Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,430
[emoji23][emoji23][emoji23]poleni sanaHao hakuna jobless hapo. Huyo wa uhandisi anapewa kazi udsm kama tutorial assistant. Huyo wa accounting big 4 auditing firms ambazo ni kpmg , pwc, ernst & young, na delloitte zimeshampa kazi. Hakunaga best student wa accounting wa udsm ama mzumbe anaekosa kazi miaka yote.
Kazi tunakosa kina sisi na gpa zetu za kuchechemea. Sio hao
Umakimbizwa peke yako boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wanatukimbiza safari hii
Ni kwl, lHongera zao sana, hakika walitia bidii sana ndio maana wamepata ufaulu huu, tuna tumaini kwamba watatusaidia kwa kiasi kikubwa ktk shughuli za maendeleo kulingana na taaluma zao.
Sasa apa tuelewe ipi,au Ni miaka tofautitofaut!??.
Wewe umeolewa!?Ukioa hao utapata tabu sana!
Akili zao za kwenye vitabu wanataka walete hadi kwenye ndoa.
Sasa ndoa ukiiendea hivyo lazima ikupige chini
Pamoja na wewe mkuu, maana sijqkuona kwenye hiyo list ya wanafunzi boraUmakimbizwa peke yako boss[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ππππππHawa ndo wakuoa sasa...sio makima yanayojua kudanga tu na kupiga vizinga...toto zina akili hizo nadhani hata papuchi zao hazijatembea kilomita nyingiπππ
Huyo ndio best ya kozi zote udsmSasa apa tuelewe ipi,au Ni miaka tofautitofaut!??.
Sisi wa chato tupo wapiLeo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.
Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,
Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.
Naona watani Chagga vs Pare
Hongereni sana
View attachment 1976838
View attachment 1976857
Labda ya mapenziMasha love mbona ana GPA ya 4.9
Hahahaaaa limelegea lakini inaonaBonge ya jicho
π€£πHahahaaaa limelegea lakini inaona
Hivi wanaume mbona hatupo hapo daaah aisee inauma sana ngoja nilipize huku chuoni kwangu π€π π π π πLeo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.
Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,
Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.
Naona watani Chagga vs Pare
Hongereni sana
View attachment 1976838
View attachment 1976857
Nashangaaa wanaume wapo wapi hata A level ni mademu tu ndo T.o au samia anafanya lake jambo sio eeeeh π π‘Wanawake kwasasa wapo juu sana ,imagine dada amepiga GPA 4.7 Bsc in Chemical processing.
Woiii kaishia la 2 hilo hata kwenye familia yake hamna msomi GPA hiyo uende kudanga na kupangishiwa nyumba na mondi ulisikia wapi hiyo acha ulofa mkuuu π©Masha love mbona ana GPA ya 4.9
Hata mimi naona hilo japokuwa wanaakili inavyoonyeshaIla isije ikawa sehemu binafsi zimeumizwa vibaya in the process π€·π½ββοΈ