Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

Acha udini wewe kima. Hujui kuwa nchi ikiongozwa na hao nduguzenu ndo huwa inanuka madawa ya kulevya na wizi kila pahala. Unataka kutuaminisha kuwa dini ndo inaongoza au mtu mwenyewe vip kuhusu JK alikuwa kiongozi mzuri?
Duh!

Povu linawatoka kinoma kwa jamaa kusema ukweli
 
Wakati wa magufuli hata mahakama hazikuwa huru kwa kweli huyu jaji mkuu anapaswa ajiuzulu amwachie mama ateuwe mtu mpya aliye huru.
 
Mkuu si ukubali tu kwamba CCM imetoa bonge la president???

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hangaika na vilaza wenzako na kama Hawapo basi kanawe miguu ukalale
 
Vijana wengi huangalia mambo kwa juu juu.

Wanachoangalia ni matokeo na sio mchakato uliopelekea matokeo hayo. Anadhani suala la Richmond lilitokea tu?? Hahahaahahha

JK was and is the best president ever
 
CCM imejaa Mashetani ila pia kuna Malaika wachache Mama ni mmojawapo atupe Tume HURU halafu aendelee kutawala
CCM ni chama kikubwa barani Africa.

Kuna wendawazimu wachache tu ambao ndio walitaka kuichafua CCM
 
Odds kubwa Mkeka umeliwa na upande wa Kaki, kijani huku wamechezea wameachwa Uchi.
Aamshwe
 
Amina
 
Mahakama zinatengua kweli kweli, zisije kutengeua na urais wa Mama.
 
Mama kweli ni Mama.. Mungu tunakushukuru sana sanaaa kutuletea Mama. Mama Samia uishi milele
Haiwezekani.

Utafika muda wake itabidi afe tu mkuu.

Ila haya ni mapenzi ya kweli juu ya rais wako mkuu. Hongera
 
'laha' nasema 'laha' sio RAHA-ya Tanzania kila mtu anashina magoli yake,
Kila kiongozi kiingia anatengeneza mambo yake, 'laha mpak basi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…