Pre GE2025 Mahakama Kuu yaagiza dhamana ya Dkt. Slaa ishughulikiwe haraka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Vyeo huwashepu watu
Tundu LISU nimemwona kwamara ya kwanza akizungumza kama kiongozi na sio mwanaharakati...nje ya mahakama
 
Wazee wa maagizo kutoka juu
 
Taifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
HUYO KIBAKA NI MUHUNI TUH,ACHA ANYEEE DEBE
 

Hashindani na mtu. Yupo kwa maslahi ya nchi yake, hajakubali kuwa chawa. Unamvua ubalozi na kumfunga mzee bila sababu yoyote ya msingi kumtesa na kumkomoa wakiombea afya yake iharibike.

Huyu mzee mchango wake kutafuta demokrasia nchini ni mkubwa sana. Lakini mafisadi hawataki kumpa heshima yake.
 
Huwa tunawaambia huyu maza ni katili haswa kajificha kwenye dini
 
Subiri na mumeo siku akinyimwa dhamana kwa uonevu
KWAHIYO WEWE KWA KUWA MUMEO SLAA KAFUNGWA KWA UPUUZI WAKE UNAPIGA KELELE HAPA UNALIA KUMBE NI KWA SABABU UNAKOSA HUDUMA YA KUPIGWA MASHINE NA HUYO KIBAKA??

TAFUTA HATA VIJANA WA BODA BODA UWALIPE WAMSAIDIE MZEE KAZI MAMA.
 
KWAHIYO WEWE KWA KUWA MUMEO SLAA KAFUNGWA KWA UPUUZI WAKE UNAPIGA KELELE HAPA UNALIA KUMBE NI KWA SABABU UNAKOSA HUDUMA YA KUPIGWA MASHINE NA HUYO KIBAKA??

TAFUTA HATA VIJANA WA BODA BODA UWALIPE WAMSAIDIE MZEE KAZI MAMA.
UWT mnawaza ngono full time
 
Hiyo yote imepangwa wanapiga danadana. Hata akitoka ameisha kaa jela zaidi ya mwezi, miezi kadhaa ni kama amehukumiwa tayari kifungo cha wiki, mwezi, miezi kadhaa.

Hii ni kama umuweke jela mtu mwenye umri kama wa Wassira, Warioba, Hafidh mume wa Samia kisa hupendi maoni yake. Hawana utu hawa mafisadi.
 
Kanuni ya wapi hiyo kuwa ukizeeka basi ukiona maovu usikemee?

Huyu ni jaji mkuu mstaafu wa Kenya Willy Mutunga ana miaka 77 sio mara moja tu kajitokeza hadharani kuikemea serikali inapokwenda kinyume na katiba.

Tukubali tu mifumo ya Tanzania sio huru CCM ni mhimili wa serikali mahakama na bunge zinaipigia magoti hadi vyombo vya dola hiyo ni tiifu kwa CCM.

Mara ya mwisho lini umemsikia jaji mkuu mstaafu wa Tanzania amekemea maovu ya serikali hasa inapoingilia maamuzi ya kimahakama kupindisha haki?





View: https://youtu.be/QnGBTjTD-gQ?si=rb3i_NaWa30GMBCn
 
Taifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
Babu hana justification ya kuropoka tu bila kufuata utaratibu. Alifanya hayo ndio madhara yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…