Jinsia yako Tafadhali....ili tuendeleehuyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
Wapi mvua hazinyeshi!?..zinanyesha mpaka radi zinaua watu na ng'ombe,mwache huyo mzee aliyechoka kupumzika akae ndaniTaifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
Ndiyo katiba inaruhusu kufanya teuzi za hovyo hovyo?Big ben si tumesema utawala unaofuata sheria sa c ndo huo wa katiba
Siku mumeo akikamatwa kwa uonevu ndiyo utajua hujuiWapi mvua hazinyeshi!?..zinanyesha mpaka radi zinaua watu na ng'ombe,mwache huyo mzee aliyechoka kupumzika akae ndani
Kuna watu wanatafuta laanaHivi huyu mzee kawakosea nini? Kwani wakimpa dhamana atakimbia Nchi? Kwanini kumtesa kiasi hiki?
Yatosha wewe ukibaki kuwa chawa na si kutaka kilamtu awe kama wewehuyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
Kwahiyo kama ni babu ndo ana ruhusa ya kufanya jinai? Kwahiyo akikuomba nyuma utampa kwakuwa ni babu? Slaa ni mshenzi na hicho anachopata ndo kinamstahili.Taifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
Slaa na Lissu hawana tofauti… nilishangaa kuona video iliyoonesha Bi Mushumbusi akimtandika Slaa kama mtoto!! Na ubalozi ulipoisha tu akamwacha!! Huyu babu kapata kichaa!huyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
Magufuli huko aliko anakula moto zaidi ya wanyuklia!!Samia analaanika hivi hivi kwa kumtesa huyu mzee
Trump hana muda na machokoraa ndo maana anawaambia mjenge nchi zenu wenyewe!! Andamana kudai utawala bora sio kulia lia kama shogaTrump ndiyo baba wa ulimwengu kwasasa
Siku mumeo akikamatwa kwa uovu na kunyimwa dhamana ndiyo utapata akili, sijasema afutiwe kesi lakini apewe dhamana ni haki akeKwahiyo kama ni babu ndo ana ruhusa ya kufanya jinai? Kwahiyo akikuomba nyuma utampa kwakuwa ni babu? Slaa ni mshenzi na hicho anachopata ndo kinamstahili.
UWT sijui kama huwa mnaakili timamuTrump hana muda na machokoraa ndo maana anawaambia mjenge nchi zenu wenyewe!! Andamana kudai utawala bora sio kulia lia kama shoga
God is his present help!Huyu naye aache kuropoka ropoka hovyo. Ona sasa hao akina Maria Sarungi hata hawamsaidii😂😎
Huu ni mzimu? Au msukule?Mahakama Kuu ya Tanzania, masijala kuu jijini Dar Es Salaam imegiza shauri la mwanasiasa Mkongwe Nchini Dkt. Wilbroad Slaa lirejeshwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kushughulikiwa kwa dhamana yake.
Shauri hilo lilipelekwa Mahakama kuu baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumnyima dhamana, na kumfanya Dr.Slaa kusota gereza la Segerea kwa zaidi ya wiki mbili sasa.
Soma, Pia:
- PICHA: Tundu Lissu aongezeka jopo la Mawakili kumtetea Dkt. Slaa Kisutu, kesi ya kusambaza taarifa za uongo
- LHRC: Mamlaka itoe haki ya dhamana kwa Dkt. Slaa, ni haki yake
- Wakili Madeleka: Kisutu kuna danadana za kumnyima haki ya dhamana Dkt. Slaa tumeenda Mahakama Kuu
Hizi sasa ndio akili halisi ya vijana wengi wa kitanzania, kupigania mambo mbalimbali ya kisiasa na kijamii walishaaminishwa ni uhaini, hata yule anaethubutu kuwasemea wanamuona mjinga, na asiefaa, kama vile haitoshi wanamtusi mzee! Kama huyu hapa akishavimbiwa ugali na dagaa anenda kubeti au kukaa kijiweni kumtukana slaa, nyambafu kbs!huyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
You are kind of idiot ! If he keeps quiet today stones will do… show us where his words never turned out to be true. You have to reach a point and understand that is what he was born for and he will die for. Don’t be sorry for him, he is strong and not sorry for himself because he believes in what he said.huyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
Wajukuu atoe wapi?huyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
UJINGA MTUPUHata wewe pia ni mpumbavu, au hujui?