Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Mahafali UDSM: Hawa ndiyo Wanafunzi wa Kike waliopata ufaulu Mzuri

Hao hakuna jobless hapo. Huyo wa uhandisi anapewa kazi udsm kama tutorial assistant. Huyo wa accounting big 4 auditing firms ambazo ni kpmg , pwc, ernst & young, na delloitte zimeshampa kazi. Hakunaga best student wa accounting wa udsm ama mzumbe anaekosa kazi miaka yote.

Kazi tunakosa kina sisi na gpa zetu za kuchechemea. Sio hao
[emoji23][emoji23][emoji23]poleni sana
 
Huyu ndio mwanafunzi Bora kwa wote

Overall best student

InShot_20211021_124819943.jpg
 
Hongera zao sana, hakika walitia bidii sana ndio maana wamepata ufaulu huu, tuna tumaini kwamba watatusaidia kwa kiasi kikubwa ktk shughuli za maendeleo kulingana na taaluma zao.
Ni kwl, l
akn pia kumbka kuw ufaulu wa mitihan mara nying haiendi sawasaw na utendaj wa taaluma zao.
 
Mungu akuwezeshe utumie hiyo akili kuchakata mazao yetu tutumie sisi wenyewe na vingine tuuze nchi za nje.
 
Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Sisi wa chato tupo wapi
 
Hawana mambo mengi kimuonekano

Hongera zao[emoji91][emoji91]
 
Leo katika Mahafali ya UDSM, Hawa Mabinti ndio Wamekuwa Wanafunzi Bora Kupita wanafunzi Takribani Elfu 4 na wote wamepata GPA ya 4.7.

Wa Kulia anaitwa Bi Irene Cristopher Msengi aliyefuzu Digrii ya Awali ya Biashara katika Uhasibu,

Wa kushoto anaitwa Bi Edina Davis Meela aliyefuzu Digrii ya Awali ya Sayansi Katika Uhandisi Kemikali na Usindikaji.

Naona watani Chagga vs Pare

Hongereni sana

View attachment 1976838
View attachment 1976857
Hivi wanaume mbona hatupo hapo daaah aisee inauma sana ngoja nilipize huku chuoni kwangu 🤔😠😠😠😠😠
 
Back
Top Bottom