Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Kama kwa akili zako unaona kuwa tatizo lipo kwa Polisi walahi Tanzania tuna safari ndefu sana kufikia kuwa Taifa lenye raia wenye uelewa wa masuala!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi inaelekea kubaya hasa mnapoongozwa na rais asiyeona aibu kusema uongo hadharani. Mama ametuangusha vibaya sanaNarudia tena, tuna Jeshi la ajabu mno na linatia aibu sana sana, wamemshikilia kwa siku kibao, Mawakili wa Chadema wameenda mahakamani, Polisi wameona mambo yanakua magumu wamemuachia.
====
Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!
Unafanya kosa kubwa sana ndugu yangu, kuyajibu hayo matakataka ya mikesha ya mwenge ni kuyapa umaarufu wasiostahili. Mengine haya hapa;Sasa matusi ya nini? Mbona hata nyie mtakufa tu na nitashangilia? Ukijafanya kuleta lugha chafu ujue Mimi Nina lugha za kuudhi hadi ubadilishe ID kama wale mbwa wenzio. So ujibu kwa heshima
Angalia huyu mbusi, tunaongea mambo ya maana wewe unaleta jokesyaani mtakuwa mnalalamika tu hivvyo na kibano mnapata
Shukrani sanaUnafanya kosa kubwa sana ndugu yangu, kuyajibu hayo matakataka ya mikesha ya mwenge ni kuyapa umaarufu wasiostahili. Wengine hawa hapa;
- Wakudadavuwa
- shamimuodd
- Redpanther
- GENTAMYCINE
- Jasusi Mbobezi
- Elitwege
- Idugunde
- Jumbe Brown
- Kamanda Asiyechoka
- johnthebaptist
- USSR
- Magonjwa Mtambuka
- Dr Akili
- JUMA JUMA
- Janjaweed
- mtanzania1989
- Phillipo Bukililo
- Mr Dudumizi
- digba sowey
- IDEGENDA
- Niza doyi
- Kivumishi Kielezi
- Gerald .M Magembe
- Jasusi Mbobezi
- Jay One
- Stuxnet
- Ezekiel Mbaga
- Latvia
kipi cha maana sasa hapo chadema na uhuni wenu nani asiyewajuwaAngalia huyu mbusi, tunaongea mambo ya maana wewe unaleta jokes
Hustahili kujibiwa na Mimikipi cha maana sasa hapo chadema na uhuni wenu nani asiyewajuwa
Polisi wetu wana matizo lakini siyo dunia nzima acha kuropoka hovyo.Polisi hawa wajaabu dunia mzima hakuna!
Kwa kifupi, hii serikali inastahili vikwazo kwa uvunjifu wa haki za binadamu.
Sasa pimbi wenu si alishakufa kwa covid,nendeni kaburini kwake mkashinde uchi ...siku ya tatu atafufuka malaika wenu mwenye file mirembeHahaha vuneni mlichopanda, mlishangilia sana kifo cha JPM mkadhani wasaidizi wake walikuwa wanafurahi mnavyomnanga marehemu, ngoja mpaka akili zikae sawa pimbi wakubwa. Heshimuni mamlaka, muwa na adabu na bado pimbi nyie
hata wewe huna hadhi ya kujadiri na mimi we pimbi tu kwanguHustahili kujibiwa na Mimi
Mliambiwa serikali ni ileile tofsuti ni me na ke, nawasalimu kwa jina la kazi iendelee.Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!
Mawakili wetu muda huu wamepata 'summons' (wito) ya kesi ya Neema Sakalile Mwakipesile. Ni case Number 156 ya mwaka 2021 imepangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Mhe. Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM.
Hatua hii imekuja baada ya Mawakili wake kuripoti Mahakamani unlawful detention ya mteja wao na wakaiomba mahakama kutoa amri ya kuletwa mbele ya Mahakama. Kisheria inaitwa "Habeas corpus"
Nguruwe pori kama nyie sipotezi mudahata wewe huna hadhi ya kujadiri na mimi we pimbi tu kwangu
Haya Wanachadema wenzangu mniambie sasa Mahakama zipo Huru au zimefungwa na Samia Suluhu Hassan ?Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!
Mawakili wetu muda huu wamepata 'summons' (wito) ya kesi ya Neema Sakalile Mwakipesile. Ni case Number 156 ya mwaka 2021 imepangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Mhe. Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM.
Hatua hii imekuja baada ya Mawakili wake kuripoti Mahakamani unlawful detention ya mteja wao na wakaiomba mahakama kutoa amri ya kuletwa mbele ya Mahakama. Kisheria inaitwa "Habeas corpus"
You are so fragile, man, yaani kuitwa pimbi tu tayari usha catch feelingsSasa matusi ya nini? Mbona hata nyie mtakufa tu na nitashangilia? Ukijafanya kuleta lugha chafu ujue Mimi Nina lugha za kuudhi hadi ubadilishe ID kama wale mbwa wenzio. So ujibu kwa heshima
Hahahaah hahahaah sometimes kama binadamu naghafilika pia, ningekua na-catch feelings nisingeweza kuwepo humu hadi Leo Mpwa. RelaxYou are so fragile, man, yaani kuitwa pimbi tu tayari usha catch feelings
Case ya Neema iko wazi sana na huwezi kuifanyia referenceHaya Wanachadema wenzangu mniambie sasa Mahakama zipo Huru au zimefungwa na Samia Suluhu Hassan ?
Good that you gotchaHahahaah hahahaah sometimes kama binadamu naghafilika pia, ningekua na-catch feelings nisingeweza kuwepo humu hadi Leo Mpwa. Relax
Kama Rais angeamua kufanya udikteta nani hangemzuia ?Case ya Neema iko wazi sana na huwezi kuifanyia reference
Sikuwahi kumsikia SSH akisema kuhusu kufungulia mahakama. Halafu azifungeje tena wakati tayari zina kufuli la CCM/dola? Yeye sasa anafungua nchi, anafungua uchumi na keshafungua uhuru wa vyombo vya habari.Haya Wanachadema wenzangu mniambie sasa Mahakama zipo Huru au zimefungwa na Samia Suluhu Hassan ?