kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Nonsense! Do you have proof.Wajukuu atoe wapi?
Mkewe kachukuliwa na wazungu kabla ya kumzalia.
Wale wa Rose Kamili aliwakataa, poor ex padre
Wazee wa maagizo kutoka juuMahakama Kuu ya Tanzania, masijala kuu jijini Dar Es Salaam imegiza shauri la mwanasiasa Mkongwe Nchini Dkt. Wilbroad Slaa lirejeshwe katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa ajili ya kushughulikiwa kwa dhamana yake.
Dkt. Slaa na jopo la mawakili wake walifungua shauri la mapitio la kesi yake katika Mahakama Kuu akipinga mwenendo wa Mahakama ya Kisutu kuahirisha usikilizwaji wa suala la dhamana yake kutokana na maombi ya kupinga dhamana yake yaliyotolewa na Jamhuri.
Jaji Arnold Kirekiano leo Januari 30, 2025 amesema kwa kuwa kesi ya msingi iko Mahakama ya Kisutu ambayo ina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo na kwa kuwa hoja ya uhalali wa mashtaka ilishatolewa Kisutu na inasikilizwa na kupangiwa uamuzi amesema si vyema Mahakama Kuu kuingilia kati. Hivyo Jaji Kirekiano ameelekeza Mahakama ya Kisutu itoe uamuzi ambao ilishauandaa.
Dkt. Slaa alikosa dhamana tangu alipopanda kizimbani Januari 10, 2025 kusomewa shitaka linalomkabili la kusambaza taarifa za uongo kupitia mtandao wa X.
Soma, Pia:
- PICHA: Tundu Lissu aongezeka jopo la Mawakili kumtetea Dkt. Slaa Kisutu, kesi ya kusambaza taarifa za uongo
- LHRC: Mamlaka itoe haki ya dhamana kwa Dkt. Slaa, ni haki yake
- Wakili Madeleka: Kisutu kuna danadana za kumnyima haki ya dhamana Dkt. Slaa tumeenda Mahakama Kuu
Team mbowe mnaumia sanaVyeo huwashepu watu
Tundu LISU nimemwona kwamara ya kwanza akizungumza kama kiongozi na sio mwanaharakati...nje ya mahakama
HUYO KIBAKA NI MUHUNI TUH,ACHA ANYEEE DEBETaifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
HUYO MZEE MWENYEWE NI MJA LAANA,KIBAKA KAMA HUYO NI KUPIGA KOROKORONI TUHSamia analaanika hivi hivi kwa kumtesa huyu mzee
huyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
Subiri na mumeo siku akinyimwa dhamana kwa uonevuHUYO KIBAKA NI MUHUNI TUH,ACHA ANYEEE DEBE
Huwa tunawaambia huyu maza ni katili haswa kajificha kwenye diniHashindani na mtu. Yupo kwa maslahi ya nchi yake, hajakubali kuwa chawa. Unamvua ubalozi na kumfunga mzee bila sababu yoyote ya msingi kumtesa na kumkomoa wakiombea afya yake iharibike.
Huyu mzee mchango wake kutafuta demokrasia nchini ni mkubwa sana. Lakini mafisadi hawataki kumpa heshima yake.
ungejua usingeropoka hayoTeam mbowe mnaumia sana
KWAHIYO WEWE KWA KUWA MUMEO SLAA KAFUNGWA KWA UPUUZI WAKE UNAPIGA KELELE HAPA UNALIA KUMBE NI KWA SABABU UNAKOSA HUDUMA YA KUPIGWA MASHINE NA HUYO KIBAKA??Subiri na mumeo siku akinyimwa dhamana kwa uonevu
UWT mnawaza ngono full timeKWAHIYO WEWE KWA KUWA MUMEO SLAA KAFUNGWA KWA UPUUZI WAKE UNAPIGA KELELE HAPA UNALIA KUMBE NI KWA SABABU UNAKOSA HUDUMA YA KUPIGWA MASHINE NA HUYO KIBAKA??
TAFUTA HATA VIJANA WA BODA BODA UWALIPE WAMSAIDIE MZEE KAZI MAMA.
Hiyo yote imepangwa wanapiga danadana. Hata akitoka ameisha kaa jela zaidi ya mwezi, miezi kadhaa ni kama amehukumiwa tayari kifungo cha wiki, mwezi, miezi kadhaa.Sasa angalia Upumbavu wa hiyo Mahakama ya kisutu.
Sheria ni ileile .
Mahakama kuu inaona ni haki ya Kupewa Dhamana.
Mpuuzi na Chawa wa Mahakama ya kisutu anaona sio Haki.
Yote Kwa yote, utashangaa kesho kutwa anateuliwa kua JAJI WA MAHAKAMA KUU.
hiyo ndo Tanzania Sasa
Kanuni ya wapi hiyo kuwa ukizeeka basi ukiona maovu usikemee?huyu babu atakuja kufia mahabusu yaani umri huo bado unashindana na wenye nguvu ? hayo matesoi anayoyapata anajipunguzia umri wa kuishi bure hela anayo ya kutosha kula vizuri huku akilea wajukuu sasa anachokitafuta sijui ni nini ana laana ya upadre huyu ndiyo maana hata mkewake alikuwa anamduda ma ngumi
JOSEPHINE MUSHUMBUSHI,YULE MZEE ATAKUJA KUKUUA TUH,KWANZA NI KIBAKA HANA HELA..PILI AMEZEEKA HAWEZI TENA KUKUPIGA MASHINE,TUPE SISI TUMSAIDIE MZEE KAZI HIYOUWT mnawaza ngono full time
Babu hana justification ya kuropoka tu bila kufuata utaratibu. Alifanya hayo ndio madhara yake.Taifa linaongoza kwa laana ndiyo maana hata mvua hazinyeshi, unamfunga mtu tena babu kisa kosa ambalo linadhamana kwanini nchi isipate laana? yaani hutaki kukosolewa kisa una mamlaka. Trump tunyooshee hawa wajinga
We ni mtu mzima sana yani kiumri humu wengi si ajabu ni wajukuu wako lakini unatutafutia laana mkuu, badilika haikusaidii kitu kufurahia mtu akiteseka kwa kuonewaHuyu naye aache kuropoka ropoka hovyo. Ona sasa hao akina Maria Sarungi hata hawamsaidii😂😎