Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Usinishambulie,Mimi hiyo nimeinukuu kutoka kwenye source!
Labda ungesema niitafsiri!
Sasa kwanini wewe umeanza Kwa lugha hiyo hiyo unayoilalamikia?
Kikubwa rejea lazima ifanyike!
 
Apo n kuchezea sharubu za simba mkuu Apa unaongelea mbabe wa dunia Putin Nani huyo mwenye ubavu huo wa kumkamata
Tuvute subira kidogo kitaeleweka. Usijekushangaa game linaisha kilaini Putin akiwa amehifadhiwa kwenye sefu mahali fulani.
 
Hayo unawaza wewe kwa mtu jasusi mkubwa kama putin anajua walipokimbilia kujifichia kupunguza haibu wala hawezi kua na presha hiyo ni hadaa tu kwa dunia ili waonekane wana sauti
 
Tuvute subira kidogo kitaeleweka. Usijekushangaa game linaisha kilaini Putin akiwa amehifadhiwa kwenye sefu mahali fulani.
Hizo n ndoto mkuu embu jaribu kuangalia historia ya Putin na urussi
 
Mwanzoni watu walikuwa wanalalamika hii mahakama ni kwa ajili ya marais wa Afrika. Baada ya rais wa Urusi kutakiwa kukamatwa, watu wameanza kukimbilia vichaka vipya.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Safi sana je hiyo biblia ilikuelezea nini kuhusu vita ya muisrael na mfilist kipindi Israel wanaingia ndani ya nchi yao ya ahadi 🤠🤠🤠
labda unisaidie nini0tofauti kt ya nchi ya ahadi na nchi ya asili.? Yakobo alipompiga mungu, huyu mungu alimuambia kuanzia leo taifa lako litaitwa israel. Kabla ya hapo hilo taifa lilikuwa linaitwaje?
 
Urusi amekamatwa pabaya hapo anawalinzj wengi zaid ya mwanzo wenzie ulaya hawana hata stress wanamuangalia akijigamba huku wakiendelea kumfinya kidogo kidogo west acha wale jamaa sio mchezo wao wamemuwekea vikwazo yeye hajaweka kuonesha bado anawahitaji aiseee Mwisho wa Urusi
 
Wafinye Nuclear kama wanauwezo. Hii kitu mwisho wake ni WW3 amini kwamba.
 
Swala ni nani atakayemkamata,maana nasikia jamaa ni Komando...
 
US wakati huu amepanda mtumbwi wa vimbwengo,Yeye na wenzake wachague 1 kati ya kusitisha kupeleka usaidizi wa kijeshi Ukraine kisha diplomasia itumike kumaliza vita au waendelee kutoa usaidizi na ku_risk chumi zao.
 
labda unisaidie nini0tofauti kt ya nchi ya ahadi na nchi ya asili.? Yakobo alipompiga mungu, huyu mungu alimuambia kuanzia leo taifa lako litaitwa israel. Kabla ya hapo hilo taifa lilikuwa linaitwaje?
Ok nitajaribu kukufafanulia licha ya kuwa unaweza tafuta bibli ukasoma maana zipo hadi play store....

 Hapo awali kulikuwa na mcha Mungu Ibrahim (abraham) siyo taifa, alikuwa na mke wake Sarah aliyefikisha hadi miaka 70 bila mtoto ila mwenyezi akamjalia akapata mtoto Isaka (Isaac), naye akampata watoto Yakobo (Israel) na Essau ndipo Israel ikazaliwa baada ya mchuano unaoufahamu wewe...
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…