Mahakama Kuu yamhukumu Grace Mushi kunyongwa hadi kufa kwa kumchoma mpenzi wake ndani ya nyumba mpaka kufa

Huu ukatili kwa kichocheo cha mapenzi.. Kuna binadamu hawasalitiwi
 
Huu ukatili kwa kichocheo cha mapenzi.. Kuna binadamu hawasalitiwi
 
Wadada wa kichaga ni makatili sana tttt!?
Hivi ukatili wao husababishwa na nini!?
 
Khaaaa! Sasa mbona nyundo asubuhi hivi kabla hata watu hatujapiga mswaki?
 
Hii iwe fundisho kwa wote wanaojichukulia sheria mkononi
Hawa walishapigana chini lakini inavyoonekana jamaa alikuwa kwa dem kimslahi,ndomana hiyo siku dem akampigia jamaa sim na kumwambia waende wakapige vyombo jamaa kusikia hivyo faster akamkimbilia dem
Dem akampa vyombo jamaa hadi kusizi ndy badaye yakamkuta

Ova
 
Mshkaji alikua. Marioo, añafungwa na mtoto wa kike afu anaendekeza ukitombi kwa resources za demu, grace akasema mbulaa isiww shida, unapita hivi.
Alikuwa kimaslahi kwa dem huyo
Umario umemponza

Ova
 
Hii ndio tatizo la kuendekeza mapenzi na kujifanya unajua kupeeeeeeendaaaaa...Rubbish
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…