza chini mpaka wakafika hapa!

Tanzania ni nchi ilobarikiwa na rasilimali nyingi sana tumieni rasilimali zenu mtafanikiwa!
 
Yes halafu wana ushirikiano mno. Kitu ambacho sisi hatuwezi

Ni kweli hawa jamaa wana ushirikiano mno,hata jumuia zao nchi za nje iwe marekani ama UK au South Afrika zina nguvu sana, wanapeana kampani ile mbaya,ndio maana nchi yao ni robo karne sasa wanatwangana lakini wananchi wake hawana shida kiviile kwa kuwa waliopo nje wanatuma sana pesa nchini kwao na kenya kwa kutumia utaratibu wao wanaouita Hawala,wanatuma pesa nyingi sana mpaka serikali za marekani na Uingereza wakaufungia huu mfumo kwa kudhani kama ndio mfumo unaofadhili ugaidi kumbe ni mfumo wao wamaisha kusaidiana kwa walio nje ya nchi kuwapa kampani wale waliopo nyumbani afrika.
 
Kama ilivyo Tanzania sio wote ni maskini same to Somalia,,, maskini na matajiri wapo wengine hadi wanajiuza Kampala kwa wingi,,,,, matter of fact Somaliland, puntiland wako na usalama na bandari kubwa za 350000+ containers per year,,, Somalia-mogadishu ndio wanakiamsha.
Hivyo, hao jamaa wana kila sababu ya kutajirika
 
Hujui usemalo wewe,, kimada wa Museveni huyo.
Mzee, This is Africa
 
Huwajui wasomali,,, wanapenda starehe balaa,, ni malaya kuanzia wanawake hadi wanaume na maskini ni wengi... Kwa ufupi ni binadamu wengine kama sisi..
 
Warudishwe kwao wanabana nafasi za ajira
Ama kweli wewe ni hasidi na mjinga, hao ndio wanaotengeneza ajira, kila familia ya kisomali inaajiri wafanyikazi wawili wa nyumbani, kila mfanyi biashara anaajiri sio chini ya wanne, kama hawa vijana waliotajwa hapa wameajiri watu wengi kuanzi makuli hadi wahesabu na mameneja, sio kama wahindi wanaoleta wafanyakazi kutoka India ama huwaajiri wahindi wenzao waliozaliwa hapa.

Wasomali hawana ubaguzi ni waafrika wenzatu.
 
Ni kweli kabisa nimekutana na wadigo na wasambaa uingereza walipewa sheria ya ukimbizi na sasa ni wananchi huko, wamejipa kama wasomali.
 
Wale woote ambao wako chini ya miaka 40, mjitahidi kufanya set-up ya kibiashara ili familia baadaye ziwe na family business na sio kupiga blah blah hapa..
Ukimsikiliza jamaa anaeleza kabisa walikuwa na business Mogadishu kabla ya vita na ilikuwa furniture business na material walitoa Tanzania, hii ilikuwa family business ya baba zao au babu zao kutokea hapo ndio set-up ilifanyika..

"Tanzania is blessed"
 

Wana backup ya ndugu zao walio ulaya na america na hao ndio wanahisa.
 
Huwajui wasomali we kiazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…