Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu si ni yule bazazi aliyeanzisha benki ili kurahisisha kukata fungu la kumi la mishahara ya wajinga? Yeye mwenyew anatajirika, 10% hatoi!
Aahhh Mtoboa siri taratibu aisee usiikosee heshima pete ya shemeji yako tafadhali, nilimnunulia mwenyewe bana ntakupiga ngumi.Hata kama ni bazazi, alichosema ni haki yake kukisema. And so far, kila nikiangalia vidole vya hao wanaojiita viongozi wetu sikosi kuona pete ambazo zimetajwa! Kwa nini nisiamini kuwa nchi inaongozwa na walala makaburini? No wonder mambo yako hivi yalivyo
Nitatejea!!
Kichwa kimeshakuwa kikubwa!!........
Lugalo barracks watakuja kusema pale alipo Mwingira ni eneo lao......then kwisha kazi yake!! itambidi ahamie Mabwepande.
Mmmh! kazi ipo, yangu macho na masikio
Ungetuambia wewe kilichomkuta ilitukujue!aliwahi kumtangaza mrema kuwa ndo rais, unakumbuka kilichomkuta?