Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Putin kwa sasa atajilinda mno asipoteze madaraka, maana ndio njia pekee ya kujihakikishia usalama wake.
Hata Putin sasa hivi akiamuwa kwenda Marekani kuudhuria kikao cha umoja wa mataifa hakuna atakaye thubutu kumkamata kama walimshindwa Albashir wa Sudan pamoja na kutembelea mataifa kibao ndo waje wamkamate Putin.
 
Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.

=====

Katika ya uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.

View attachment 2555625

Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
Waanze na Netanyahu na bush.ndio wengine wafuatie zaidi ya hpo itakuwa ni unafiki as usual.
 
Kwa Sasa nasimama na Vladimir Putin. Siwezi kuwaunga mkono Mabeberu waliotutawala na kuiba Rasilimali zetu Kwa Karne nzima.
Nchi za magharibi ni wahuni na wauaji wakubwa Wa binadam hasa waafrika.

Hakuna Paka atakayethubutu kumkamata Rais Wa Urus. Putin Ana akili kubwa na anapigajia Taifa lake lisihujumiwe na kikundi Cha mashoga Wa nchi za magharibi.

Vita yoyote kati ya Mashariki na magharibi hakika magharibi watapigwa vibaya mno na hawataonekana Tena katika Ulimwengu Wa kiuchumi na kisiasa za Dunia.

Mungu hayupo Tena na nchi za magharibi.
Mashariki wamekua ni waungwana Hata Kwa matendo na wamesimama na kanuni za asili . Maovu waliyofanyia wazungu Kwa Ulimwengu Sasa Mwisho wake umewadia.
Chekeleeni Urusi kupotezwa kwenye ramani ila mjue mnafuata nyie na madini na magesi yenu 😀😀😀!

Watawafeerah ili kuisambaza NWO.
 
Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.

=====

Katika ya uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.

View attachment 2555625

Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
Hayo Makaratasi yakatumiwe wapi?
JamiiForums-709961581.jpg
 
Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango.Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita. Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.

Hivi guts za kujadili vitu sensitive kwa hizo akili zenu za kukariri pamplets na vitini huko mashuleni, huwa mnazitoa wapi?

Acheni kujadili vitu based on movies za kimarekani mnzoangalia magettoni kwenu huko, mambo sio marahisi kiasi hicho.
 
Lini Marekani au Ukraine ilitawala Africa wewe Mrusi fake??
Kwa Sasa nasimama na Vladimir Putin. Siwezi kuwaunga mkono Mabeberu waliotutawala na kuiba Rasilimali zetu Kwa Karne nzima.
Nchi za magharibi ni wahuni na wauaji wakubwa Wa binadam hasa waafrika.

Hakuna Paka atakayethubutu kumkamata Rais Wa Urus. Putin Ana akili kubwa na anapigajia Taifa lake lisihujumiwe na kikundi Cha mashoga Wa nchi za magharibi.

Vita yoyote kati ya Mashariki na magharibi hakika magharibi watapigwa vibaya mno na hawataonekana Tena katika Ulimwengu Wa kiuchumi na kisiasa za Dunia.

Mungu hayupo Tena na nchi za magharibi.
Mashariki wamekua ni waungwana Hata Kwa matendo na wamesimama na kanuni za asili . Maovu waliyofanyia wazungu Kwa Ulimwengu Sasa Mwisho wake umewadia.
 
March 2024 uchaguzi mkuu Russia watu waRu

Sio kweli vijana ambao ndio asilimia kubwa ya population hawataki vita wao na mama zao ambao ndio population kubwa ya Russia

Wanawake na vijana. vikongwe vizee vya communist era ambavyo ni vichache ndio vinaunga mkono hiyo vita
Hata nchi zetu vikongwe vya enzi za ujamaa wa Nyerere ndivyo vinamshabikia Putin
Watu kutotaka vita haimaanishi kwamba hawaelewi kwanini ile vita ipo? 🤣 Mapendekezo ya Putin yako very clear kuwa hataki expansionism ya kijeshi ya NATO kumsogelea na Ukraine ndio kibaraka wa NATO.
 
Boss, Mambo mengine bora kutokuhusisha MUNGU. Sasa ikitokea akakamatwa aliyemkamata ndo mungu wako? Maana ushasema ni mungu tu ndiye anayeweza. Usiweke imani kwa binadamu. Putin ni binadamu, walinzi wake ni binadamu. Kumkamata Putin ni jambo gumu linalowezekana. Watu wake tu wakimsaliti ugumu wa kumkamata unapungua.
Hiyo mahakama haina meno na hiyo warant imetolewa kuiridhisha tu Ukraine lakini kiufupi ni ngumu kutekerezeka hata nchi za Magharibi zina jua.

Hata ikitokea akapinduliwa watakao mpindua hawawezi kumpeleka kwenye hiyo mahakama.
 
Hahahahah kwamba US ana kinga y ICC ila Urusi yeye hana anatakiwa ashtakiwe. Nimekaa pale, kumkamata Putin ndio itakuwa mwisho wa dunia 😀😀😀 maana kitakachofata ni NUKES tu kurindima kila kona ya Marekani.
Mkuu mbona sijasema kwamba US ana kinga ya ICC?

Aisee; Wakimkomalia watamkamata au kumuua kama yule jamaa wa mapangoni kule Somalia.
Hoja ya NUKES haipo. Ni kama kuwasha moto nyumba na wewe ukiwa ndani ya hiyo nyumba. Huo ni Ukichaa na Haitakubalika. Kumbuka Putin haendi vitani.Yeye ni mtoa Amri au OK tu ila watekelezaji ni wengine.

Sasa hapo ni Nani akafyatue/bonyeze button ya OK ilhali anajua matokeo yake yatamhusu hata yeye na familia yake? Kabla ya kuzifikia NEKES zake watakuwa wamemlamba kichwa fasta.
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi

Ama kweli series za kimarekani zimekuharibu😂.
 
Watu kutotaka vita haimaanishi kwamba hawaelewi kwanini ile vita ipo? 🤣 Mapendekezo ya Putin yako very clear kuwa hataki expansionism ya kijeshi ya NATO kumsogelea na Ukraine ndio kibaraka wa NATO.
Na kiburi Cha Ukraine kutaka kuwepo na military Base ya US pale wakati miaka ya 1960's USSR walitaka kuweka military Base Cuba,US akapiga kelele nyingi sana kama mbwa koko
 
Stay tuned

Mimi vita ilipoanza tu day one nilisema Putin kakosea kuvamia wayahudi wa Ukraine. kitachomkuta mrusi atajuta kuanzisha hiyo VITA kuwa hakushauriwa vizuri.

Nilizomewa humu hadi nyuzi zangu zingine zilifutwa

Kiko wapi Mwaka wa Pili Urusi yuko vitani kachoka mbaya
Stay tuned utaona kitakachomkuta Putin
Lakini ww si ulituambia hamalizi miezi 6 atakuwa ameshapunduliwa na kuuawa?
Na mpaka ukatuletea na uzi kutuambia kuwa putin yuko hoi anakaribia kufa?
 
Back
Top Bottom