Mahakama Kuu Divisheni ya Uhujumu Uchumi na Rushwa yatupilia mbali mapingamizi 2 kesi ndogo ya Mbowe na Wenzake. Jaji Siyani ajitoa kuendelea na kesi


..exactly.

..kama Jaji anakubali Adamoo ametoa ushahidi kwa hiyari maana yake anakubaliana na maudhui ya ushahidi huo.

..Katika mazingira hayo sioni ni jinsi gani Jaji ataamua kuwa Adamoo hana hatia pale atakapofanya maamuzi ktk kesi ya msingi.
 
Unasema hivyo kwa sababu mna jeshi na silaha. Wapo waliotolewa madarakani wakiwa na majeshi na silaha za maana kuliko hizo zenu.
Ni kweli kabisa, Tanzania hakuna silaha za maana. Kuwatoa ni rahisi tu. Hivyon ingia barabaraninsasa hivi ukinukishe makengeza atoke
 
Jaji amekosea kieheria na kimantiki kwa hukumu aliyotoa. Nikijikita kwa mantiki ya exception jaji kakosea katika maeneo mengi.

1. Rule of exception inakataa kuwa na two exceptions consecutively in one case( situation). Ndo maana Kuna remarks ( save only)

2. Exception inapotumika kwa kawaida hubenefit the weak point and not the opposite.

3. The concept ya haki kuonekana kutendeka jaji amekosea kutoa hukumu wakati ametoka kubenifit kutoka upande wa mashtaka ( serikali)
 
Mbona kwa sabaya ulikuwa unashangilia? Si ni mahakama hizi hizi tulishangilia
Pole sana ndugu yangu.
Lakini badala ya kuwa una bidii ya kuhangaika na sala/ibada za kichawi, ingekuwa BUSARA kwako na kumsaidia zaidi Ole Sabaya kama msioridhika na hukumu ya kesi yake mgekata rufaa.
 
Ingia barabarani kamanda ukinukishe ili Mbowe atoke

Wewe Mkaruka
Ushauri wako mzuri sana kwa hisia alizoonyesha kwenye comment yake lakini sasa wa kuutekeleza huo ushauri hayupo.

Kelele za wapinzani ziko nyuma ya keyboards tuu, Action sifuri
 
Sabaya akifungwa sawa Gaidi akielekea kufungwa hakuna haki. Kenge sana nyie cdm
Poleni sana, hapa kuna watu tofauti wenye nyadhifa tofauti na mashitaka tofauti, HIVI unawalinganishaje? Kwenye swala lipi?.
 
Ujanja ujanja wa kijinga kabisa.Kila jaji akishampiga Mbowe nyundo kichwani anajifanya kujitoa.Wasichokijua ni kwamba udhalimu haujawahi kudumu.
 
Sabaya akifungwa sawa Gaidi akielekea kufungwa hakuna haki. Kenge sana nyie cdm
Hili suala la kuhoji matokeo ya kesi hizi mbili limerudiwa na watu kadhaa. Hivi mtu mwenye akili ya wastani anaweza kusema kesi ya Mbowe na Sabaya zinafanana kwa hiyo hukumu zake inabidi zifanane!?
 
Waliisha zoea kufanya hivyo, lakini watahangaika sana kama alivyokuwa amepania yule aliyeondoka katikati ya mwezi March, hatua mwisho Mungu atahakikisha kuwa haki ndio inashinda. Amen
 
Hii nchi kuna haja ya kutawaliwa tena. Atafutwe mkoloni mzuri haraka. Imeshindwa kujiendesha
Maombimabaya hatuyataki tena, tuliomba kupata dikteta akajakweli na mnaona tunavyoumizwa.Katikatiya mateso omba vizuri, HATUTAKI MKOLONI, tunataka apatikane Mtanzania mwenye hofu ya Mungu awe Kiongozi na si mtawala.
 
Mungu mbariki Mbowe mtetee, muokoe, pia mtoe katika mikono ya watesi wake!

Mungu ibariki CHADEMA!
Sema Mungu Ibariki Tanzania, CHADEMA ni sehemu yake.

Tuache ubabaishaji huu. Mungu hawezi kuibariki CHADEMA bila kuibariki TANZANIA.

Hawa wanaong'ang'ania kuinajisi Tanzania siku yao itafika tu!
 
Mbowe anasubiriwa ale mvua 30 damu ya chacha wangwe inamlilia
Wewe wasema Kiturilo
Mungu ni mwema wakati wote.

Sheria ni msumeno ndiposa Yesu akamwambia Pilato "....wewe usingekuwa na mamlaka juu yangu kama usingepewa kutoka juu"

Sheria na Siasa za Afrika ni Pasua Kichwa.
Haki huinua taifa, historia ngumu iliyo kiandama chama kinachoandamwa na mamlaka huhitaji kuuliza sababu za uamuzi kama huu, ila mwendelezo wa pale walipofikia katika jitihada ovu zilizoshindwa miaka yote, kwa uwezo was Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…