Gibeath-Elohimu
JF-Expert Member
- Jan 5, 2014
- 487
- 700
Watoto wanajua kunana nazi yaani au sio,sasa shida ya vile vya uswahili haviji elewi....japo nimekupata kamanda.Kweli Hao Ndio wa kuwaoa ila kwa mm npo kushoto Sana nawapendaga wale wa uswahilini dah wanavyojiachiaga daah naskiaga raha kweli kweli Yan dahh
Wanawake wanatukimbiza safari hiiLeo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.
Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,
Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.
Naona watani Chagga vs Pare
Hongereni sana
View attachment 1976838
View attachment 1976857
Inategemea Mimi kipindi hiko nilisoma na dada mmoja huyo mzuri na kichwa kweli kweli ila sasa hawezi kukaa sawa bila kupigwa pampu yaani akipata hiyo hata mjitahidi vipi hammpati kwa Marks...hali hile ilikuwa inamfanya awe na wapenzi wengi walimu na wanafunzi Hadi wa o-level ila mwishowe paper ya necta alikuwa best student kwa shule mzima advance hiyo .Hilo wala sijakataa.....Ila ukweli unabaki pale pale papucha za wanawake wanaojitambua(wasomi genuine) nyingi ziko salama,Ila wale wengine sasa.....hatareee,Moto fayaa yaani.
Sasa tufanyeje, ndio hivyo yaani 😂😂😂Akiwa na GPA kubwa kapewa, Akifeli hana uwezo, Akiwa na simu/gari kali kuliko yako basi kuna jamaa kampa tu, Familia yake ikisimama vizuri basi ni mume wake ndie anemsaidia vinginevyo hamna kitu, Akivaa vizuri anadanga, akiwa Raisi ni Katiba tu yeye hamna kitu. 😊
😊 hizi ndo habari za vijiwe vya kiumeni.
Ila tusisahau tu kwamba ipo tofauti kubwa kati ya ufaulu wa darasani na utendaji kazi ofisini.Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.
Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,
Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.
Naona watani Chagga vs Pare
Hongereni sana
View attachment 1976838
View attachment 1976857
hahahaaaaa una GPA ya sisimiziHongera zao sana 4.7 si mchezo kabisa tunaita Beauty with brain, imebidi nirudi kuchungulia GPA yangu aah acha nitulie tu na haka kagentleman kangu😂
Sio lazima..mi nnachokumbuka nlipiga GPA kama ya mzee kikweteAcha maneno mengi weka cheti boss
Hii case yako ni ya danga/changudoa la mitihani......alikuwa anauza papuchi ili afauli au avijishiwe mitihani....hii ni totfauti na wasomi genuine,tujaribi kutofautisha hapa mkuuInategemea Mimi kipindi hiko nilisoma na dada mmoja huyo mzuri na kichwa kweli kweli ila sasa hawezi kukaa sawa bila kupigwa pampu yaani akipata hiyo hata mjitahidi vipi hammpati kwa Marks...hali hile ilikuwa inamfanya awe na wapenzi wengi walimu na wanafunzi Hadi wa o-level ila mwishowe paper ya necta alikuwa best student kwa shule mzima advance hiyo .
Msangi ndio pare mkuu, msengi ni mnyiramba japo sio issue kurelate ufaulu na ukabila, inaonekan mleta mada hakujiandaaMsengi Pare Meela Chagga
Wakati wa kuchagua mke unatakiwa utambue watoto huchukua 80% ya akili za mama zao .sasa wewe nenda kaoe Tako uone watoto utakaofyatua akili zao zitakavyokuwa topeHawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zako hazijatembea kilomita nyingi[emoji16][emoji16][emoji16]
Bsc in astronomy engineering.Alisomea Kada gani[emoji23][emoji23][emoji23]
UK*m mtupu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bsc in astronomy engineering.
Njoo nikuoe uone kama utaleta fyoko yoyoteMataga kwasababu elimu zenu za kubumba bumba lazima muogope kuoa wasomi.
Wewe ndio bado mdogo,We Bado mdogo,hujajua kucheza na mfumo dume ,makaratasi yake mwisho getini akiingia ndani ni mwendo wa ndio baba tu,kwanza lazima umformat kabisa yaani unaweka window yako mpyaaa
Acha woga basi😂 weka mambo waziWee gentleman GPA zinajulikana tu😂