Mahakama itamleta IGP Sirro na Sabaya Mahakamani kama ilivyoombwa na Wakili Kibatala

Mahakama itamleta IGP Sirro na Sabaya Mahakamani kama ilivyoombwa na Wakili Kibatala

Yeye anawataka wawalete hao kama nani? Ni maamuzi ya anayeshtaki kuamua ni shaidi gani amlete ili ku prove fact gani. Asije akawa kiherehere wa kuwaelekeza prosecution wata prove vipi kesi yao. Mzigo wa ku prove (onus probandus) upo kwa jamuhuri na tayari wamekwisha kujiandaa kwa hilo
Hajasema waje upande wa jamhuri, anataka waje upande wa utetezi.
 
Kuna thread ya IGP Sirro kuongea kuhusu Freeman Mbowe nliwahi kusema kwamba IGP na Ole Sabaaya wataletwa mahakamani kwa maombi ya upande wowote ule, iwe upande wa mashtaka au utetezi.

Nikasema siku hio namuonea huruma sana IGP Sirro kwa maswali atakayokutana nayo kutoka kwa Kibatala and Co. Atajuta kwanini alifanya ile press conference siku ile.

Ole Sabaaya ushahidi wake hautakuwa na mashiko kwa kuwa na historia ya kutenda makosa ya jina - Mhalifu (Criminal Record).

Yametimia sasa.
uliona mbali sana comrade.
 
Kwa nini IGP aende kutoa ushahidi? Hii kesi ina kila ishara ya kufukua makaburi. Kufumua makaburi kunapingana na kanuni za usalama,ambapo mambo mengine yanapaswa kuwa classified.
 
Wakili Peter Kibatala kwa niaba ya jopo ameiomba Mahakama imlete IGP Sirro na Ole Sabaya kuja Mahakamani kutoa ushahidi katika kesi ya Freeman na wenzake Aidha.

Pia Washtakiwa watatu wamekataa maelezo yaliyosomwa Mahakamani hapo na kusema sio maelezo waliyotoa.

Je, Mahakama itaridhia na kumuita IGP kuja kuhojiwa na kina Kibatala, kuna uwezekano wa Sabaya pia kuletwa kwa maombi hayo?

Kuna mambo mengi kwenye hizi kesi mbili.

N anweka Mkeka (Mechi hii haina Sare) kuwa Aidha SABAYA au MBOWE mmoja anakula mvua ya kutosha.

Kazi na iendelee!
Hivi mnalipwa on the basis of number of threads posted? Maana naona unapost thread Kama 100 a day.
 
Kwa nini IGP aende kutoa ushahidi? Hii kesi ina kila ishara ya kufukua makaburi. Kufumua makaburi kunapingana na kanuni za usalama,ambapo mambo mengine yanapaswa kuwa classified.
Akuanzaye unammaliza
 
IGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.

Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.

Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.

Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali.
 
IGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.

Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.

Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.

Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
Wewe nyamaza mambo makubwa kama haya huwezi kuelewa
 
Mbona simple tuu mkuu, igp ni msimamizi wa operation zote za jeshi la polisi na mkuu wa wilaya ni mkuu wa usalama wa sehemu husika, hivyo wanapaswa kuthibitisha kama walikuwa na ufahamu wa hii operation ya akina kingaii.
 
Mbona simple tuu mkuu, igp ni msimamizi wa operation zote za jeshi la polisi na mkuu wa wilaya ni mkuu wa usalama wa sehemu husika, hivyo wanapaswa kuthibitisha kama walikuwa na ufahamu wa hii operation ya akina kingaii.
Ndio utetezi wenyewe huo?!

Basi sawa.
 
sasa hujaelewa nini hapo? kwani wao wanakinga ya kutoitwa mahakamani??? hapo wameitwa kuja kutoa ushahidi na wataenda kwa mujibu wa sheria
IGP ni msimamizi mkuu wa usalama wa raia na mali zao.

Ole sabaya ni jambazi aliyehukumiwa kwa unyang'anyi wa kutumia silaha.

Sasa, nilimsikia wakili Peter Kibatala akidai hawa wawili watakuwa ni miongoni mwa mashahidi wa upande wa utetezi.

Aliyemuelewa Kibatala anifafanulie Tafadhali!
?
 
Imekaa vizuri.

1) IGP alisema kwenye vyombo vya habari kwamba Freeman Mbowe ni Gaidi, alitaka kufanya ugaidi. Alienda mbele kumshutumu (Sio kumsadiki) na kumhukumu mtuhumiwa hata kabla ya kufikishwa mahakamani.

Hivo ni muhimu wa yeye kuletwa mahakamani ili atueleze na kutuweka sawa;

● Juu ya ufahamu wake dhidi ya Freeman Mbowe kuwa gaidi. Na atueleze kwanini alimshutumu na kumhukumu kwenye vyombo vya habari kwamba Freeman Mbowe ni gaidi kinyume na "Presumption Of Innocence (Everyone Is Pressumed To Be Innocent Until Proved Guilty Before A Court Of Law)" - Kila mtu hana hatia ya kosa lolote mpaka pale itakapothibitishwa mbele ya mahakama.

● Atuweke sawa kwanini kwa utemi, ukaidi, ujeuri, mabavu yeye kama IGP aliongelea kwenye vyombo vya habari swala hilo wakati akijua sheria haitaki swala kama hilo la kimahakama na kitafia kuongelewa mbele ya vyombo vya habari. Kwasababu, mahakama ndio ina kazi ya kumhukumu mtuhumiwa, na yeye kama IGP ana ushawishi mkubwa kwa asakari police wake wa chini hivo inaweza kupelekea swala hilo askari police tanzania nzima kumhukumu Freeman Mbowe na kusababisha haki isitendeke.

● Atueleze, yeye kama IGP kwanini aliruhusu vijana wake kuwatesa watuhumiwa kana kwamba wana hatia. Na aliruhusu vijana wake kuvunja sheria pindi wanakwenda kuwakamata watuhumiwa. Na kwanini yeye kama IGP ana ruhusu jeshi la police kuwa na askari vilaza, viazi, mbumbumbu wasiojua hata kusoma CPC wala PGA.

● Pia atuimbie ule wimbo usiokua na kiitikio wa PGA na CPC. Kama vijana wake waliotangulia kabla yake.

2) Ole Sabaaya ni jambazi lililo thibitishwa mbele ya mahakama. Anahitajika kutumika kama chambo, kwasababu yeye ndio aliasisi kukamatwa kwa watuhumiwa. Sasa inabidi atujuze aliwahi kuona wapi "MHALIFU AKAENDA KUMKAMATA MHALIFU".

NINA MENGI SANA YA KUANDIKA, ILA. . . .
 
Back
Top Bottom