Mahakama Kuu yaamuru Polisi kumfikisha Mahakamani Neema Mwakipesile wa BAWACHA Agosti 12, 2021

Mahakama Kuu yaamuru Polisi kumfikisha Mahakamani Neema Mwakipesile wa BAWACHA Agosti 12, 2021

Kama kwa akili zako unaona kuwa tatizo lipo kwa Polisi walahi Tanzania tuna safari ndefu sana kufikia kuwa Taifa lenye raia wenye uelewa wa masuala!
 
Narudia tena, tuna Jeshi la ajabu mno na linatia aibu sana sana, wamemshikilia kwa siku kibao, Mawakili wa Chadema wameenda mahakamani, Polisi wameona mambo yanakua magumu wamemuachia.

====

Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!
Nchi inaelekea kubaya hasa mnapoongozwa na rais asiyeona aibu kusema uongo hadharani. Mama ametuangusha vibaya sana
 
Sasa matusi ya nini? Mbona hata nyie mtakufa tu na nitashangilia? Ukijafanya kuleta lugha chafu ujue Mimi Nina lugha za kuudhi hadi ubadilishe ID kama wale mbwa wenzio. So ujibu kwa heshima
Unafanya kosa kubwa sana ndugu yangu, kuyajibu hayo matakataka ya mikesha ya mwenge ni kuyapa umaarufu wasiostahili. Mengine haya hapa;
  1. Wakudadavuwa
  2. shamimuodd
  3. Redpanther
  4. GENTAMYCINE
  5. Jasusi Mbobezi
  6. Elitwege
  7. Idugunde
  8. Jumbe Brown
  9. Kamanda Asiyechoka
  10. johnthebaptist
  11. USSR
  12. Magonjwa Mtambuka
  13. Dr Akili
  14. JUMA JUMA
  15. Janjaweed
  16. mtanzania1989
  17. Phillipo Bukililo
  18. Mr Dudumizi
  19. digba sowey
  20. IDEGENDA
  21. Niza doyi
  22. Kivumishi Kielezi
  23. Gerald .M Magembe
  24. Jasusi Mbobezi
  25. Jay One
  26. Stuxnet
  27. Ezekiel Mbaga
  28. Latvia
  29. Iboya2021
Kama jina lako halipo na unajiona una sifa zote za kuunganishwa katika orodha hii nitumie ujumbe, nitafanya hivyo chap chap!
 
Hahaha vuneni mlichopanda, mlishangilia sana kifo cha JPM mkadhani wasaidizi wake walikuwa wanafurahi mnavyomnanga marehemu, ngoja mpaka akili zikae sawa pimbi wakubwa. Heshimuni mamlaka, muwa na adabu na bado pimbi nyie
Sasa pimbi wenu si alishakufa kwa covid,nendeni kaburini kwake mkashinde uchi ...siku ya tatu atafufuka malaika wenu mwenye file mirembe
 
Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!

Mawakili wetu muda huu wamepata 'summons' (wito) ya kesi ya Neema Sakalile Mwakipesile. Ni case Number 156 ya mwaka 2021 imepangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Mhe. Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM.

Hatua hii imekuja baada ya Mawakili wake kuripoti Mahakamani unlawful detention ya mteja wao na wakaiomba mahakama kutoa amri ya kuletwa mbele ya Mahakama. Kisheria inaitwa "Habeas corpus"
Mliambiwa serikali ni ileile tofsuti ni me na ke, nawasalimu kwa jina la kazi iendelee.
 
Polisi wenu wamemuachia HURU Bi. Neema Mwakipesile Sakalile baada ya mawakili wetu kupeleka Habeas Corpus mahakamani na kesi kupangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM... Muda huu wamemuachia baada siku 15.. Huu ni UONEVU!

Mawakili wetu muda huu wamepata 'summons' (wito) ya kesi ya Neema Sakalile Mwakipesile. Ni case Number 156 ya mwaka 2021 imepangwa tarehe 12/08/2021 (kesho) saa 03:00 asubuhi mbele ya Mhe. Jaji Mgonya, Mahakama Kuu, DSM.

Hatua hii imekuja baada ya Mawakili wake kuripoti Mahakamani unlawful detention ya mteja wao na wakaiomba mahakama kutoa amri ya kuletwa mbele ya Mahakama. Kisheria inaitwa "Habeas corpus"
Haya Wanachadema wenzangu mniambie sasa Mahakama zipo Huru au zimefungwa na Samia Suluhu Hassan ?
 
Sasa matusi ya nini? Mbona hata nyie mtakufa tu na nitashangilia? Ukijafanya kuleta lugha chafu ujue Mimi Nina lugha za kuudhi hadi ubadilishe ID kama wale mbwa wenzio. So ujibu kwa heshima
You are so fragile, man, yaani kuitwa pimbi tu tayari usha catch feelings
 
Haya Wanachadema wenzangu mniambie sasa Mahakama zipo Huru au zimefungwa na Samia Suluhu Hassan ?
Sikuwahi kumsikia SSH akisema kuhusu kufungulia mahakama. Halafu azifungeje tena wakati tayari zina kufuli la CCM/dola? Yeye sasa anafungua nchi, anafungua uchumi na keshafungua uhuru wa vyombo vya habari.
 
Back
Top Bottom