Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi

Piga ndani
 
Mungu ni wa wote....

Wa matajiri na sisi vipato vya chini...

Wa viongozi na sisi tunaoongozwa....

Mungu akatukumbusha TUZITII MAMLAKA....
 
Mbona kwa sabaya ulikuwa unashangilia? Si ni mahakama hizi hizi tulishangilia
nilichoshangilia si Sabaya kufungwa kifungo kirefu, nilishangilia ni atuachie shemeji mtarajiwa Jesca kwa muda mfupi tu tumwonyeshe upande wa pili wa sh upoje.
 
nilichoshangilia si Sabaya kufungwa kifungo kirefu, nilishangilia ni atuachie shemeji mtarajiwa Jesca kwa muda mfupi tu tumwonyeshe upande wa pili wa sh upoje.
Ooo Sawa....

Jela haina Mwenyewe....

Na uendelee kushangilia hivyohivyo kila kesi.....
 
Mbona kwa sabaya ulikuwa unashangilia?
Siwezi kushangilia hukumu yoyote, hata kama mibya haki lakini iliyopitia kwenye mikono michafu.

Sabaya ni mhalifu kwa ushahidi wa walio wengi. Mimi sina ushahidi.

Kilichonifadhaisha ni kujua kuwa hata jaji aliyemhukumu Sabaya ni miongoni mwa wasiojulikana. Wasiojulikana huongozwa na amri ya mkubwa wao, na sip mfumo wa mahakama.

Hivyo sina shaka kuwa hukumu ya Sabaya imefanywa kwa maelekezo. Jambo ambalo ninkosa kubwa.
 
Kupambana na dola kwa katiba hii ni kazi nzito sana, tukubali Mbowe anafungwa - sasa tunajipangaje kama watetezi wa nchi hii?

CCM chini ya mwenyekiti wao wameamua kinaga ubaga kumfunga Mh. Mbowe hatuna namna nyingine ni suala la muda tu.
 
Hii kesi ishaisha tayari Kamanda kupona ni sawa na Ngamia kupenya kwenye tundu la sindano✌✌
 
Mi nafikiri, Alitakiwa baada ya kuteuliwa kuwa JK ajitoe kwenye hii kesi kwa kuwa kuna maslahi aliyopata akiwa ndani ya kesi na yanaweza kuathiri maamuzi, maslahi hayo ni kuteuliwa kwa kupandishwa cheo na mhimili ambao ndio unashtaki
 
Watanzania wenzetu wengine wapo Jela kwa kufanya makosa na wengine wameshamaliza vifungo vyao

Haki itendeke maana leo kwao kesho ni kwa yeyote
 
Huyu jaji ni kabila gani? dini gani? anaishi wapi? mwageni wasifu wake wote... ni lazima ajadiliwe hapa leo, tusimwache atuchezee nyeti zetu sisi ni watu wazima tunamzidi umri na hata elimu by the way.
Umeishiwa eee?!!!🤣🤣

Dini tena ?

Kabila tena ?!! Khaaa 😲🤣
 
Kupambana na dola kwa katiba hii ni kazi nzito sana, tukubali Mbowe anafungwa - sasa tunajipangaje kama watetezi wa nchi hii?

CCM chini ya mwenyekiti wao wameamua kinaga ubaga kumfunga Mh. Mbowe hatuna namna nyingine ni suala la muda tu.

Labda recruitment ya Amsterdam itasaidia. Ila lisu aje aongeze nguvu pia timu ya utetezi
 
Huna akili

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…