Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunataka mahakama ta kadhi la sivyo nchi haitotawalika.
Mtapigwa tu!
Usipende kuleta hoja za kijinga bana unataka watu waingie kwenye udini.
Usipende kuleta hoja za kijinga bana unataka watu waingie kwenye udini.
Usilolijua sawa na usiku wagiza!toeni povuuu lakini mahakama yakadhi tutapata.
Mahakama ya kadhi ni University? Mahakama ya kadhi ni homework? Mahakama ya kadhi ni referal hospital? Tafakari chukua hatua!
Wee jamaa ----- sana!kama mahakama yakadhi si kitu kikubwa iweje mnaipinga?
Badala ya kukazana kujenga shuke nzuri, referal hospitals, and the like mnakazana na kadhi! Nauliza Kadhi ni hospital? kadhi ni shule ? kadhi ni university? Kadhi ni barabara ya lami? Kadhi ni mgodi wa madini?
Hiyo MAHAKAMA YA KADHI mtatoa au hamtoi??????
Hatuwezi kuruhusu kila kikundi cha dini kiwe na mahakama yao! Hii itakuwa ni vurugu!
Mwisho wapagani watataka mahakama yao, wakristo ya kwao hadi walevi watataka mahakama yao.
Hakuna mjadala, no mahakama ya kadhi hapa tz.
Cc@Faizafoxy
kwq hio ww unaeruhusu ni nani ktk nchi hii
Hatuwezi kuruhusu kila kikundi cha dini kiwe na mahakama yao! Hii itakuwa ni vurugu!
Mwisho wapagani watataka mahakama yao, wakristo ya kwao hadi walevi watataka mahakama yao.
Hakuna mjadala, no mahakama ya kadhi hapa tz.
Cc@Faizafoxy
Hatuwezi kuruhusu kila kikundi cha dini kiwe na mahakama yao! Hii itakuwa ni vurugu!
Mwisho wapagani watataka mahakama yao, wakristo ya kwao hadi walevi watataka mahakama yao.
Hakuna mjadala, no mahakama ya kadhi hapa tz.
Cc@Faizafoxy
Wee jamaa ----- sana!kama mahakama yakadhi si kitu kikubwa iweje mnaipinga?