wanafahamu kuwa hawawezi kwenda kumkamatia nyumbani ila watamvizia ugenini[emoji1],Tunasubir mwanaume wa kuingia Russia na kumkamata. Kutoa tamko sio shida.
KajambeVita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague
Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Hawa waliwahi kufunguliwa mashtaka huko ICC ?...au wamewahi kufunguliwa mashtaka na hati ya kuwakamata ikatolewa ?Ongezea...
Ariel Sharon hakukamatwa
Benjamin Netanyahu hajakamatwa....
Maelekezo ya πΊπ²
kwa nini hatuanzi na numerous war crimes commiited by US over the years - waburuzwe mahakamani akina Bill Clinton, Bush Sr kama angekuwa alive, Bush Jr, Johnson, akina Nulad na Seneta McCaine kama angekuwa alive.
Wachovu tena sana vinginevyo urusi isingesambaratika na kuwa nchi kibaoWarusi wanachokaje vita mzee, vita ndo zimewafanya wawe hapo walipo.. wababe duniani na wanajiweza. Vita, vita
Endelea kuota ndoto za kitandani ukifanya masihara utakojoa ukijinyea kwa stressVita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague
Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Endelea kuota. Walishindwa kumkamata Albashir na akawa anaenda Nigeria, Chadi na SA pamoja na uwepo wa warrant hiyo ije iwe Mwamba Putin.You never know, Putin sasa ataishi kwa khofu zaidi, nje ya Russia hatajaribu kukanyaga atafia kremlin au ICC watamtia mikononi haijali muda gani itachukua
Rais gani wewe usikanyaga mataifa zaidi 60 ulimwenguni? warusi wamechoshwa na Putin watampeleka tuu waishi kwenye nchi yao kwa amani waondokani na udiktetaEndelea kuota. Walishindwa kumkamata Albashir na akawa anaenda Nigeria, Chadi na SA pamoja na uwepo wa warrant hiyo ije iwe Mwamba Putin.
Sana Sana kuonyesha wako serious hao westerns wanaweza kuzuia asifanye ziara katika mataifa yao kama sehemu ya Vikwazo lakini siyo kumkamata. Hakuna mwenye uthubutu huo.
Believe me Putin ataongoza hadi kustaafu na baadae kufa, pasipo kuguswa na yeyote ndani na nje ya Russia.
Sijui; Hamua mwenyewe itakavyokupendeza.Kwamba na wewe ni GT wa JF[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Iko siku majaribio yao yatafanikiwa.Story zinasema ameepuka assassination attempts mara ngapi hivi!
Huyu jamaa alishatoa matamko makali mengi e.g. Ole wake nchi/Taifa atakayeingilia vita hii atajibiwa kwa ukali, hii siyo vita ni OP tu ya saa 72.... na hakuna hata limoja alilotimiza. Kwa hivyo watu walishamjua na kuzoea vitisho vyake.wanafahamu kuwa hawawezi kwenda kumkamatia nyumbani ila watamvizia ugenini[emoji1],
Ila sio rahisi, nadhani sasa wamemchokoza........tusubirie aitishe kikao atoe tamko Kali zaidi
Putin kwa umaarufu wake huo ni kivutio zaidi na kwa hiyo wengi watajitahidi kumkamata au kumuua ili nao wajijengee umaarufu zaidi.Endelea kuota. Walishindwa kumkamata Albashir na akawa anaenda Nigeria, Chadi na SA pamoja na uwepo wa warrant hiyo ije iwe Mwamba Putin.
Sana Sana kuonyesha wako serious hao westerns wanaweza kuzuia asifanye ziara katika mataifa yao kama sehemu ya Vikwazo lakini siyo kumkamata. Hakuna mwenye uthubutu huo.
Believe me Putin ataongoza hadi kustaafu na baadae kufa, pasipo kuguswa na yeyote ndani na nje ya Russia.
Lakini huyo Yehodaya ametoa uchambuzi wake kuhusu hali ilivyo na pia akitabiri ni nini kinachoweza kufuatia.Endelea kuota ndoto za kitandani ukifanya masihara utakojoa ukijinyea kwa stress
Naunga mkono hoja.Wachovu tena sana vinginevyo urusi isingesambaratika na kuwa nchi kibao
Ubabe wao mbona walishindwa kuifanya Russia kuwa nchi moja? Ujue hata Ukraine ilikuwa sehemu ya Russia wakawadindia Russia ,Russia akaufyata wakaanzisha taifa lao wakaweka na Raisi wao Zelewisky
Nchi kibao walitwangana nao na wakajitenga na Russia
Putin kuondoka lazima na The Hague kuna.husu kama atabahatika kunudurika bichwa lake kulimbwa risasi
Husitufanye tuseme maneno mengi, kama kweli ulikuwa unifiatilia kesi hii with passion, sasa kwa kwa nini key witness karibu wote walikufa vifyo vyenye mazingara ya kutatanisha na wengine kutishiwa maisha wakikubali kwenda kutoa ushahidi the Hague dhidi ya Ruto na Kenyatta!!
kwahiyo ICC haina mamlaka hayo kwa nchi zenye nguvu ila nchi za duniani ya 3 ina mamlaka juu yaoMajaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.
=====
Katika uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.
View attachment 2555625
Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amesema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
Lini George W. Bush atakamatwa ?
Lini Baraka Obama atakamatwa?
Lini Tommy Blair atakamatwa?
Waache unafiki.