Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Hahaha urusi kashaanza mchakato wa kujitoa kwenye hiyo mahakama uchwara.
Sio keshaanza, ila hajawahi kujiunganisha nayo,, hiyo ni mahakama kwa ajili ya maombaomba,, Russia sio matonya,,! Ninachokiona hapo ni habari-,: - TEMA MATE TUMCHAPE,,! Zele anafalijiwa
 
Inazungumzaga vitu gani lakini, haya twambie ICC iliwahi kuwafanya nini Wakenya wenzako akina Ruto na Kenyatta walio kuwa wanashtakiwa the Hague for war crimes - je, kesi iliyeyuka vipi mbona wanadunda mpaka sasa!!

Wewe Putin unamchukuliaje lakini? USA wataendeleza political rhetoric zaozenye kutaka kuonyesha kwamba bado wako relevant kwenye masuala ya Geopolitics lakini ukweli unabaki pale pale siku hizi ni mataifa machache yanayo lichukulia Taifa la US seriously - tatizo wanajikorogaga wenyewe kwa kutaka kulazimisha mambo na Biden na genge lake hawana mamlaka wala uwezo wa kumfanya lolote Putin, kwa nini hatuanzi na numerous war crimes commiited by US over the years - waburuzwe mahakamani akina Bill Clinton, Bush Sr kama angekuwa alive, Bush Jr, Johnson, akina Nulad na Seneta McCaine kama angekuwa alive.

ICC ilisaidia Kenya pakubwa, ile tu kuwaburuza mahakamani wakaishia kujitetea na kutia huruma ilisaidia maana baada ya hapo hatujawa na mibabe wa fujo, kabla ya hapo wanasiasa walikua wanahubiri fujo na machafuko, ila chaguzi zote baada ya mtanange wa ICC, wanasiasa wamekua makini sana.
Huyo "mungu" mtu wenu aendelee kumwaga damu ya wananchi wa Ukraine, ila siku zake zinakaribia, wanajeshi wake wanaendelea kuisha kama senene, ataliwa tu.
 
1. Hii ina maana gani?: Ina maana kwamba Putin anahitajika ashtakiwe kwa uhalifu wa kivita. 2. Atakamatwa na nani: Anaweza kukamatwa ndani ya nchi yake na kupelekwa huko Uholanzi ili wamtie adabu, au akamwatwe nje ya nchi yake pale atakapotembelea mojawapo ya nchi 123 wanachama wa ICC. Hili litamfanya Putin akose uhuru hapa duniani na kuishi kama digidigi anayewindwa. Maana kila akitaka kusafiri nje ya nchi lazima akumbuke na kujihoji je huyu si mwanachama wa ICC?.
 
Hakuna dunia hii anayeweza Kumkamata Putin usipokuwa Mungu Tu.
Umenikumbusha kauli ya MTEMI CHENGE,, "wakimkamata yupo ila wa kuifunga simuoni",,

Kwa PUTIN, Wa kutoa amri yupo, ila wa kumkamata PUTIN hatumuoni,,!

Wamemshindwa Boss wa Wagner, kwa PUTIN wanaanzia wapi,,!?
Wapigane vita waache vichekesho,,
 
ICC ilisaidia Kenya pakubwa, ile tu kuwaburuza mahakamani wakaishia kujitetea na kutia huruma ilisaidia maana baada ya hapo hatujawa na mibabe wa fujo, kabla ya hapo wanasiasa walikua wanahubiri fujo na machafuko, ila chaguzi zote baada ya mtanange wa ICC, wanasiasa wamekua makini sana.
Huyo "mungu" mtu wenu aendelee kumwaga damu ya wananchi wa Ukraine, ila siku zake zinakaribia, wanajeshi wake wanaendelea kuisha kama senene, ataliwa tu.

Hujajibu swali!!! Kuna ushahidi wa kutosha kwamba ni kweli walitenda war crimes - sasa mbona hawakufungwa, badala yake unatuletea adithi za kubuni tu - kujustfy war crimes za Wakenya wenzako huku ikijitia kumkalia kooni Putin kwa madai ya kipuuzi tu.

Hivi hawa ICC wanawezaje kumsakama Putin eti kwa kuwahamisha watoto na watu wazima ambao ni ethinic Russian kutoka kusini mashariki mwa Ukraine kwenda Urusi kwenye usalama - kwani nani ambaye hajui jinsi jeshi la Zelensky lilivyo kuwa linapiga mizinga kusini mashariki mwa Ukraine na kuwauua zaidi ya ethinic Russian zaidi ya 14,000 tangu 2015 - mabeberu especially USA pamoja na media zao mliwahi kuzisikia zinalalamikia ukatiri huo wa kuwaua watoto wadogo kwa mizinga na rockets mashuleni na mahospitali - hakuna. Cha ajabu wanafiki hawa hivi sasa ndio wanajitia kutaka kumshtaki Putin kwa kuokoa Warusi wenzake wanao ishi kusini mashariki mwa Ukraine kwa kuwahamishia Urusi kwenye usalama zaidi, akili za viongozi wa magharibi zikoje lakini, ukiangalia kijuu juu unaweza kufikiri wana uchungu wa kweli kuhusu kuhamishwa kwa watoto lakini deep down lengo lao ni kutaka kumfanya Putin hasisafiri nje ya Taifa lake - hata wafanye mbinugani za kutaka kumu contain Pitin ukweli ni kwamba hawamuezi unless wakitaka kuanzisha WW3 - Urusi haiwezi kukubali ujinga huu hata siku moja.
 
Huu uandishi wa Mathanzua kabisa, bila shaka hii ni ID yake nyingine.
Hujajibu swali!!! Kuna ushahidi wa kutosha kwamba ni kweli walitenda war crimes - sasa mbona hawakufungwa, badala yake unatuletea adithi za kubuni tu - kujustfy war crimes za Wakenya wenzako huku ikijitia kumkalia kooni Putin kwa madai ya kipuuzi tu - hivi hawa ICC wanawezaje kusakama Putin eti kwawahamisha watoto na watuwazima ambao ni ethinic Russian kutoka kusini mashariki mwa Ukraine kwenda Urusi kwenye usalama - kwani nani ambaye hajui jinsi jeshi la Zelensky lilivyo kuwa lipiga mizinga kusini mashariki mwa Ukraine na kuwauua zaidi ya ethinic Russian zaidi ya 14,000 tangu 2015 - mabeberu especially USA pamoja na media zao mliwahi kuzisikia zinalalamikia ukatiri huo wa kuwaua watoto wadogo kwa mizinga na rockets mashuleni na mahospitali - hakuna, cha ajabu wanafikihawa ndio hivi sasa wanajitia kutaka kumshtaki Putin kwakuokoa Warusi wenzake wanao ishi kusinimashariki mwa Ukraine -akili gani hizi.
 
Waliotenda Bush, Blair, Obama etc huko Afghanistan, Libya etc pia ni uhalifu wa kivita. Kwanini nao wasikamatwe? Unafiki wa NATO
 
Hujajibu swali!!! Kuna ushahidi wa kutosha kwamba ni kweli walitenda war crimes - sasa mbona hawakufungwa, badala yake unatuletea adithi za kubuni tu - kujustfy war crimes za Wakenya wenzako huku ikijitia kumkalia kooni Putin kwa madai ya kipuuzi tu - hivi hawa ICC wanawezaje kusakama Putin eti kwawahamisha watoto na watuwazima ambao ni ethinic Russian kutoka kusini mashariki mwa Ukraine kwenda Urusi kwenye usalama - kwani nani ambaye hajui jinsi jeshi la Zelensky lilivyo kuwa lipiga mizinga kusini mashariki mwa Ukraine na kuwauua zaidi ya ethinic Russian zaidi ya 14,000 tangu 2015 - mabeberu especially USA pamoja na media zao mliwahi kuzisikia zinalalamikia ukatiri huo wa kuwaua watoto wadogo kwa mizinga na rockets mashuleni na mahospitali - hakuna, cha ajabu wanafikihawa ndio hivi sasa wanajitia kutaka kumshtaki Putin kwakuokoa Warusi wenzake wanao ishi kusinimashariki mwa Ukraine -akili gani hizi.
Sawa kabisa. Kongole mkuu
 
Famous “Black Hawk Down” incidence in Mogadishu (Somalia), more than 6 thousand civilians including women and children were killed in a single day attack by US soldiers. No investigation for justice has been conducted
 
Anayetafutwa hana amani tena na baadhi ya nchi atakazotembelea halafu wewe unazungumza vitu vya kijinga.

Hiyo hati itatumika muda wote atakaokuwa hai popote atakapotembelea ama ndani ya nchi yake anaweza kukamatwa.

Kuna nchi masnitch unaweza kujua ni marafiki kumbe siyo wakakukabidhi ICC.
Raisi yupi alikuwa madarakani akapelekwa
 
Tusubiri tuone mwisho wa hii sinema.

"Sisemi mrusi anaweza mpiga Marekani, au Marekani anaweza mpiga Mrusi, nachokataa mimi, ni kusema kuwa Marekani anaweza cheza na Mrusi kama anavyocheza na Libya".

Nimemnukuu MALCOM LUMUMBA naamini niko sawa kimantiki alichokisema.
 
Mkuu mbona sijasema kwamba US ana kinga ya ICC?

Aisee; Wakimkomalia watamkamata au kumuua kama yule jamaa wa mapangoni kule Somalia.
Hoja ya NUKES haipo. Ni kama kuwasha moto nyumba na wewe ukiwa ndani ya hiyo nyumba. Huo ni Ukichaa na Haitakubalika. Kumbuka Putin haendi vitani.Yeye ni mtoa Amri au OK tu ila watekelezaji ni wengine.

Sasa hapo ni Nani akafyatue/bonyeze button ya OK ilhali anajua matokeo yake yatamhusu hata yeye na familia yake? Kabla ya kuzifikia NEKES zake watakuwa wamemlamba kichwa fasta.
Akili kisoda
 
Hujajibu swali!!! Kuna ushahidi wa kutosha kwamba ni kweli walitenda war crimes - sasa mbona hawakufungwa, badala yake unatuletea adithi za kubuni tu - kujustfy war crimes za Wakenya wenzako huku ikijitia kumkalia kooni Putin kwa madai ya kipuuzi tu.

Hivi hawa ICC wanawezaje kumsakama Putin eti kwa kuwahamisha watoto na watu wazima ambao ni ethinic Russian kutoka kusini mashariki mwa Ukraine kwenda Urusi kwenye usalama - kwani nani ambaye hajui jinsi jeshi la Zelensky lilivyo kuwa linapiga mizinga kusini mashariki mwa Ukraine na kuwauua zaidi ya ethinic Russian zaidi ya 14,000 tangu 2015 - mabeberu especially USA pamoja na media zao mliwahi kuzisikia zinalalamikia ukatiri huo wa kuwaua watoto wadogo kwa mizinga na rockets mashuleni na mahospitali - hakuna. Cha ajabu wanafiki hawa hivi sasa ndio wanajitia kutaka kumshtaki Putin kwa kuokoa Warusi wenzake wanao ishi kusini mashariki mwa Ukraine kwa kuwahamishia Urusi kwenye usalama zaidi, akili za viongozi wa magharibi zikoje lakini, ukiangalia kijuu juu unaweza kufikiri wana uchungu wa kweli kuhusu kuhamishwa kwa watoto lakini deep down lengo lao ni kutaka kumfanya Putin hasisafiri nje ya Taifa lake - hata wafanye mbinugani za kutaka kumu contain Pitin ukweli ni kwamba hawamuezi unless wakitaka kuanzisha WW3 - Urusi haiwezi kukubali ujinga huu hata siku moja.

hawakufungwa maana ushahidi haukupatikana wa kutosha kuwafunga, nilifuatilia sana kesi zao with passion, ila nimekuambia ICC ilitusaidia sana maana chaguzi zote zilizofuata zimekua za amani, mjiandae kwa msiba wa huyo "mungu" mtu wenu, aidha aliwe risasi au aishie ICC.
 
Urusi siyo Libya au Iraq, na hawa majaji sijui wamelipwa sh ngapi na West.Ngoja tusubiri kuona Putin akikamatwa
You never know, Putin sasa ataishi kwa khofu zaidi, nje ya Russia hatajaribu kukanyaga atafia kremlin au ICC watamtia mikononi haijali muda gani itachukua
 
Mkuu Putin ni kina kirefu hakuna mtu au taifa lolote linalo weza kithubutu kumfanya lolote, kumbuka Russia is still a thermonuclear super power don't you forget that, Taifa lolote au mtu watakao jifanya
kumkamata Putin halijipendi hata kidogo.

Yaani mnaonekana hamna habari kwamba ujinga huo unaweza kabisa kisababisha WW3, kitu kigine kura za maoni nchini Russia zinaonyesha kwamba zaidi ya asilimia 85% zinasupport SMO ya Putin nchini Ukraine , wakati Amerika Biden wanao mkubali hawazidi asili mia 23% tu, halafu hizi adithi za kufikirika eti "kuna kikundi cha inner circle ya Putin wanaotaka kumpindua au kumudhuru" hizo ni propaganda za magharibi za kutaka kufurahisha baraza na wananchi baada ya kuona mpango wao wa kuisambaratisha Urusi kwa kupitia Ukraine umegonga mwamba ie Urusi itashinda vita hii kwa kishindo na kuwaabisha mabeberu na Zelensky mwenye.

La mwisho ni kwamba si Russia wala US ambao ni members wa ICC, je, hao mavuvuzela wanao mnanga Putin hilo hawalijui, au?
😂😂😂 Yaani we jamaa. 😂😂😂
 
hawakufungwa maana ushahidi haukupatikana wa kutosha kuwafunga, nilifuatilia sana kesi zao with passion, ila nimekuambia ICC ilitusaidia sana maana chaguzi zote zilizofuata zimekua za amani, mjiandae kwa msiba wa huyo "mungu" mtu wenu, aidha aliwe risasi au aishie ICC.
Husitufanye tuseme maneno mengi, kama kweli ulikuwa unifiatilia kesi hii with passion, sasa kwa kwa nini key witness karibu wote walikufa vifyo vyenye mazingara ya kutatanisha na wengine kutishiwa maisha wakikubali kwenda kutoa ushahidi the Hague dhidi ya Ruto na Kenyatta!!
 
Famous “Black Hawk Down” incidence in Mogadishu (Somalia), more than 6 thousand civilians including women and children were killed in a single day attack by US soldiers. No investigation for justice has been conducted
There you are - what a million dollar question? Sina shaka MK254 atatupatia jibu sahihi ie jibu lenye mshiko.
 
Back
Top Bottom