Mahakama Kuu yaamuru Polisi kumfikisha Mahakamani Neema Mwakipesile wa BAWACHA Agosti 12, 2021

Mahakama Kuu yaamuru Polisi kumfikisha Mahakamani Neema Mwakipesile wa BAWACHA Agosti 12, 2021

Jana kwenye Space hili jambo lilijadiliwa kwa kirefu jinsi walivyonyanyasa Dada wa Watu bila kosa....
Hahaha vuneni mlichopanda, mlishangilia sana kifo cha JPM mkadhani wasaidizi wake walikuwa wanafurahi mnavyomnanga marehemu, ngoja mpaka akili zikae sawa pimbi wakubwa. Heshimuni mamlaka, muwa na adabu na bado pimbi nyie
 
Hahaha vuneni mlichopanda, mlishangilia sana kifo cha JPM mkadhani wasaidizi wake walikuwa wanafurahi mnavyomnanga marehemu, ngoja mpaka akili zikae sawa pimbi wakubwa. Heshimuni mamlaka, muwa na adabu na bado pimbi nyie
Sasa matusi ya nini? Mbona hata nyie mtakufa tu na nitashangilia? Ukijafanya kuleta lugha chafu ujue Mimi Nina lugha za kuudhi hadi ubadilishe ID kama wale mbwa wenzio. So ujibu kwa heshima
 
Narudia tena, tuna Jeshi la ajabu mno na linatia aibu sana sana, wamemshikilia kwa siku kibao, Mawakili wa Chadema wameenda mahakamani, Polisi wameona mambo yanakua magumu wamemuachia. Sasa tuna jeshi au genge?


Bila shaka hizi Kesi zetu nyingi wana CHADEMA zitaweza Kujijenga Chama chetu na kutufanya tuitoe CCM Madarakani 2025 au?
 
kamwe Demokrasia ya Vurugu haikubaliki ktk nchi hii ya Tanzania.
Vyombo vyetu vya Ulinzi na usalama kamwe havito mvumilia mtu yeyote yule atakaye jifanya yeye anaijua sheria zaidi ya Jeshi la polisi...
Kwahiyo polisi ndio wanajua sheria?
Hivi unaelewa ni muda gani mtu baada ya kushikiliwa anatakiwa afikishwe mahakamani?
 
Kuna haja ya serikali kuunda tume hurusu ipitie na kukagua hali ya mahabusu zote nchini. Wakague mazingira yake yakoje pamoja na idadi ya mahabusu wanaowekwa.

Amandla....
 
Yaani we jamaa kwaiyo kujua sheria zaidi ya polisi ni kosa, hata hao polisi hawako juu ya sheria mahabusu mtumiwa hatakiwi kukaa zaidi ya masaa 48 Sasa huoni hapo polisi wanavunja sheria makusudi inatakiwa ifikie kipindi polisi waanze kujitambua
ifikie mahala sisi raia na haswa wafuasi na wanachama wa chadema waache vurugu na kujiona wao wana haki kuliko watanzania wengine.
kwa utukutu walio nao chadema naunga mkono hatua zinazo chukuliwa na Jeshi la Polisi.

Chadema mkiacha utukutu Polisi hawato wasumbua. tusiwalaumu Polisi wakati Chadema ni watukutu.

Polisi wanafahamu jinsi ya kushughulika na watukutu na wakorofi.
 
Jana kwenye Space hili jambo lilijadiliwa kwa kirefu jinsi walivyonyanyasa Dada wa Watu bila kosa.

Walivyoulizwa wakasema eti "TISS" ndio waliomkamata kwa makosa ya mtandao! Tangu lini TISS wakakamata na kuweka watu mahabusu?

Leo wameona moto wa Jana kwenye Space wameamua kumuachia faster, kuna siku watajichanganya wataingia cha kike
yaani mtakuwa mnalalamika tu hivvyo na kibano mnapata
 
Narudia tena, tuna Jeshi la ajabu mno na linatia aibu sana sana, wamemshikilia kwa siku kibao, Mawakili wa Chadema wameenda mahakamani, Polisi wameona mambo yanakua magumu wamemuachia. Sasa tuna jeshi au genge?


Hivi si CHADEMA walitoa maelekezo kuwa hakuna kuwawekea dhamana wanaokamatwa na polisi na kakuna kupeleka mawakili kwa ajili yao? Ina maana maelekezo ya Lissu wanachadema wameyapuuza kama walivyompuuza na yeye mwenyewe?
 
Kelele zote upo humu JF, kisutu huonekani.
Kelele za mitandaoni ni muhimu sana. Zinaelimisha na kuhamasisha. Si wote wanaweza kwenda kisutu. Kelele zenye hoja zina nguvu sana, hasa zama hizi za ukandamizaji wa vyombo vya habari vya kawaida
 
Hahaha vuneni mlichopanda, mlishangilia sana kifo cha JPM mkadhani wasaidizi wake walikuwa wanafurahi mnavyomnanga marehemu, ngoja mpaka akili zikae sawa pimbi wakubwa. Heshimuni mamlaka, muwa na adabu na bado pimbi nyie

..na nyinyi mngesubiri wapinzani wafe ili mshangilie.

..kutumia jeshi la polisi kunyanya na kutesa wapinzani ni kuvunja sheria.
 
Polisi hawa wajaabu dunia mzima hakuna!

Kwa kifupi, hii serikali inastahili vikwazo kwa uvunjifu wa haki za binadamu.
Ni Sukuma Gang na MATAGA wanaolia?😁😁😁😆😆😆😆🤣🤣🤣🤣
 
ifikie mahala sisi raia na haswa wafuasi na wanachama wa chadema waache vurugu na kujiona wao wana haki kuliko watanzania wengine.
kwa utukutu walio nao chadema naunga mkono hatua zinazo chukuliwa na Jeshi la Polisi.
Chadema mkiacha utukutu Polisi hawato wasumbua. tusiwalaumu Polisi wakati Chadema ni watukutu.
Polisi wanafahamu jinsi ya kushughulika na watukutu na wakorofi.
Labda tuambie huo utukutu unaousema,kwani kuandaa vikao vya chama ni utukutu, kuomba mchakato wa katiba mpya ni utukutu?
Alafu mbona tunaona CCM wanafanya vikao bila kibughudhiwa wala kukamatwa na polisi
Mbona tumeona katibu mwenezi wa CCM na katibu wa UVCCM wamezunguka maeneo mbalimbali wakifanya vikao na mikutano ya hadhara ila hawasumbuliwi na polisi au ndio kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Ila kuna siku itakuja watu hawatakubali tena kunyamazishwa ndio mtaona wa unyanyasaji na uonevu wa polisi
 
Hahaha vuneni mlichopanda, mlishangilia sana kifo cha JPM mkadhani wasaidizi wake walikuwa wanafurahi mnavyomnanga marehemu, ngoja mpaka akili zikae sawa pimbi wakubwa. Heshimuni mamlaka, muwa na adabu na bado pimbi nyie
Kama ni hivyo nyinyi ndiyo nmekufa wengi sana na waandamizi hawa wasaidizi pia watakufa
 
Hivi si CHADEMA walitoa maelekezo kuwa hakuna kuwawekea dhamana wanaokamatwa na polisi na kakuna kupeleka mawakili kwa ajili yao? Ina maana maelekezo ya Lissu wanachadema wameyapuuza kama walivyompuuza na yeye mwenyewe?
Acha ujinga, hebu ficha ujinga wako hata kama unatumia ID fake. Neema sio Mbowe? Usikurupuke tuliza makalio. Hapa hakuna mshindi tunajadili hoja kwa hoja
 
Labda tuambie huo utukutu unaousema,kwani kuandaa vikao vya chama ni utukutu, kuomba mchakato wa katiba mpya ni utukutu?
Alafu mbona tunaona CCM wanafanya vikao bila kibughudhiwa wala kukamatwa na polisi
Mbona tumeona katibu mwenezi wa CCM na katibu wa UVCCM wamezunguka maeneo mbalimbali wakifanya vikao na mikutano ya hadhara ila hawasumbuliwi na polisi au ndio kunya anye kuku akinya bata kaharisha
Ila kuna siku itakuja watu hawatakubali tena kunyamazishwa ndio mtaona wa unyanyasaji na uonevu wa polisi
Sawa

IMG_20210811_164651.jpg
 
Acha ujinga, hebu ficha ujinga wako hata kama unatumia ID fake. Neema sio Mbowe? Usikurupuke tuliza makalio. Hapa hakuna mshindi tunajadili hoja kwa hoja
Matusi hayasaidii. Jenga hoja. Maelekezo ya Lissu hayakuwa kwa Mbowe tu. Alisema kila mwanachadema atakayekamatwa na polisi watamsusia polisi ili wamfanye wanavyotaka. Hakuna kumwekea dhamana. Haya yote yamepuuzwa. Hata kwa huyo Mbowe unayemsema, tunaona Chadema wamemwekea mawakili kibao tofauti na alivyoagiza Lissu kwamba asiwekewe dhamana. Maana yake Lissu amepuuzwa.
 
Back
Top Bottom