Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Nimeicheki asee. Dah jamaa alikuwa anatetemeka balaa mikono inasheki. Yani hat msukuma na kibajaji wanaconfident kumshinda.
Unajua ule moto Prof Muhongo alitakiwa awe pale alikimbia mimi naendelea kumuonea Iman alipelekwa kwenye kisu asichokijua wadogo wana maswali ya balaa mno mno ni kama Mwanasheria mmoja bwana mdogo wa Kenya ana balaa sana sio wa kuingia anga zake...
 
Hivi hamuoni kama taifa Lina shida kubwa sana wakuu?
Tukae hapohapo kwenye mkataba huo
  • Je, prof. Mruma alikuwepo kwenye kudraft hiyo contract?
  • Je, ni nan alieshiriki kwenye hiyo process?
  • Kama hakuwepo, team iliyodraft mkataba imeenda wapi mpka Prof. Aingie kwenye game mda huo?
Point yangu ya msingi ni kuwa mikataba wanasaini watu wa madili mjini mambo yakibuma wanaanza kutafutwa wataalamu wa kada husika, it's a shame guys.
Mfano: Office za umma zifuatazo zilitakiwa angalau ziwe na geologists kama list zao za wafanyakazi;
-CAG office
-Attorney general office
-Mkemia mkuu office
-TBS
-NEMC
-TBA
-Ikulu
-Mahakama
-TANESCO
- Bunge
Kwenye hizo office ukitoa TANESCO ni office moja tu imeajiri geologists mwaka huu, CAG office.
So guys, haya ni matokeo ya taifa kuongozwa na siasa plus watu wa dili kuliko weledi.
 
HUKO NJE HAKUNAGA UJANJA UJANJA,
UBABE UBABE WA POLISI,
KUJUANA JUANA,

MATAKEO NDIO HAYOO.!
AU
TUMESHINDWA HIZI KESI KWA SABB YA CHADEMA!?
 
Unajua ule moto Prof Muhongo alitakiwa awe pale alikimbia mimi naendelea kumuonea Iman alipelekwa kwenye kisu asichokijua wadogo wana maswali ya balaa mno mno ni kama Mwanasheria mmoja bwana mdogo wa Kenya ana balaa sana sio wa kuingia anga zake...
Mkuu nna uhakika aliekua upande wa kampuni against Prof ni mwanasheria anazo ABC za geology lakn ni mbobezi wa Sheria za madini, jiulize Tanzania kama taifa tuna wanasheria waliobobea kwenye madini? Kwanini waliosaini mkataba (wanasheria) wamefyata mikia?
Ningetaman sana hili jambo liwe kama wake up call kama taifa kurekebisha mambo mengi.
 
Wangeenda wa vyuo vingine ndo wasingejibu kabisa
 
Huyo ndio think tank wa serikali,yupo hapo hajui chochote yuko kama lusinde
Hivi hamuoni kama taifa Lina shida kubwa sana wakuu?
- Mkataba unaohusu madini unatakiwa uwe na wataalamu mbalimbali kwenye makubaliano na kuuandaa kama, geologists, Engineers, financial experts, lawyers (waliobobea kwenye madini), environmental experts, and etc. Sisi mikataba yetu team inakuwa na akina Msukuma mnategemea nini? Mambo yakibuma ndio watu wanaanza kutafuta wataalamu wa kada husika. Inatia uchungu lakini basi kwa kua watanzania tunapenda kushabikia baya la mtu tunaona ni kawaida tu, guys hali ya taifa inatisha.
Twende kwenye huo mkataba Sasa:
  • Je, prof. Mruma alikuwepo kwenye kudraft hiyo contract?
  • Je, ni nan alieshiriki kwenye hiyo process ya contract preparation?
  • Kama hakuwepo, team iliyodraft mkataba imeenda wapi mpka Prof. Aingie kwenye game mda huo?
Point yangu ya msingi ni kuwa mikataba wanasaini watu wa madili mjini mambo yakibuma wanaanza kutafutwa wataalamu wa kada husika, it's a shame guys.
Mfano: Office za umma zifuatazo zilitakiwa angalau ziwe na geologists kwenye list zao za wafanyakazi;
-CAG office
-Attorney general office
-Mkemia mkuu office
-TBS
-NEMC
-TBA
-Ikulu
-Mahakama
-TANESCO
- Bunge
Kwenye hizo office ukitoa TANESCO ni office moja tu imeajiri geologists mwaka huu, CAG office.
So guys, haya ni matokeo ya taifa kuongozwa na siasa plus watu wa dili kuliko weledi.
 
huyu kijana anaujua upumbavu wote wa ccm, ndiyo sababu amespcialised kuiadhibu TZ
 
Hiyo nafasi ilikuwa ya Professor Kabudi au hata mwanasheria mwingine Nguli.
sasa Sijui ilikuwaje akaenda Geologist?
Kimsingi mtaalam sio kazi yake kujibu masuala ya Kisera. Ningekuwa ni mimi wala singekubali kuhojiwa.....
Mkuu, geologist anaenda kuhojiwa na mwanasheria unategemea nini hapo?
 
Tuwekee hiyo clip, pls
 
Hiyo nafasi ilikuwa ya Professor Kabudi au hata mwanasheria mwingine Nguli.
sasa Sijui ilikuwaje akaenda Geologist?
Kimsingi mtaalam sio kazi yake kujibu masuala ya Kisera. Ningekuwa ni mimi wala singekubali kuhojiwa.....
... Prof. Mruma alienda kama shahidi na sio wakili. Ikumbukwe akiwa CEO wa GST, documents za mkataba zilipitia kwenye desk lake kama hatua ya kukamilisha process.

By the way, nakubaliana na mapungufu mengi kutoka taasisi zetu za umma including kutokuwa makini linapokuja suala la "maandishi" hasa kwa vitu sensitive kama mikataba ya kimataifa.

Mfano rahisi, angalia barua kutoka ofisi hiyo hiyo ya Prof. Mruma; pay special attention to the complimentary close (Thank you for your corporation). Unajiuliza kama hiyo ni just barua tena waliyaondika wenyewe; mkataba waliusoma wakauelewa kweli?

Barua hiyo inatumika kama kielelezo kwenye kesi ambayo Prof. Mruma anadhalilishwa na vijana wadogo wa kizungu.

 
Akili zingine bhana wewe utakuwa mdogo wake Mruma, sasa geologist kwenye hizi office ni wanini?
Attorney general office
-Mkemia mkuu office
-TBS
-NEMC
-TBA
-Ikulu
-Mahakama
-TANESCO
- Bunge
Geologist anatakiwa kuwepo CAG office pekee kwasababu anakagua madini.
 
Umeandika kweli tupu.
CCM vitu pekee wanavyoweza kuvisimamia kwa ufanisi ni uasherati, uzinzi na ushirikina.
 
BORA HATA HUYU ITAKUWA KITUKO CHA MIAKA ENDAPO CHADEMA WATAKUJA KUSHIKA MADARAKA HALAFU WATUME WATAALAMU WAO KINA HECHE HUKOI HATA KUONGEA HAWATAWEZA KELELE ZAO ZIKO HAPAHAPA NCHINI TU NISIFURI KABISA AU UNAMTUMA YULE DOGO WA VIJANA MWENEYEKITI YAANI NI UOZO MTUPU
 
Ishu ni usomi au ishu ni lugha.Kwani inakatazwa kuhojiwa kwa lugha yako ya kiswahili?
 
Pro. Mruma hakushindwa kunibu ila siku hiyo aliamka vibaya au tuseme alikuwa anaumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…