permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Basi waanzie wale walioomba mashehe wa uamsho kufutiwa kesi zao.Kiongozi wa dini aliye muomba Mh. Rais amfutie kesi Mbowe na wenzake ni kosa kwa mujibu wa sheria kwa kuwa ameingilia mchakato wa mahakama ktk kutoa haki.
Tamko la kiongozi huyo wa dini limeonyesha wazi kuidharau mahakama na kuingilia taratibu za mahakama.