Utakuwa lichadema wewe! Mnatukana kuanzia Rais, police, tiss, mahakama!! Nakesho yke tena!! Ooh tunaenda mahakamani.
Hameni nchi.
Namiomba sana Mungu hawa Majaji wanao amua kesi kwa maslahi ya amri za kutoka juu wewe hai hadi utakapo patikana uongozi wa nchi unao fuata sheria na kutii viapo vyao. Maana hivi sasa siamini kama kuna majaji/mahakimu wanao tafsri sheria.
Ati jaji anasema mahakama ina sumbukiwa?? Kweli?? Hivi wana thubutu kujiita majaji kweli?? Mungu yupo
TUKUBALI TUKATAE! KWA MFUMO ULIYOPO HAPA
CCM WAMESHIKILIA KOTE
ova
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
rasmi Tanzania sasa ishageuka kuwa lawless country.View attachment 1467675
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa uamuzi na kutupilia mbali shauri la Kikatiba Na. 10 la mwaka 2020 lililofulinguliwa na Wakili wa Kujitegemea Revocatus Paul Kaunda kupinga Kauli ya Mhe. Spika aliyoitoa Bungeni kumtambua Mhe. Cecil Mwambe kuendelea kuwa Mbunge.
Mahakama Kuu kupitia Jopo la Majaji watatu ambao ni Mhe. Jaji Issa Maige, Stephen ,Mrimi Magoiga na Seif Mwinshehe Kulita, wametupilia mbali shauri hilo kwa uamuzi kuwa "SHAURI HILO HALINA MSINGI KISHERIA NA LENYE LENGO LA KUSABABISHA USUMBUFU KWA MAHAKAMA ". Mahakama imeona kuwa hoja zilizoletwa Mahakamani hapo zinahusu kuitaka Mahakama kutoa tafsiri iwapo Mhe. Mwambe ni Mbunge au sio mbunge. Hoja hiyo ingepaswa kuletwa kupitia shauri la Uchaguzi chini ya Ibara ya 83 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio suala la Maombi ya Haki ya Kikatiba kama Mleta maombi hayo alivyofanya kupitia Ibara ya 26(2) ya Katiba. Mahakama imeona kuwa suala ambalo limejitokeza Bungeni kuhusu kukoma au kutokoma kwa Ubunge wa Mhe. Mwambe linahusu pia uamuzi wa Spika chini ya Kifungu cha 37 Cha Sheria ya
Katika shauri hilo Mleta Maombi waliwakilishwa na Wakili Daimu Halgfani, Steven Mwakibolwa, Fulgence Massawe. Mwambe aliwakilishwa na Wakili wa Kujitegemea Raphael na Upande wa Mhe Spika na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wamewakilishwa na Bw. Vicent Tangoh (Wakili wa Serikali) Mkuu) , Bw. George Mandepo (Wakili wa Serikali Mkuu), Bibi Alesia Mbuta (Wakili wa Serikali Mkuu), Bw. Erigh Mrisha (Wakili wa Serikali) na NBibi Narindwa Sekimanga.
Mahakamani hapo leo pia, Mahakama ilitaja kesi inayofafana iliyofunguliwa na Arusha na kuhamishiwa Masijala ya Dar es Salaam. Kesi hiyo Na. 12 ya 2020 imefunguliwa na Asasi iliyo ya Kiserikali ya Civic and Legal Organisation ikipinga pia ubunge wa Mhe. Mwambe. Wadawa katika kesi hiyo ya kikatiba ni Mhe. Spika , Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Cecil Mwambe.
Kesi hiyo itakuja kwa kutajwa tena Mahakamani hapo tarehe 11 Juni, 2020.
=====
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na wakili Paul Kaunda dhidi ya Spika wa Bunge, Job Ndugai akiomba mahakama hiyo kutengua amri ya Spika kumtambua Cecil Mwambe kama mbunge halali wa Ndada ikisema amekosea kufungua shauri hilo.
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine katika shauri hilo ni aliyekuwa mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Lipumba hakuwa Mbunge
Suala hili limekupotezea vipi muda wako?"Huliza, post: 35580354, member: 431979"]Wanasiasa wanapotezea watu muda wa kufanya kazi
Mwenye shauri alikuomba ushiriki?Kila mtu apambane na hali yake
Nani alikuomba ushauri wa familia yake?Liwe Bunge au Mwambe kila mtu anaangalia familia yake
Kwa ufupi unapambana na hali yako unalipa kodi kubwa sana inakwenda kuwalipa wenzako milioni 11 kwa mwezi. Unawapambania, hupambani na hali yako.Kwa ufupi wananchi angalieni maisha yenu
Hukutegemea lakini ulishangilia kesi kupelekwa huko.Sikutegemea kitu tofauti na hicho.
Umejuaje mkuu?Mlichanga watz?
Tulitegemea hilo hakuna jipya ndiyo maana wananchi wanataka katiba mpya
Hukutegemea lakini ulishangilia kesi kupelekwa huko.
Ahahahahahah!Toka mwanzo nilijua majibu yatakayotolewa na hizi mahakama, najua ni kwa kiasi gani utawala wa sheria umenajisiwa. Katika mazingira hayo kipi kingenifanya nishangilie? Nazidharau mno hizi mahakama zilizojiingiza kwenye siasa chafu.
Nilisema hakuna jaji wa ku handle kesi kama hiyo! hao wote ni UPE Judges. hakuna mwenye intellect wa kuhandle kesi kama hiyo! Kulita alikuwa Juzi Magistrates courts anatoa hukumu "mavi", leo awe na akili ya kufikiri kwa kitu kzito kama hicho!View attachment 1467675
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetoa uamuzi na kutupilia mbali shauri la Kikatiba Na. 10 la mwaka 2020 lililofulinguliwa na Wakili wa Kujitegemea Revocatus Paul Kaunda kupinga Kauli ya Mhe. Spika aliyoitoa Bungeni kumtambua Mhe. Cecil Mwambe kuendelea kuwa Mbunge.
Mahakama Kuu kupitia Jopo la Majaji watatu ambao ni Mhe. Jaji Issa Maige, Stephen ,Mrimi Magoiga na Seif Mwinshehe Kulita, wametupilia mbali shauri hilo kwa uamuzi kuwa "SHAURI HILO HALINA MSINGI KISHERIA NA LENYE LENGO LA KUSABABISHA USUMBUFU KWA MAHAKAMA ". Mahakama imeona kuwa hoja zilizoletwa Mahakamani hapo zinahusu kuitaka Mahakama kutoa tafsiri iwapo Mhe. Mwambe ni Mbunge au sio mbunge. Hoja hiyo ingepaswa kuletwa kupitia shauri la Uchaguzi chini ya Ibara ya 83 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na sio suala la Maombi ya Haki ya Kikatiba kama Mleta maombi hayo alivyofanya kupitia Ibara ya 26(2) ya Katiba. Mahakama imeona kuwa suala ambalo limejitokeza Bungeni kuhusu kukoma au kutokoma kwa Ubunge wa Mhe. Mwambe linahusu pia uamuzi wa Spika chini ya Kifungu cha 37 Cha Sheria ya
Katika shauri hilo Mleta Maombi waliwakilishwa na Wakili Daimu Halgfani, Steven Mwakibolwa, Fulgence Massawe. Mwambe aliwakilishwa na Wakili wa Kujitegemea Raphael na Upande wa Mhe Spika na Mwanasheria Mkuu wa Serikali wamewakilishwa na Bw. Vicent Tangoh (Wakili wa Serikali) Mkuu) , Bw. George Mandepo (Wakili wa Serikali Mkuu), Bibi Alesia Mbuta (Wakili wa Serikali Mkuu), Bw. Erigh Mrisha (Wakili wa Serikali) na NBibi Narindwa Sekimanga.
Mahakamani hapo leo pia, Mahakama ilitaja kesi inayofafana iliyofunguliwa na Arusha na kuhamishiwa Masijala ya Dar es Salaam. Kesi hiyo Na. 12 ya 2020 imefunguliwa na Asasi iliyo ya Kiserikali ya Civic and Legal Organisation ikipinga pia ubunge wa Mhe. Mwambe. Wadawa katika kesi hiyo ya kikatiba ni Mhe. Spika , Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Cecil Mwambe.
Kesi hiyo itakuja kwa kutajwa tena Mahakamani hapo tarehe 11 Juni, 2020.
=====
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imetupilia mbali kesi ya Kikatiba iliyofunguliwa na wakili Paul Kaunda dhidi ya Spika wa Bunge, Job Ndugai akiomba mahakama hiyo kutengua amri ya Spika kumtambua Cecil Mwambe kama mbunge halali wa Ndada ikisema amekosea kufungua shauri hilo.
Mbali na Ndugai, walalamikiwa wengine katika shauri hilo ni aliyekuwa mbunge wa Ndanda, Cecil Mwambe na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
wewe unashangaa hilo?Katiba ya nchi inataka mbunge kudhaminiwa na chama ,na Mara udhamini wake utakapo koma atapoteza ubunge wake ,tumeona hili likitokea kwa wabunge wengi.Sasa hii ya Ndugai kuwakingia kifua waliofukuzwa uanachama maana yake ni kuwa yeye ndio kawadhamini ambapo katiba haimtambui,hii Ni kuanzisha wabunge kundi la viti maalum vya spika kinyume na katiba cha ajabu na Mahakama Imebariki?.Awamu hi tutaona mengi ,hongera wabunge wa viti maalum vya spika.
yani maafrika hapana kwakweliwewe unashangaa hilo?
Kajionee namna sarikaki hii ya awmu ya tano, namna ilivyodhamiria kuupeleka muswada bungeni, ambapo itakuwa "marufuku" kwa mtu yeyote kupeleka shauri mahakamani linalohusu uvunjwaji wa Katika ya nchi, kwa viongozi wakuu wa nchi, ambao ni Rais, Makamu wake, Waziri mkuu, Spika wa Bunge na Jaji Mkuu!
Je kuna maana gani kwa viongozi hao wakuu wa nchi, kuapa kuitetea Katiba ya nchi kabla hawajakabidilhiwa madaraka hayo??