Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Tunasubir mwanaume wa kuingia Russia na kumkamata. Kutoa tamko sio shida.
wanafahamu kuwa hawawezi kwenda kumkamatia nyumbani ila watamvizia ugenini[emoji1],
Ila sio rahisi, nadhani sasa wamemchokoza........tusubirie aitishe kikao atoe tamko Kali zaidi
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Kajambe
 
Ongezea...
Ariel Sharon hakukamatwa
Benjamin Netanyahu hajakamatwa....
Maelekezo ya 🇺🇲
Hawa waliwahi kufunguliwa mashtaka huko ICC ?...au wamewahi kufunguliwa mashtaka na hati ya kuwakamata ikatolewa ?

Au kwanini nchi zilizotendewa uhalifu na hawa jamaa hazijawafungulia kesi huko ICC ?

kwa nini hatuanzi na numerous war crimes commiited by US over the years - waburuzwe mahakamani akina Bill Clinton, Bush Sr kama angekuwa alive, Bush Jr, Johnson, akina Nulad na Seneta McCaine kama angekuwa alive.
 
Warusi wanachokaje vita mzee, vita ndo zimewafanya wawe hapo walipo.. wababe duniani na wanajiweza. Vita, vita
Wachovu tena sana vinginevyo urusi isingesambaratika na kuwa nchi kibao

Ubabe wao mbona walishindwa kuifanya Russia kuwa nchi moja? Ujue hata Ukraine ilikuwa sehemu ya Russia wakawadindia Russia ,Russia akaufyata wakaanzisha taifa lao wakaweka na Raisi wao Zelewisky

Nchi kibao walitwangana nao na wakajitenga na Russia

Putin kuondoka lazima na The Hague kuna.husu kama atabahatika kunudurika bichwa lake kulimbwa risasi
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Endelea kuota ndoto za kitandani ukifanya masihara utakojoa ukijinyea kwa stress
 
You never know, Putin sasa ataishi kwa khofu zaidi, nje ya Russia hatajaribu kukanyaga atafia kremlin au ICC watamtia mikononi haijali muda gani itachukua
Endelea kuota. Walishindwa kumkamata Albashir na akawa anaenda Nigeria, Chadi na SA pamoja na uwepo wa warrant hiyo ije iwe Mwamba Putin.

Sana Sana kuonyesha wako serious hao westerns wanaweza kuzuia asifanye ziara katika mataifa yao kama sehemu ya Vikwazo lakini siyo kumkamata. Hakuna mwenye uthubutu huo.

Believe me Putin ataongoza hadi kustaafu na baadae kufa, pasipo kuguswa na yeyote ndani na nje ya Russia.
 
Endelea kuota. Walishindwa kumkamata Albashir na akawa anaenda Nigeria, Chadi na SA pamoja na uwepo wa warrant hiyo ije iwe Mwamba Putin.

Sana Sana kuonyesha wako serious hao westerns wanaweza kuzuia asifanye ziara katika mataifa yao kama sehemu ya Vikwazo lakini siyo kumkamata. Hakuna mwenye uthubutu huo.

Believe me Putin ataongoza hadi kustaafu na baadae kufa, pasipo kuguswa na yeyote ndani na nje ya Russia.
Rais gani wewe usikanyaga mataifa zaidi 60 ulimwenguni? warusi wamechoshwa na Putin watampeleka tuu waishi kwenye nchi yao kwa amani waondokani na udikteta
 
wanafahamu kuwa hawawezi kwenda kumkamatia nyumbani ila watamvizia ugenini[emoji1],
Ila sio rahisi, nadhani sasa wamemchokoza........tusubirie aitishe kikao atoe tamko Kali zaidi
Huyu jamaa alishatoa matamko makali mengi e.g. Ole wake nchi/Taifa atakayeingilia vita hii atajibiwa kwa ukali, hii siyo vita ni OP tu ya saa 72.... na hakuna hata limoja alilotimiza. Kwa hivyo watu walishamjua na kuzoea vitisho vyake.
 
Endelea kuota. Walishindwa kumkamata Albashir na akawa anaenda Nigeria, Chadi na SA pamoja na uwepo wa warrant hiyo ije iwe Mwamba Putin.

Sana Sana kuonyesha wako serious hao westerns wanaweza kuzuia asifanye ziara katika mataifa yao kama sehemu ya Vikwazo lakini siyo kumkamata. Hakuna mwenye uthubutu huo.

Believe me Putin ataongoza hadi kustaafu na baadae kufa, pasipo kuguswa na yeyote ndani na nje ya Russia.
Putin kwa umaarufu wake huo ni kivutio zaidi na kwa hiyo wengi watajitahidi kumkamata au kumuua ili nao wajijengee umaarufu zaidi.
 
Endelea kuota ndoto za kitandani ukifanya masihara utakojoa ukijinyea kwa stress
Lakini huyo Yehodaya ametoa uchambuzi wake kuhusu hali ilivyo na pia akitabiri ni nini kinachoweza kufuatia.
Mbona sasa ww unatoa kashfa na kejeli badala ya ama kupinga kwa hoja au kuunga mkono kwa hoja.
 
Wachovu tena sana vinginevyo urusi isingesambaratika na kuwa nchi kibao

Ubabe wao mbona walishindwa kuifanya Russia kuwa nchi moja? Ujue hata Ukraine ilikuwa sehemu ya Russia wakawadindia Russia ,Russia akaufyata wakaanzisha taifa lao wakaweka na Raisi wao Zelewisky

Nchi kibao walitwangana nao na wakajitenga na Russia

Putin kuondoka lazima na The Hague kuna.husu kama atabahatika kunudurika bichwa lake kulimbwa risasi
Naunga mkono hoja.
Ni kweli Putin alishatepeta mno na hata ukiangalia sababu zilizomfanya aivamie Ukraine ni kwamba Ukraine aklitaka kujiunga na NATO na ndipo Urusi anastuka kwamba kitendo cha Ukraine kikikubaliwa manake adui yake amemfikia mlangoni na hatakuwa na pa kukimbilia tena na atakuwa ameishiwa pumzi jumla. Lakini kwa upande wake Putin hii ni Too late kwani mahesabu yalishapigwa na matokeo kudhihirika.
 
Husitufanye tuseme maneno mengi, kama kweli ulikuwa unifiatilia kesi hii with passion, sasa kwa kwa nini key witness karibu wote walikufa vifyo vyenye mazingara ya kutatanisha na wengine kutishiwa maisha wakikubali kwenda kutoa ushahidi the Hague dhidi ya Ruto na Kenyatta!!

Nisiwafanye mkiwa na nani, nimekuambia kesi ilijifia kwa kukosa ushahidi, aidha mashahidi wengi walihongwa au kuuawa mitaani....
Kimsingi na narudia tena, ICC imesaidia kuleta amani Kenya na mataifa mengi Afrika, madikteta wengi wamekua makini sana baada ya kujua wanaweza wakaburuzwa.
Na hata huyo 'mungu' mtu wenu iko siku yake tu, kama hatafia kwa risasi Klemrin, basi ICC itamhusu maana Urusi itaendelea kubinywa mpaka imuachie.
 
Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.

=====

Katika uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.

View attachment 2555625

Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amesema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
kwahiyo ICC haina mamlaka hayo kwa nchi zenye nguvu ila nchi za duniani ya 3 ina mamlaka juu yao
 
Rais wa South Africa Ramaphosa:- South Africa inaitambua hati halali ya kukamatwa kwa Putin.

Waziri wa ujeruman:- ujeruman Itamkamata Putin endapo atakanyaga Ujeruman.
😁😁
 
Wangeanza na George W Bush kwa mauaji aliyofanya nchini Iraq, na Barrack Obama kwa alichokifanya nchini Libya hadi alikiri alikosea katika awamu yake ya mwisho ya Urais. Wakishindwa kuwakamata hao, wao ni mbwa asiye na meno anabweka tu.
 
Back
Top Bottom