Mahakama inaweza kukulazimisha kujibu swali lolote bila kujali kiapo ulichokula cha kulinda siri

Mahakama inaweza kukulazimisha kujibu swali lolote bila kujali kiapo ulichokula cha kulinda siri

Mishenyi

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2019
Posts
464
Reaction score
748
Sheria ya kulinda siri ina sehemu inazokuzuia kuropoka siri za taasisi yako unayofanyia kazi,,,sehemu hizo ni kama ukiwa baa, sokoni,msikitini,kanisani,kwa mchepuko nk, ukiwa sehemu hizo ikaropoka mambo kwa mfano ya Jeshi utaadhibiwa vibaya sana

Ila linapokuja swala la mahakama,utajibu kila swali unaloulizwa bila kujali kiapo ulichokula jeshini au taasisi nyingine hii ni kwa sababu ukikataa kujibu unatishia mazingira ya upatikanaji wa haki ya mwingine hivyo Bw Urio alijichanganya tu!!! Jaji/hakimu ndo anaweza kupima maswali na kuamua swali gani lisijibiwe.
 
Sheria ya kulinda siri ina sehemu inazokuzuia kuropoka siri za taasisi yako unayofanyia kazi,,,sehemu hizo ni kama ukiwa baa, sokoni,msikitini,kanisani,kwa mchepuko nk, ukiwa sehemu hizo ikaropoka mambo kwa mfano ya Jeshi utaadhibiwa vibaya sana

Ila linapokuja swala la mahakama,utajibu kila swali unaloulizwa bila kujali kiapo ulichokula jeshini au taasisi nyingine hii ni kwa sababu ukikataa kujibu unatishia mazingira ya upatikanaji wa haki ya mwingine hivyo Bw Urio alijichanganya tu!!! Jaji/hakimu ndo anaweza kupima maswali na kuamua swali gani lisijibiwe.
😝😝😝😝😝Bwana Urio saa hizi atakuwa anatembea kwa kapani.
 
Back
Top Bottom