Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Ma-future jobless wengine wameingia mtaani

Hao hakuna jobless hapo. Huyo wa uhandisi anapewa kazi udsm kama tutorial assistant. Huyo wa accounting big 4 auditing firms ambazo ni kpmg , pwc, ernst & young, na delloitte zimeshampa kazi. Hakunaga best student wa accounting wa udsm ama mzumbe anaekosa kazi miaka yote.

Kazi tunakosa kina sisi na gpa zetu za kuchechemea. Sio hao
 
Hawana chura wote. kibongo bongo watazidiwa mafanikio na felia mmoja mwenye kalio kubwa.
 
Nimempenda irene..kanaonekn kana aibu sn 6Γ—6
 
Hawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi😁😁😁
Una upungufu wa unyevunyevu wa adabu kwa wadada wa mujiniπŸ˜‹
 
Hawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi😁😁😁
kama huna pesa ni matatizo palepale tu wanawake wanataka kuhudumiwa hata akiwa waziri bado huduma utatoa wewe kidume ata kama ni mwalimu wa primary
 
Kuna wapuuzi wanasema gpa kapewa kwa papuchi.


Hivi udsm unaweza pata first class kisa unahonga papuchi. Hiyo papuchi utahonga watu wangapi? Maana mfumo wa udsm unahusisha watu wengi sana kila sehemu
Kweli mkuu
 
Ila isije ikawa sehemu binafsi zimeumizwa vibaya in the process πŸ€·πŸ½β€β™‚οΈ
Akiwa na GPA kubwa kapewa, Akifeli hana uwezo, Akiwa na simu/gari kali kuliko yako basi kuna jamaa kampa tu, Familia yake ikisimama vizuri basi ni mume wake ndie anemsaidia vinginevyo hamna kitu, Akivaa vizuri anadanga, akiwa Raisi ni Katiba tu yeye hamna kitu. 😊
😊 hizi ndo habari za vijiwe vya kiumeni.
 
Hawa ndio wanatakiwa wajiunge kwenye majeshi yetu kama vile polisi, jwtz, magereza, wazee wa suti nyeusi ili kuleta weledi kwenye majeshi
Waje jeshini tena πŸ˜‚
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ .Yani binti kang'aa vile kina nanii si watakuwa wanauana , wawaulize wenzao na wao pia yawezekana walienda kwa muujibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…