Hatuwezi kuruhusu kila kikundi cha dini kiwe na mahakama yao! Hii itakuwa ni vurugu!
Mwisho wapagani watataka mahakama yao, wakristo ya kwao hadi walevi watataka mahakama yao.
Hakuna mjadala, no mahakama ya kadhi hapa tz.
Cc@Faizafoxy
Hahaha...hawa jamaa wanaogopa kweli wakiskia mahakama ya kadhi...utadhani wameskia AL QAEDA...au AL SHABAAB.