Mahakama Kuu Dar, imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa dhidi ya Spika Ndugai kwa kumtambua Mwambe kama Mbunge baada ya Kujiuzulu

Ujielewi
 
Mfumo wa mawakili wa Tanzania unaonesha kwamba aliefungua kesi hii bwana Revocatus Paul Kaunda ni marehemu, kwa hyo ina maana hii kesi ilifunguliwa na Marehemu????
 
Namiomba sana Mungu hawa Majaji wanao amua kesi kwa maslahi ya amri za kutoka juu wewe hai hadi utakapo patikana uongozi wa nchi unao fuata sheria na kutii viapo vyao. Maana hivi sasa siamini kama kuna majaji/mahakimu wanao tafsri sheria.
Ati jaji anasema mahakama ina sumbukiwa?? Kweli?? Hivi wana thubutu kujiita majaji kweli?? Mungu yupo
 
Wakuu m;eta taarifa anasema kwamba aliefungua kesi ni wakili wa mahakama kuu kwa maana hyo anatambulika na mfumo wa mawakili tanzania kwa maana ya wakili anaeitwa ''PAUL REVOCATUS KAUNDA'' Lakini mfumo wa mawakili Tanzania(tams) unamtambua mtu anaeitwa
Wakili wa Kujitegemea Revocatus Paul Kaunda
Wakuu katika mfumo wa Mawakili Tanzania hakuna wakili anaetambulika kwa jina la "REVOCATUS PAUL KAUNDA" na hata kwenye Petition husika petitioner ni "PAUL REVOCATUS KAUNDA" na kwenye mfumo wa Mawakili Tanzania Wakili anaetambulika ambae mfumo unaonesha ni Marehemu ni "REVOCATUS KULWA PAUL KAUNDA" Je huyu aliefungua kesi anasemekana ni wakili kujitegemea wa Mahakama kuu mbona kwenye mfumo wa Mawakili Huko TANZANIA Hayumo???
 
Ndyo mjue hii nchi inawenyewe. Nyie endeleeni kuwa wasindikizaji tu.
 
Hahaha nilijua tu, mahakama zenyewe zimejazwa makada wa CCM ulitegemea nini
Nchi hi kamwe haitakuwa huru Kama Sheria za nchibzinafinyangwa namna hiyo.Mm naona itungwe Sheria ili mgombea binafsi aruhusiwe kugombea.Kama mtu anajivua uanachama mwenyewe lkn Bado anatambulika kuwa mbunge ni vioja vya Karne.
 
Ok noted and thanks

Wanasiasa wanapotezea watu muda wa kufanya kazi

Kila mtu apambane na hali yake

Liwe Bunge au Mwambe kila mtu anaangalia familia yake

Kwa ufupi wananchi angalieni maisha yenu
VIONGOZI WASIPOFUATA UTARATIBU LAZIMA TUWAAMBIE KUKAA KIMYA HAKUSAIDII
 
HAYA YANAMWISHO
 
ndo uone sasa wewe ambaye kila siku unapga kelele mbowe kuwa hafai uenyekiti , huyo mwambe wako kwa taarifa ndo alipitishwa na kamati kuu ya CCM aje kuwa mwenyekiti wa chadema, wajanja wakamchinjia baharini.
MWANZONI NILIKUWA UPANDE WA MWAMBE ILA MAMBO YANAVYOENDA NIKATAMBUA LILIKUWA PANDIKIZI BORA WALIVYOMFUKUZA
 
Mchezo wa kuhalalisha matumizi ya ruzuku

Chuki dhidi ya viongozi wanaopingana na mwenye chama

Kuwakomoa viongozi wanaohama CHADEMA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…