johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #21
Kwani wale magaidi wa uamsho kesi yao inasikilizwa wapi bwashee?Sasa huyo gaidi na hiyo kesi yake ya ugaidi shauri lake litasikilizwa wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wale magaidi wa uamsho kesi yao inasikilizwa wapi bwashee?Sasa huyo gaidi na hiyo kesi yake ya ugaidi shauri lake litasikilizwa wapi?
Wale si walishaachiwa? Au mimi nimepitwa na hili? Nilisikia kwamba waliachiwa. Au walikamatwa tena?Kwani wale magaidi wa uamsho kesi yao inasikilizwa wapi bwashee?
Mapingamizi ndiyo yanajenga hojahivi mawakili wa mbowe kwanini wasiachie kesi iendelee ? hivi kuichelewesha kwa mapingamizi siyo kumuumiza mtuhumiwa kweli? mawqzo yangu tu sijui sheria
Ukishafikisha ujumbe mara moja haukai hapo kusubiri jibu, utaitwa wakati ukifika.Siku hizi huwa hakuna wale raia wanaoturushia majibizano mahakamani japo kwa muhtasari?
Basi na Mbowe ataachiwa.Wale si walishaachiwa? Au mimi nimepitwa na hili? Nilisikia kwamba waliachiwa. Au walikamatwa tena?
Hawakujua kama hatuna hiyo mahakama? Sasa nini maana ya kumpotezea muda mtu kwa kitu ambacho huna mwisho nacho??Basi na Mbowe ataachiwa.
Hakuna mahakama ya magaidi!
Unadhani kuna mchagga anaweza kuwa gaidi?Hawakujua kama hatuna hiyo mahakama? Sasa nini maana ya kumpotezea muda mtu kwa kitu ambacho huna mwisho nacho??
Lakini magaidi si huwa wanauawa ili nchi na dunia iwe huru, kwa sababu hawa watu si wa kuwachekea. Ndiyo maana nchi kubwa ziliposikia Tanzania kuna gaidi limekamatwa na limefikishwa mahakanani na kwamba kuna ushahidi usioacha shaka yoyote (Notebook ya gaidi), waliwatuma mabalozi wao wakasikilize hiyo kesi mahakanani. Nadhani kama tutamuachia huyu gaidi, tutakua tumeipaka matope nchi yetu. Huyu inafaa auawe ndipo mataifa yatatuona tuko imara kupambana na magaidi.
Sijui kama ugaidi una makabila?Unadhani kuna mchagga anaweza kuwa gaidi?
hivi mawakili wa mbowe kwanini wasiachie kesi iendelee ? hivi kuichelewesha kwa mapingamizi siyo kumuumiza mtuhumiwa kweli? mawqzo yangu tu sijui sheria
Hii ngoma imefika patamu. Sasa mdundo wake unaruhusu watu kucheza ngoma. Muda utatoa majibu.Inatakiwa kila kitu kihojiwe na kuangaliwa kwa umakini wake na mpaka sasa Mawakili wa upande wa utetezi wamefanya vyema kuhoji masuala ya mwenendo mzima jinsi watuhumiwa walivyokamatwa, mashtaka yao yalivyofunguliwa, ofisi ya DPP ilivyotekeleza wajibu wake, vifungu vya sheria vilivyotumika kuwakilisha kesi mbele ya mheshimiwa Jaji ili aweze kuhukumu kwa haki.
CCM mnatumia dola vibaya snKesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe inaendelea leo kwenye mahakama ya mafisadi.
Pia soma > Mahakama ya Uhujumu Uchumi: Mvutano mkali kesi ya Mbowe na wenzake. Hatma ya kesi kujulikana Septemba 6
Mungu ampe wepesi mwanasiasa huyu nguli, amen
View attachment 1926049
Freeman Mbowe akiongea na Mawakili wake
Upo sahihiInatakiwa kila kitu kihojiwe na kuangaliwa kwa umakini wake na mpaka sasa Mawakili wa upande wa utetezi wamefanya vyema kuhoji masuala ya mwenendo mzima jinsi watuhumiwa walivyokamatwa, mashtaka yao yalivyofunguliwa, ofisi ya DPP ilivyotekeleza wajibu wake, vifungu vya sheria vilivyotumika kuwakilisha kesi mbele ya mheshimiwa Jaji ili aweze kuhukumu kwa haki.
Inafichwa fichwaSiku hizi huwa hakuna wale raia wanaoturushia majibizano mahakamani japo kwa muhtasari?
Maelekezo kutoka juuMahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi yatupilia mbali pingamizi la kina Freeman Mbowe na wenzake, kesi sasa kuendelea-MCL