Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Salute Mingi sana.....Tuache waislamu waongoze nchi hakuna namna, ukiangalia dikteta, Ndugai, Mwigulu, Makonda, Mnyeti, Kabudi, Ndalichako, Gwajima, Sabaya, Kasesele n.k unaona kabisa sisi wakristo ni watu wa hovyo sn sijui hata makanisani tunafundishwa nini? mbona Bwana wetu Yesu Kristo ni mnyenyekevu sana? kuna la kujifunza asee.
Nakuhakikishia mbowe atataka apewe yeye binafsi. Mchaga kwenye pesa siyo mchezo babaangue!Narudia tena km habari hii ina ukweli chonde chonde CDM kwa sababu mpo kwny ujenzi wa ofisi zenu nchi nzima kwa hicho kidogo ambacho watanzania waliwachangieni kitumeni kwny majimbo yenu tena kwa usawa kimalizie ujenzi wa ofisi itakuwa kumbukumbu nzuri kwenu
Nani asiyependa pesa? Waliokwapua 1.8tr/= walikuwa wachaga?Nakuhakikishia mbowe atataka apewe yeye binafsi. Mchaga kwenye pesa siyo mchezo babaangue!
shetani ana huruma kidogo, bado anatafutiwa jina.Hakika mwendazake alikuwa shetani
AMINA kubwa sana. Mama abarikiwe sana..... Mama ana kazi sio ya kitoto; kuirudisha nchi kwenye mstari sahihi wa utawala bora ana kibarua kigumu sana. Huyu sasa ndiye wa kumwombea kweli kweli Mungu amjalie afya ya mwili, hekima na busara za kuwaongoza watu wake. Kila atokapo, aingiapo, na kila atendalo likapate kibali toka Kiti cha Enzi.
Kama Zama zenu zimepita mkae kwa kutulia.Hutujisikii vibaya kwa sababu kila ufalme na zama zake.