Kiongozi wa dini aliye muomba Mh. Rais amfutie kesi Mbowe na wenzake ni kosa kwa mujibu wa sheria kwa kuwa ameingilia mchakato wa mahakama ktk kutoa haki.
Tamko la kiongozi huyo wa dini limeonyesha wazi kuidharau mahakama na kuingilia taratibu za mahakama.
Kiongozi huyo wa dini anafahamu wazi kuwa kesi hiyo ipo Mahakamani na inaendelea kusikilizwa na ni kosa kuizungumzia kesi iliyoko Mahakamanii lkn kwa maksudi kabisa Kiongozi huyo wa dini akaamua kutamka neno hilo la kuvuruga na kuingilia utaratibu wa mahakama.
kitendo hicho sio tu kaidharau Mahakama bali ameidhihaki na kuiona mahakama si chochote sio lolote, hivyo endapo mahakama haitochukua hatua ktk vitendo/kitendo kama hiki basi Mahakama itakuwa sio chombo cha kutoa haki.
Kama leo Vingozi wa dini wanadiriki kuto kuheshimu Muhimili wa Mahakama kwa kuomba eti Rais mfutie kesi Mbowe basi tutegemee siku nyingine pia wataomba Pia Sabaya afutiwe kesi. Tutavuruga nchi yetu kama hatuto heshimu utawla wa sheria.
Viongozi wetu wa dini tunawaonba wawe makini na matamko yao ambayo yanaweza kuleta utata na kuvuruga taratibu za nchi, wajiepushe kujiingiza kwenye mambo ya kisiasa wazi wazi kwani watatugawa sisi waumini wao, lengo la viongozi wa dini ni kutuunganisha sio kutugawa kwa misingi ya kisiasa, kama tunavyo muona baba askofu wamkula na wengine ambao mara zote wanatugwa kwa misingi ya kisiasa.
Hivyo ili kulinda uhuru na hadhi ya mahakama ni vyema Kiongozi huyo wa dini akamatwe na afikishwe mbele ya mahakama ili aweze kujibu tuhuma za kuingilia na kudhihaki taratibu za Kimahakama.
Utawala wa Sheria lazima uheshimiwe kwa kuviheshimu vyombo vyetu vilivyo pewa mamlka kwa mujibu wa Katiba.
Tamko la kiongozi huyo wa dini limeonyesha wazi kuidharau mahakama na kuingilia taratibu za mahakama.
Kiongozi huyo wa dini anafahamu wazi kuwa kesi hiyo ipo Mahakamani na inaendelea kusikilizwa na ni kosa kuizungumzia kesi iliyoko Mahakamanii lkn kwa maksudi kabisa Kiongozi huyo wa dini akaamua kutamka neno hilo la kuvuruga na kuingilia utaratibu wa mahakama.
kitendo hicho sio tu kaidharau Mahakama bali ameidhihaki na kuiona mahakama si chochote sio lolote, hivyo endapo mahakama haitochukua hatua ktk vitendo/kitendo kama hiki basi Mahakama itakuwa sio chombo cha kutoa haki.
Kama leo Vingozi wa dini wanadiriki kuto kuheshimu Muhimili wa Mahakama kwa kuomba eti Rais mfutie kesi Mbowe basi tutegemee siku nyingine pia wataomba Pia Sabaya afutiwe kesi. Tutavuruga nchi yetu kama hatuto heshimu utawla wa sheria.
Viongozi wetu wa dini tunawaonba wawe makini na matamko yao ambayo yanaweza kuleta utata na kuvuruga taratibu za nchi, wajiepushe kujiingiza kwenye mambo ya kisiasa wazi wazi kwani watatugawa sisi waumini wao, lengo la viongozi wa dini ni kutuunganisha sio kutugawa kwa misingi ya kisiasa, kama tunavyo muona baba askofu wamkula na wengine ambao mara zote wanatugwa kwa misingi ya kisiasa.
Hivyo ili kulinda uhuru na hadhi ya mahakama ni vyema Kiongozi huyo wa dini akamatwe na afikishwe mbele ya mahakama ili aweze kujibu tuhuma za kuingilia na kudhihaki taratibu za Kimahakama.
Utawala wa Sheria lazima uheshimiwe kwa kuviheshimu vyombo vyetu vilivyo pewa mamlka kwa mujibu wa Katiba.