Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague

Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita

Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu

Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!


Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo
Labda angukua Putin wa chato.
 
Boss, Mambo mengine bora kutokuhusisha MUNGU. Sasa ikitokea akakamatwa aliyemkamata ndo mungu wako? Maana ushasema ni mungu tu ndiye anayeweza. Usiweke imani kwa binadamu. Putin ni binadamu, walinzi wake ni binadamu. Kumkamata Putin ni jambo gumu linalowezekana. Watu wake tu wakimsaliti ugumu wa kumkamata unapungua.
Alafu watu wake wapo pamoja na Putin Kwa Sababu sio kwamba Putin anajifanyia Tu Mambo.
 
Umeacha wapi akili mkuu?
March 2024 uchaguzi mkuu Russia
Asilimia 90 ya warusi wanamuunga mkono Putin ebu tumia Akili hata kidogo.
Sio kweli vijana ambao ndio asilimia kubwa ya population hawataki vita wao na mama zao ambao ndio population kubwa ya Russia

Wanawake na vijana. vikongwe vizee vya communist era ambavyo ni vichache ndio vinaunga mkono hiyo vita
Hata nchi zetu vikongwe vya enzi za ujamaa wa Nyerere ndivyo vinamshabikia Putin
 
Kwa Sasa nasimama na Vladimir Putin. Siwezi kuwaunga mkono Mabeberu waliotutawala na kuiba Rasilimali zetu Kwa Karne nzima.
Nchi za magharibi ni wahuni na wauaji wakubwa Wa binadam hasa waafrika.

Hakuna Paka atakayethubutu kumkamata Rais Wa Urus. Putin Ana akili kubwa na anapigajia Taifa lake lisihujumiwe na kikundi Cha mashoga Wa nchi za magharibi.

Vita yoyote kati ya Mashariki na magharibi hakika magharibi watapigwa vibaya mno na hawataonekana Tena katika Ulimwengu Wa kiuchumi na kisiasa za Dunia.

Mungu hayupo Tena na nchi za magharibi.
Mashariki wamekua ni waungwana Hata Kwa matendo na wamesimama na kanuni za asili . Maovu waliyofanyia wazungu Kwa Ulimwengu Sasa Mwisho wake umewadia.
 
Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango.Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita. Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
🤣🤣🤣🤣🤣,Kanywe maji ulale kijana!
Haya mambo yamekuzidi uwezo!
 
Labda angukua Putin wa chato.
Stay tuned

Mimi vita ilipoanza tu day one nilisema Putin kakosea kuvamia wayahudi wa Ukraine. kitachomkuta mrusi atajuta kuanzisha hiyo VITA kuwa hakushauriwa vizuri.

Nilizomewa humu hadi nyuzi zangu zingine zilifutwa

Kiko wapi Mwaka wa Pili Urusi yuko vitani kachoka mbaya
Stay tuned utaona kitakachomkuta Putin
 
March 2024 uchaguzi mkuu Russia watu waRu

Sio kweli vijana ambao ndio asilimia kubwa ya population hawataki vita wao na mama zao ambao ndio population kubwa ya Russia

Wanawake na vijana. vikongwe vizee vya communist era ambavyo ni vichache ndio vinaunga mkono hiyo vita
Hata nchi zetu vikongwe vya enzi za ujamaa wa Nyerere ndivyo vinamshabikia Putin
Acha uongo
 
Alafu watu wake wapo pamoja na Putin Kwa Sababu sio kwamba Putin anajifanyia Tu Mambo.
Kuhusu watu wake siwezi kataa wala kubali. Binadamu ni kiumbe complicated sana. Leo mpo pamoja kesho ni adui yako. Inawezekana leo upo sahihi ila hatujui kama kesho usahihi utaendelea kuwepo.
 
Kuhusu watu wake siwezi kataa wala kubali. Binadamu ni kiumbe complicated sana. Leo mpo pamoja kesho ni adui yako. Inawezekana leo upo sahihi ila hatujui kama kesho usahihi utaendelea kuwepo.
Wazungu anaweka maslahi ya nchi mbele kila mara.
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Mchambuzi wa mambo ya kivita. [emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom