Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Mahakama ya ICSID: Professional bullying anayofanyiwa Profesa Mruma inafedhehesha jamii ya Wanazuoni

Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

---
Winshear Gold Corp. Vs. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25).
Kesi hii ipo chini ya Rais Gabrielle Kaufmann Hohrer kutoka Uswizi.

Mashahidi wetu huko ni Prof. Mruma na Mwanasheria wa Serikali bwana Igenge.


---
Video 1: Profesa Mruma akihojiwa
View attachment 2698386

Video 2: Mkurugenzi wa Huduma za Sheria(Wizara ya Madini) Edwin Igenge akihojiwa na Robert Denison
View attachment 2698385

---
WASIFU WA PROFESA MRUMA

Dkt. Mruma ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwa sasa ni Profesa wa Jiolojia. Profesa Mruma kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Tume ya Madini nchini Tanzania.

Mwaka 2017 Hayati Rais Magufuli alimteua Prof. Abdulkarim Mruma kuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Kuhifadhi Mafuta (TIPER)

Profesa Mruma alijizolea umaarufu 24 Mei, 2017 baada ya kuongoza Kamati maalum iliyondwa na Rais Magufuli kuchunguza mchanga ulio katika makontena yenye mchanga wa madini (makinikia) yaliyopo katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania

-
Dkt. Abdulkarim Hamisi Mruma Ph.D. M.Sc. B.Sc. ni Mkurugenzi wa Kujitegemea wa Tanzania Royalty Exploration Corporationration. Dkt Mruma ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako kwa sasa ni Profesa wa Jiolojia.

Masomo yake ya Uzamili yalijumuisha tafiti katika vyuo vikuu na taasisi za Serikali nchini Ujerumani, Ubelgiji, Zimbabwe na Ufini.

Ameandika ripoti za kiufundi kuhusu mada mbalimbali za kijiolojia na kuchangia katika majarida kadhaa ya kiufundi na yasiyo ya kiufundi juu ya anuwai ya masomo ya Jiolojia.

Orodha ya machapisho hayo ni pamoja na Jarida la UNESCO la Sayansi ya Ardhi ya Afrika na Jarida la Tanzania la Sayansi ya Dunia.

Mbali na majukumu yake ya kitaaluma, Dk. Mruma ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania nafasi ambayo ameitumikia tangu Oktoba 2004.

Pia anahudumu kama Mjumbe wa Bodi ya Chuo cha Sayansi za Ardhi cha Williamson Diamonds Limited cha Chuo Kikuu cha Dodoma na Shirika la Madini la Taifa la Tanzania mshirika wa ubia wa Kampuni ya Uboreshaji wa Mradi wa Buckreef Gold Mine.
Hyo mahakama kama una tatzo la lugha ya malkia.. unaingia hapo ushashindwa 60%
 
Kumamamaqe tunawambiaga mikataba muwe mnaandika kwa kiswahili hamsikii ona anavyomungunya maneno sasa [emoji188][emoji188][emoji188][emoji188][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Magufuli aligundua kuwa CCM imejaa maboga yasiyoweza kumsaidia lolote ndiomaana alianza kuiba vijana wenye elimu nje ya CCM na kuwaingiza kwenye mfumo.

Nchi ya kipumbavu kabisa hii.
Lakini mbona na yeye alikuwa matope tu kama siyo kujaza minyoo kichwani😎
 
Pro Mruma sio kwamba ni kiliza ila maji ya kimwagika haya zoleki ,kilicho fanyika ni kama alilazimishwa uokote maji yaliyomwagika which is impossible na ndio haya haya ya bandari tunayoyapigia kelele sasa hivi ,let's us be serious in any covenant we want to enter into ,history will judge us.
 
Ameitwa kama shahidi...Tusitetee uzembe. Serikali itaku protect vipi kama wewe mwenyewe siyo independent in thinking?

Academics have to learn to abstain from being used like toilet papers...Kuna jinsi ya kushauri viable options badala ya kwanza kujidhalilisha wewe mwenyewe na taaluma Kwa ujumla. Hii iwe fundisho for the rest of us!
Not in Tanzania
 
Profesa Mruma amepata pigo kubwa sana kwa umri wake; waliomtuma huko Duniani wamedhamiria adhalilishwe na lengo limetimia . Anaulizwa kwa fedheha " haya ndiyo unawafundisha wanafunzi wako wa UDSM?

Muuliza swali ni mtoto wake wa kumzaa. Kwanini tumeruhusu wasiojiweza watusimamie?

---
Winshear Gold Corp. Vs. United Republic of Tanzania (ICSID Case No. ARB/20/25).
Kesi hii ipo chini ya Rais Gabrielle Kaufmann Hohrer kutoka Uswizi.

Mashahidi wetu huko ni Prof. Mruma na Mwanasheria wa Serikali bwana Igenge.


---
Video 1: Profesa Mruma akihojiwa
View attachment 2698386

Video 2: Mkurugenzi wa Huduma za Sheria(Wizara ya Madini) Edwin Igenge akihojiwa na Robert Denison
View attachment 2698385

---
WASIFU WA PROFESA MRUMA

Dkt. Mruma ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambaye kwa sasa ni Profesa wa Jiolojia. Profesa Mruma kwa sasa anahudumu kama Kamishna wa Tume ya Madini nchini Tanzania.

Mwaka 2017 Hayati Rais Magufuli alimteua Prof. Abdulkarim Mruma kuwa Mwenyekiti wa Kampuni ya Kuhifadhi Mafuta (TIPER)

Profesa Mruma alijizolea umaarufu 24 Mei, 2017 baada ya kuongoza Kamati maalum iliyondwa na Rais Magufuli kuchunguza mchanga ulio katika makontena yenye mchanga wa madini (makinikia) yaliyopo katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania

-
Dkt. Abdulkarim Hamisi Mruma Ph.D. M.Sc. B.Sc. ni Mkurugenzi wa Kujitegemea wa Tanzania Royalty Exploration Corporationration. Dkt Mruma ni mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam ambako kwa sasa ni Profesa wa Jiolojia.

Masomo yake ya Uzamili yalijumuisha tafiti katika vyuo vikuu na taasisi za Serikali nchini Ujerumani, Ubelgiji, Zimbabwe na Ufini.

Ameandika ripoti za kiufundi kuhusu mada mbalimbali za kijiolojia na kuchangia katika majarida kadhaa ya kiufundi na yasiyo ya kiufundi juu ya anuwai ya masomo ya Jiolojia.

Orodha ya machapisho hayo ni pamoja na Jarida la UNESCO la Sayansi ya Ardhi ya Afrika na Jarida la Tanzania la Sayansi ya Dunia.

Mbali na majukumu yake ya kitaaluma, Dk. Mruma ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Jiolojia Tanzania nafasi ambayo ameitumikia tangu Oktoba 2004.

Pia anahudumu kama Mjumbe wa Bodi ya Chuo cha Sayansi za Ardhi cha Williamson Diamonds Limited cha Chuo Kikuu cha Dodoma na Shirika la Madini la Taifa la Tanzania mshirika wa ubia wa Kampuni ya Uboreshaji wa Mradi wa Buckreef Gold Mine.
Kwanini Prof Sospeter Muhongo aliyesaini nyaraka na pia alikuwa waziri wa nishati na madini mwaka 2013-2014 hakuwa miongoni mwa mashahidi waliopelekwa kwenye mahakama kutetea maamuzi ya Tanzania?
 
Hilo ndio Tatizo letu Tanzania, tunataka mambo ya Miamba basi heads wa idara lazima awe geologist au Head wa Idara ya Afya head awe MD.

sasa case kama hiyo si bora angeenda lawyer kuwakilisha.
ukiwa mkuu wa taasisi, hizo ni fursa. kusafir, maposho, shopping ...nk. kila mtu anajua mambo ya kisheria wanaachiwa wenyewe lkn wp, wanajpeleka wenyewe. wameadhirika vy kutosha lkn wakilingnisha na watakachovuna, wanaxema "potlea mbl". Tz ttaendlea kushindwa kesi ktk mahakma z nje had ttakapokuwa na serkali makini. katiba mpya ni xaxa
 
Hilo ndio Tatizo letu Tanzania, tunataka mambo ya Miamba basi heads wa idara lazima awe geologist au Head wa Idara ya Afya head awe MD.

sasa case kama hiyo si bora angeenda lawyer kuwakilisha.
Hatuna Mwanasheria toka Tanzania anaweza kusimama High Court Londan akashinda kesi
 
Hivi Mruma ni mtaalamu wa Sheria ama yule ni Geologist?

Why serikali inawatuma watu wa miamba wakalitetee taifa kwenye maswala ya Kisheria?

Muda mwingine unaweza kufikiria kuna baadhi ya watu wanataka Tanzania ishindwe, idaiwe Mabillion kisha nao wapate mgao.
Loud and clear
 
Nimesikiliza ushahidi wote wa pande zote kwenye kesi hiyo.Nilichobaini wanasheria wetu wa Tanzania wako vizuri sana.Wanasheria wa Winshear ni wababaishaji wanaotumia taarifa za kwenye magazeti tu.Pia walalamikaji ni wababaishaji kabisa.
Hiyo kesi Tanzania tunastahili kushinda.
 
Nimesikiliza ushahidi wote wa pande zote kwenye kesi hiyo.Nilichobaini wanasheria wetu wa Tanzania wako vizuri sana.Wanasheria wa Winshear ni wababaishaji wanaotumia taarifa za kwenye magazeti tu.Pia walalamikaji ni wababaishaji kabisa.
Hiyo kesi Tanzania tunastahili kushinda.

Wewe ni mchambuzi kuliko kocha aliyekuwa mpirani.
Kwa nini wanaogopa wanaowaeleza ukweli kuhusu kesi za tanzania wanabakia kupeleka wanaojua wao na kila kesi tunashindwa
 
Ubobezi wa wasomi wa TZ, tena hawa, waliopo serikalini,ni ndani ya, nchi, tu, nje huko ni vilaza watupu, huwa tunaona hata kesi za, hapa, nchini, jinsi wanavyoburuzwa na kina Kibatala,mpaka serikali inabidi iingilie kumshawishi, hakimu ahamue kwa upendeleo,
Wewe unaburuzwa na Kibatala, tena bongo, kwa kiswahili,tena Kibatala mwenyewe hajasoma Harvard,
Sembuse ukakutane na vichwa vya Harvard! Tena kwa kizungu!
Huyo Igenge, kila kitu akiulizwa ye ye anasema Yeeees, kumbe hajasikia swali, sehemu ya kusema "please come again, au, please repeat ur question! Ye ye amekazana tu Yeeees! Cross examining lawyer akawa anaandika tu, anajua shahidi kakubali.
Mawakili wetu wameenda kuuza sura tu,
Wale wadada, walichofanya kilichokuwa kina catch attention, ni style ya nywele tu, kwa kweli walipendeza,
Ila haya majina haya!" Kendaguza"
 
Back
Top Bottom