Labda umesahau kwamba miongoni mwa hizo kesi ni pamoja na ile kesi ya "Samaki wa Magufuli" pamoja na kesi ya contractor wa barabara ambapo zote hizo zililetwa na JiweHakuna dhuluma ni dhama za kila mtu mwenye uwezo achukue anachoweza kuongoza,nchi sio kama familia hasa katika nchi yenye makabila 120 majaji wakiwemo ,ndio maana kesi zote tanzania ulizokuwa tunashtakiwa kimataifa kabla jpm tulishindwa lakini baada ya yeye kuja huo ujinga ulikoma na sasa umerudi kwa kasi.