Hizo shughuli za kuhatarisha usalama ni zipi?Wanakumbi.
🇮🇷Mahakama ya Iran imewahukumu kifo wanachama 4 wanaohusishwa na MOSSAD, ambao walikamatwa hapo awali.
Magaidi hawa chini ya uongozi wa maafisa wa Mossad, walikuwa wakifanya shughuli za kuhatarisha usalama wa Iran.
View: https://x.com/aryjeay/status/1740616443589521684?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Iran ina nguvu sana. Kihistoria Irani ni transformation ya Babeli, Waamedi na Waajemi ambao waliwakamata Wayahudi na kuwatumikisha Utumwani kwa miaka mingi kule Nchi ya Shinari, Elamu na Ngomeni.Tehran itawaka moto muda si mrefu. Wanasayansi wajiandae.
Si uziseme?Unauliza swali la kipuuzi sana.
Glad to hear this good news
Huyo anaempangia mwenzake ndo nani,,, jidanganye tu dunia imebadilika, Spain, France, wamemchomolea bwana wenu mmarekani ktk ule umoja wake mpya aliouanzisha wa kulinda bahari nyekundu lengo kumlinda last born wa mungu mzayuni..Iran wamepangiwa Wahindi 😂😂
Mzungu ana dharau Sana!
Iran kapangiwa na Magabacholi 😂Huyo anaempangia mwenzake ndo nani,,, jidanganye tu dunia imebadilika, Spain, France, wamemchomolea bwana wenu mmarekani ktk ule umoja wake mpya aliouanzisha wa kulinda bahari nyekundu lengo kumlinda last born wa mungu mzayuni..
We bado upo zama za kale za mawe,, six day war, rambo peke yake anapigana na Vietnam nzima anashinda, za kuambiwa changanya na zako, najua unaombea kweli iwe hivyo, lkn hizo ndoto za mchanaIran kapangiwa na Magabacholi 😂
Hao sio MOSSA, hao ni raia wa Iran kila siku Iran inaua raia wake wenyewe kwa kisingizio cha kushirikiana na MOSSADWanakumbi.
🇮🇷Mahakama ya Iran imewahukumu kifo wanachama 4 wanaohusishwa na MOSSAD, ambao walikamatwa hapo awali.
Magaidi hawa chini ya uongozi wa maafisa wa Mossad, walikuwa wakifanya shughuli za kuhatarisha usalama wa Iran.
View: https://x.com/aryjeay/status/1740616443589521684?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Waliwakamata wayahudi sababu walimuuzi Mungu kwa kutumikia miungu mingineIran ina nguvu sana. Kihistoria Irani ni transformation ya Babeli, Waamedi na Waajemi ambao waliwakamata Wayahudi na kuwatumikisha Utumwani kwa miaka mingi kule Nchi ya Shinari, Elamu na Ngomeni.
Vita ya wayahudi na Waajemi tunaweza kuiona Tangu zamani enzi za Kina Daniel, Nehemia, Ezra, Nebkadinzea, Yehoyakim, yekonia, Hezekia na Akina Amoni.
Mahakama ya Iran imewahukumu kifo wanachama 4 wanaohusishwa na MOSSAD, ambao walikamatwa hapo awali.Hao sio MOSSA, hao ni raia wa Iran kila siku Iran inaua raia wake wenyewe kwa kisingizio cha kushirikiana na MOSSAD
Umehamaki tu bure! Anaweza kuwa hana maana ya kukejeli kama unavyozani wewe.Unauliza swali la kipuuzi sana.
Glad to hear this good news
Iran siku ya Ijumaa iliwanyonga watu wanne waliopatikana na hatia ya kufanya ujasusi kwa adui mkuu wa Israel, mahakama ilisema, chini ya wiki mbili baada ya mamlaka kumuua mtu kwa misingi kama hiyo.Umehamaki tu bure! Anaweza kuwa hana maana ya kukejeli kama unavyozani wewe.
The semi-official Tasnim news agency identified the four executed on Friday as Vafa Hanareh, Aram Omari, and Rahman Parhazo, along with the woman, named Nasim Namazi. They were the principal convicts in a case that involved 10 offenders, it added, but it was not immediately clear if the rest would also face execution.Those are mere scapegoats that the despotic regime in Teheran want to sacrifice in order to reign fear on the limbless people of Iran.