Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 950
- 1,262
Mwendazake alikufanya nini ndugu? Huishi kumtaja. You must be insane.Mh..Mbona legacy ya mwendazake Muasisi wa kupitisha watu bila kupingwa, inazidi kupopolewa mawe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwendazake alikufanya nini ndugu? Huishi kumtaja. You must be insane.Mh..Mbona legacy ya mwendazake Muasisi wa kupitisha watu bila kupingwa, inazidi kupopolewa mawe!
Kabla ya kumuuliza huyo wewe umeelewa nini kuhusu hii statement,Umeielewa hiyo hukumu? Unajua mlalamikaji alikuwa analilamikia nini?
Mahakama kuu huwa inaangalia zaidi vifungu vya sheria vinavyokinzana na katiba kuu kama huvijui itakuwia ngumu sana kuitafsiri hukumu.Na hiki kiingereza changu cha form 4 D mbona kama tangazo halisemi hivyo 😀
Hata kwenye Mfumo wa chama Kimoja mambo ya kupita bila kupingwa hayakuwepo!Ngoja kwanza nitafute dictionary yangu nitarudi.
[emoji38][emoji38][emoji38]Hivi ni kwanini mambo ya sheria huandikwa kwa lugha ya Kiingereza na sio Kiswahili?
Usiniletee hasira za umasikini wako kapuku wewe,Kama hujui lugha usiwalalamikie wengine. Kafie mbele.
Mahakama Kuu Tanzania imeamuru hakuna wagombea Ubunge,Udiwani wala Wenyeviti wa S/Mitaa/Vijiji/Vitongoji kupita bila kupingwa. Imetamka vifungu hivyo ni BATILI vinakwenda kinyume na Katiba.
---
View attachment 2570208View attachment 2570211View attachment 2570217
Hizo sheria zinahusika nini na "Legacy"!Kabla ya kumuuliza huyo wewe umeelewa nini kuhusu hii statement,
“We (Judges) accordingly proceed to declare and hold that,……… the National Election Act, Cap, 343 ………… and the Local Government Elections, Act, Cap 292 are unconstitutional and therefore Null and Void”.
Hakuna bunge linalotunga sheria, bunge kazi yake kupitia tu.Halafu sheria hizo zimetungwa na Bunge na sifa kuu ya kuwa Mbunge Nchi hii ni kujua Kusoma na Kuandika.
Yaani, Nchi ina vituko hii........
Ili kuwaficha wapumbavu wasielewe...Hivi ni kwanini mambo ya sheria huandikwa kwa lugha ya Kiingereza na sio Kiswahili?
Kiswahili wakiandika humo hutaambulia chochote!Hivi ni kwanini mambo ya sheria huandikwa kwa lugha ya Kiingereza na sio Kiswahili?
Usipotoshe ukweli. Sheria zinatungwa Bunge. Ninavyofahamu mimi ni kwamba Serikali inachofanya ni kupeleka miswada ya sheria bungeni na sio kutunga sheria.Hakuna bunge linalotunga sheria, bunge kazi yake kupitia tu.
Sheria hutungwa na Serikali