MBOKA NA NGAI na genge lenu la M23 , ICC inawachunguza..Waache unafiki United Nations chini ya jopo la investigators na detectives wenye creditations za kimataifa walishafabya investigations za Genocide zilizofanywa na Kagame ,Museveni na puppets wao humo Congo wanaowaita waasi miaka mingi iliyopita ,hawa war criminals hawajachukuliwa hatua mpaka leo ,looters ,thieves ,bandits and murderers ,scum of the earth.
Report ipo inaitwa UN mapping report ,IPO muda mrefu sana
Ajabu huwa wanamamtwa dakika sifuri akiwa mwafrika au muarabu,ila netanyahu aaaahHapo wanalengwa Colonel Naanga, Benjamin Kanyuka, James Kabarebe,Paul Kagame na Sultan Makenga