kwani mende anaona ubaya kukaa chooni na kulabua mavi!Naziona hasira na hofu zawatoto wa michepuko juu ya mahakama ya kadhi..mi sioni ubaya wa hii mahakama kama kweli itadeal na mambo hayo matatu tuu.yaani ndoa,mirathi nann sijui....ila habari zaku pigana mawe,.kukatana mikono tuwaachie waarabu jamaniππ
Hivi huyu Askofu ni wa Kanisa Gani ? Ebu tusaidieni yuko Kamati namba ngapi?
Huyu mzee na wasiwasi Imani imekwisha mshinda na Tamaa ya Mali imemnyemelea na Shatani kamkamata sawa sawa!
haa haa mkuu kila mwamba ngoma huvutia kwake, wakristo wanajipendelea, vivyovivyo waislamu wanajipendelea. Kiukweli bunge hilo uchwara limegusa maslahi ya wagalatia, kama ccm inataka kurudia ya mwaka 2010 au zaidi mwakani iendelee na mchezo huo, haya ni madhara ya kukiuka rasimu ya tume. Bunge la sitta limejigeuza tume, limeanza kupokea maoni mapya, taifa litaparaganyika kwa ulevi wao huo. Hapo kitakachotokea ni uislamu vs ukristo, na upagani. Hakuna cha ccm wala ukawa.
teh teh...Kunguni wewe unamaanisha magaidi au ,mbona mlitoka mbio TBC walivyotoa statistics? Dini ya Amani 75 vibagharashia 20.Period
Ww unaona tulio pewa sisi tu munayopewa nyie huyaoni yakiwemo matrilion ya tsh MOU..
Tatizo sijajua hawa magalatia wanachoogopa Mahakama ya kadhi ni nini? Nchi ingekua inaongzwa kwa sharia hapo kweli! Uganda makafiri wenzenu wapo wengi tu lakini hawana shida
Sent from my iPad Air using JamiiForums
Lakini si mlipita mitaani kutaka maoni ya wananchi? Sasa wananchi wa kiisalamu wanataka Mahakama ya Kadhi, hayo ni maoni yao, kwanini hamtaki kuyaheshimu?. Laana ya Udini ndio inaitafuna rasimu ya Katiba ya Joseph Warioba, Joseph Butiku na John Kabudi.
Pole pole kitaeleweka tu!
Unatetemeka hadi unashindwa kuandika.Ulshazoea vya kunyonga, vya kuchinja huwezi. Ulidhni dini Tanzania ni ukristo tu. Mabilioni serikali inayotoa kwa makanisa hujaona kama serikali ina dini, ila mahakama ya kadhi ndio imekuma. meza sumu!!!
Mkuu! War is not desirable but sometimes necessary. We must protect those who suffer from unjust aggresion!
Tehe! tehe! Haya bwana ila najua umenielewa.
watashangaa Mkuu!absolutely! Hatuwezi kupelekwa pelekwa
Zanzibar ipo,Kenya waislam wachache ipo,UK ipo Afrika kusini ipo,nchi nyingi tu yan,Wakoloni walioleta Ukristo waliruhusu mpaka miaaka ya 1967 ndo Mwalim akaitoa, si mpya ni swala la kurudisha tu.
Uliwah kushuhudia mgogoro wamirathi ulikuwa na aina hiyo yandoa?.
We ndo pana kufaa kule mnaooana wenyewe na MAKASISI sijui ma padrima padrihamia Ugandaa
Wewe bei gani?..πππ
Mkuu umenikumbusha huku kwetu uswazi, mbuguma ikiminywa sikio na kuulizwa kiti unataka nini? Sema! Utasikia shetani wangu anataka nianze kuswali msikiti! shetani? shehetan? akuhimize kuswali kweli? Ili iweje? Wakiambiwa msikitini ni ibada ya shehetani mnawaka! teh teh teheeee!nilitaka kukufinya sikio kukutoa majini