Mahakama itoe hati ya kumkamata kiongozi wa dini aliyesema Rais amfutie kesi Mbowe

Shule za kata
kwa sasa limeisha hilo.
kesi imeondolewa lkn kama ingekuwa inaendelea basi utaratibu ungebaki plepale.
Ni hatari kwa afya ya ubongo wako. Wizi wa mitihani ni hatar zaidi kwa akili yako.
Haya sema tena. Endelea kujichokonoa na kunusa
 
viongozi wa dini pigeni kelele na sabaya apewe msamaha wa rais au kesi ifutwe tu
 
Ndo ashafutiwa kesi unateseka kutokea wapi?
 
Hata hivyo rais hajamfutia kesi Mbowe
 
Kwanza hapo huyo Kiongozi wa Dini ameingiliaje Mahakama wakati ameongea na Mhimili mwingine tofauti.Kama angemwambia Jaji amuone mshtakiwa hana hatia hapo kweli angekuwa ameingilia Mahakama
 
Sijui iitwe pumba....au ni mtu tu kuwa mweupe....au ni makosa tu ya kumiliki simu hivyo mtu anaamua tu kupost pumba
 
ni jambo la busara kwa Mbowe kuwaomba radhi watanzania kama alivyo washukuru walio muombea.

Jeuri, kiburi na majivuno hayasaidii,
naamini Mbowe akiwaomba radhi watanzania atakuwa amejijengea heshima mara dufu uamuzi ni wake.
 
Unajisikiaje na hii comment yako?
 
ni jambo la busara kwa Mbowe kuwaomba radhi watanzania kama alivyo washukuru walio muombea.

Jeuri, kiburi na majivuno hayasaidii,
naamini Mbowe akiwaomba radhi watanzania atakuwa amejijengea heshima mara dufu uamuzi ni wake.
Aombe radhi kwa lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…