Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Kachokaje?Bado utaendelea kuzomewa kama unaandika nonsense!
Putin alituma best commandos akitaka kuteka Ukraine ndani ya siku saba tu walifyekwa kama mbwa hadi sasa anatumia wafungwa na wanajeshi mamuluki wa kukodi Wagner Group.leo mwaka wa pili hajateka Ukraine


Yaani the Hague kunamhusu
 
jamani tupeane dili mimi namkamata chap huyo hata hasumbui kwangu ni mchumba tu huyo.
 
Unamlinganisha Rais wa Russia na Osama au Saddam?Kweli elimu Bado ni changamoto!

Hivi bro; huyo Putin unayemkuza kiasi hicho sio binadamu kama binadamu wengine? Je, Huyo si ni Rais wa nchi kama walivyo Marais wengine (Me na Ke)?. Ule Ubabe wake(Ubeberu), vitisho na Tabia ya kufanya uchokozi kwa nchi majirani zake ndo unaomtofautisha na marais wengine yeye anayo sifa ya Ukorofi.

Zingatia kwamba kule Kumiliki eneo kubwa la ardhi (Vast Territorial Area) hakumpi haki ya kujiona mbabe na kuzishambulia au kukwapua ardhi ya nchi majirani zake i.e. kufanya hicho alichokifanya na ndicho kimemfikisha kupewa Hati hiyo. Angetulia kwake hilo wala lisingemkuta.
 
Hili 👆 👆 👆 ndo tatizo kubwa sana la proRussia. Tunajadili habari za Vita na matokeo yake kwa musstakabali wa Ukraine na Russia kama nchi mbili lakini hamuishi kuchapia habari zisizohusika za e.g. Mbona Libya,Syria, Obama, Bill Clinton, Bush ....Pakistani......n.k. Niwaulize tu; Kwani hoja yako ukii-focus kwenye yaliyomo Urusi vs Ukraine haiwezekani???? au hutaeleweka???
Elimu Yako umeishia ngazi gani?Hata mahakama zetu,Huwa zinarejea kesi zilizowahi kuhukumiwa kabla kwenye muongozo kama Kuna utata!
So wabapotaja hiyo mifano ni kama kufanya Rejea tu!
On September 2, 2020, the United States government imposed sanctions on the International Criminal Court (ICC) prosecutor, Fatou Bensouda, and another senior prosecution official, Phakiso Mochochoko. In addition, US Secretary of State Michael Pompeo announced that the United States had restricted the issuance of visas for certain unnamed individuals “involved in the ICC’s efforts to investigate US personnel.”

The sanctions on Bensouda and Mochochoko implemented a sweeping executive order issued on June 11, 2020 by President Donald Trump. This order declared a national emergency and authorized asset freezes and family entry bans against ICC officials who were identified as being involved in certain activities. Earlier, the Trump administration had repeatedly threatened action to thwart ICC investigations in Afghanistan and Palestine. In a precursor step, in 2019, the Trump administration revoked the prosecutor’s US visa.

The following questions and answers discuss the Trump administration’s unprecedented authorization of a sanctions program aimed at undermining the work of the ICC.
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Mkuu unawaza kipuuzi Sana.
 
Mkuu hilo lisikupe shida - Usihofu. Wewe subiri tu kwa muda utaona kama ulivyoshuhudia wababe kama Saddam Hussein na wenzake kina Osama n.k. watu wa aina hiyo walivyoshughulikiwa.
Ingekuwa ni huku kijijini kwetu, unaweza kumbonda na rungu halafu ukishtakiwa unajitetea "Nilikuwa nataka asiweze kukimbia ili akamatwe na sungusungu" na kesi yako inakwisha.
Hahahahah kwamba US ana kinga y ICC ila Urusi yeye hana anatakiwa ashtakiwe. Nimekaa pale, kumkamata Putin ndio itakuwa mwisho wa dunia 😀😀😀 maana kitakachofata ni NUKES tu kurindima kila kona ya Marekani.
 
Hawa wauaji je?
20230317_201446.jpg
 
Elimu Yako umeishia ngazi gani?Hata mahakama zetu,Huwa zinarejea kesi zilizowahi kuhukumiwa kabla kwenye muongozo kama Kuna utata!
So wabapotaja hiyo mifano ni kama kufanya Rejea tu!
On September 2, 2020, the United States government imposed sanctions on the International Criminal Court (ICC) prosecutor, Fatou Bensouda, and another senior prosecution official, Phakiso Mochochoko. In addition, US Secretary of State Michael Pompeo announced that the United States had restricted the issuance of visas for certain unnamed individuals “involved in the ICC’s efforts to investigate US personnel.”

The sanctions on Bensouda and Mochochoko implemented a sweeping executive order issued on June 11, 2020 by President Donald Trump. This order declared a national emergency and authorized asset freezes and family entry bans against ICC officials who were identified as being involved in certain activities. Earlier, the Trump administration had repeatedly threatened action to thwart ICC investigations in Afghanistan and Palestine. In a precursor step, in 2019, the Trump administration revoked the prosecutor’s US visa.

The following questions and answers discuss the Trump administration’s unprecedented authorization of a sanctions program aimed at undermining the work of the ICC.
Do u think and believe that writing in a foreign language will make ur point more meaningful? We andika tu kiswahili utaeleweka mzee. Kutumia lugha ya kigeni ni kuwabagua au kuwaweka pembeni baadhi ya wenzetu humu jukwaani ili wasiweze kuchangia.

Hatujasema ni kiwango gani cha Elimu kinatakiwa ili Hoja iwe na mashiko. Mbona hata PhD holders wanaweza kuongea utumbo?
 
Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague

Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita

Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu

Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!


Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo
Jiongopeeni tu na mtu ambaye kashikilia mikoba ya Nyuklia zikiwa deployed. Swala la raisi kutangaza vita ni kiasi cha kushika MiC tu kuwajulisha kuwa anaanza kuwatwanga bila huruma.
 
Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.

=====

Katika ya uamuzi wake, ICC imemtuhumu Rais wa Russia kuhusika na uhalifu wa kivita kutokana na kufanya uvamizi na kutwaa ardhi Nchini Ukraine ingawa Moscow imesema hatua hiyo haina maana yoyote.

View attachment 2555625

Pia, Hati ya Mahakama ya ICC imeeleza kuwa Rais Vladimir Putin aliagiza mashambulizi yaliyosababisha Watoto kuhamishwa kinyume cha Sheria pamoja na uhamisho usio halali wa Raia kutoka eneo la Ukraine na kuingia Nchini Urusi.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi Maria Zakharova amema "Maamuzi ya ICC hayana maana kwasababu Urusi haiko kwenye Mkataba wa Roma wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, hivyo haiwajibiki chini yake."
Hao ICC hawana adabu. Kwanza wangewakamata rais wa zamani wa marekani bush na waziri mkuu wa zamani wa uingereza blair kwa uharamia wao huko iraq syria na kwingine duniani. Kama ni marais kushitakiwa marais wa marekani na mawaziri wakuu wa uingereza ndio wangesongamana kwenye mahakama hiyo kujibu mashitaka.
 
Back
Top Bottom