- Thread starter
- #241
Sasa ikiwa ninyi mnaotaka mahakama ya kadhi kwa ajili ya mambo yenu ya kidini, lakini pia hamuwezi kuheshimu maamuzi hayo, ni nani hasa anayependa hiyo mahakama? Nilidhani waislam mnaitaka kwa sababu itawatendea haki nyote, kinyume na sheria za serikali. Sasa kama ndivyo, waislam wenyewe hawawezi kutii amri za ki mungu wenu, unataka serikali iwaongezee imani?
Kama haifanyi kazi maana yake waislam hawaitaki na ndiyo maana hawaitii. Sasa wewe ni nani unayewalazimisha wenzako kwenye hili jambo? Una maslahi gani makubwa kuliko waumini wenzako?
Achaneni nayo muendelee na mahakama za kawaida ambazo hazijawabagua na wala hamjazuiliwa na mtu kwenda.
Kama haifanyi kazi maana yake waislam hawaitaki na ndiyo maana hawaitii. Sasa wewe ni nani unayewalazimisha wenzako kwenye hili jambo? Una maslahi gani makubwa kuliko waumini wenzako?
Achaneni nayo muendelee na mahakama za kawaida ambazo hazijawabagua na wala hamjazuiliwa na mtu kwenda.
mahakama ya kadhi haiwahusu wakristo na tunachotaka waislam itambuliwe kwenye katiba kama zinavyotambuliwa mahakama zingine kama za ardhi,biashara,kazi nk pia kama taasisi na swala la kugharamia gharama ni jambo jingine na ni jukumu letu tutaju sisi pa kuzipata. lakini mbona nyinyi wakristo munapewa pesa kupitia mkataba wa MOU uliosainiwa na lowasa mwaka 1992 ?? sisi hatujapewa mkataba huo mpaka leo?
Umuhimu wa kutambuliwa kwa mahakama ya kadhi ni nyingi ila nitataja moja kwa kuwa leo kdhi kashateuliwa na muft kupiti bakwata laki hatambuliki
endapo kwa mfano imetokea kadhi ametoa hukumu kati ya JUMA na HASSAN kwamba mali hii ni ya JUMA kwa mujibu wa mafundisho.lakini HASSAN hataki kukabidhi utatumia njia gani kumlazimisha HASSAN kutoa mali kumpa JUMA wakati kadhi hatambuliki kisheria??na mambo hayo yanatokea leo kesi nyingi zinazohusu kadhi zimepelekwa bakwata na hukumu inatoka lakini inakuwa tabu kutekelezeka