Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

Mahakama Kuu Tanzania imeamuru Jamhuri kurudisha fedha za faini za kesi ya Freeman Mbowe na wenzake 7 wa CHADEMA

Sabaya na magufuli wanaendana kila kitu,unyang'anyi ,ukatili,kuweka watu ndani na kutishia ,kuna uwezekano mkubwa Sabaya alikuwa mtoto wa nje
 
Mpuuzi wewe,tulikuwa na mahakama kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita ?
Wewe pamoja na wajinga wenzio ndio hamutambui kuwa kulikuwa hakuna mahakama ,kama kesi ilikatiwa rufaa kuna maajabu gani? Hiyo ndio kesi ya kwanza kukatiwa rufaa na kushinda na kwa kutojitambua kwenu mnashindwa kuwa na kumbukumbu kuwa jaji aliyeukumu nitofauti na aliyetoa ushindi ndio maana ikaitwa mahakama.
 
Sabaya na magufuli wanaendana kila kitu,unyang'anyi ,ukatili,kuweka watu ndani na kutishia ,kuna uwezekano mkubwa Sabaya alikuwa mtoto wa nje
Du! kwa iyo unataka kisema Sabaya ni damu ya mwendezake
 
Legacy ya mwendawazimu yule inazidi kuchanwa chanwa, Mungu ni mwema sana, kikubwa uvumilivu tu ila anasikia kila kilio cha wenyehaki
 
Tuache waislamu waongoze nchi hakuna namna, ukiangalia dikteta, Ndugai, Mwigulu, Makonda, Mnyeti, Kabudi, Ndalichako, Gwajima, Sabaya, Kasesele n.k unaona kabisa sisi wakristo ni watu wa hovyo sn sijui hata makanisani tunafundishwa nini? mbona Bwana wetu Yesu Kristo ni mnyenyekevu sn? kuna la kujifunza asee.
Mkuu umeongea ukweli kabisa, wakristo tunafeli sijui wapi, yaani tuna roho ya ajabu mno.

Mama atake asitake aongezewe muda wa kuongoza nchi bila kikomo
 
Back
Top Bottom