Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Piga ndanikachonga kakimbia.....
na Jaji atakayesikiliza mwishoni atakimbia then atakuja wa kusoma hukumu tu ya kifungo cha Mbowe cha maisha jela....baada ya hapo litafunguliwa shauri mahakama kuu la kuifuta CDM, litapita na 2023 CDM itakuwa haipo tena hapa duniani.