usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha!
huyu jiwe wenu sidhani kama atakubali kupigwa mkwara na balozi.
huyu dawa ni CIA tu kwisha habari yake!
kweli kila mume na mume wake, Mu-7 kanyoroshwa na mume wake, bado jiwe!
Haa haa haa haa aiseee jiwe apgwa mkwara baridMuseveni aufyata...
Ni wewe na kizazi chako ndio mko hivyo!Tanzania tumejaa uoga na ujinga na ufala
Hawezi ishi huyo walahi!
So true!Nakubaliana nawe kwa 100% kwamba tayari watakuwa wameshammaliza. Hapa ujuzi wa Kijasusi wa Kirusi utakuwa umetumika mno dhidi ya Msanii Boby Wine. Haiwezekani ghafla tu hivi wajifanye wameona hana makosa wakati ni hao hao ndiyo walimkamata, kumtesea, kumjeruhi na kumuumiza vibaya huku wakisema ana makosa ya kujibu na leo wamegeuka na kudai hana makosa.
Jamaa yupiBBC wamezungumza kwa kirefu kuhusu huyo jamaa si kawaida. Lugha ya kimataifa imewasaidia sana waganda.
Akafanyie uchunguzi wa afya yake nje na aje aweke ripoti yake wazi kwa wananchi.Akifa kwa sababu yoyote mwili wake utafanyiwa post mortem na ikigundulika kafa kwa sababu zisizo za kawaida Uganda ijiandae kwa vikwazo na hilo bomba la mafuta watalisahau