Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.

=====

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin.

520BBBCB-F282-416D-8916-7B30EBA63838.jpeg


Mahakama ya ICC inadai kuwa anahusika na uhalifu wa kivita, ikiwa ni pamoja na kuwahamisha watoto kutoka Ukraine kwenda Urusi kinyume cha sheria.

Inasema uhalifu huo ulifanyika nchini Ukraine kuanzia tarehe 24 Februari 2022 - wakati Urusi ilipoanzisha uvamizi wake kamili.

Moscow imekanusha madai ya uhalifu wa kivita wakati wa uvamizi huo.

BBC
Hii mahakama ya kidwanzi ilishindwa kuwakamata wanajeshi wa marekani kwa uhalifu wa kivita baada ya marekani kuwatishia kuwa itawawekea vikwazo so ni kibogoyo tu haina hata makali.
 
Tunasubir mwanaume wa kuingia Russia na kumkamata. Kutoa tamko sio shida.
Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango. Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita.

Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
 
Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.

=====

Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin.

520BBBCB-F282-416D-8916-7B30EBA63838.jpeg


Mahakama ya ICC inadai kuwa anahusika na uhalifu wa kivita, ikiwa ni pamoja na kuwahamisha watoto kutoka Ukraine kwenda Urusi kinyume cha sheria.

Inasema uhalifu huo ulifanyika nchini Ukraine kuanzia tarehe 24 Februari 2022 - wakati Urusi ilipoanzisha uvamizi wake kamili.

Moscow imekanusha madai ya uhalifu wa kivita wakati wa uvamizi huo.

BBC
Huyu ni muhalifu wa kupigwa Vita na kila mpenda amani
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Kweli?
 
Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango.Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita. Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.

Ndugu yangu unaandika ukiwa na akili timamu kichwani?? . Putin anaweza kwenda pale London na hakuna wa kumdaka hata mmoja.
 
Hii mahakama ya kidwanzi ilishindwa kuwakamata wanajeshi wa marekani kwa uhalifu wa kivita baada ya marekani kuwatishia kuwa itawawekea vikwazo so ni kibogoyo tu haina hata makali.
OK; Sasa ni zamu ya Putin kusurrender au kukimbilia Uhamishoni kama alivyomtishia Zele eti nakupa 72 hrs. utekelezaji ufanyike chap. na mavifaru yake yenye nembo ya Z mlolongo km 64. Sasa kibao kimegeuka kwani atawindwa na wabobezi wa kimataifa(Interpol) mataifa 194. Kazi anayo.
 
Back
Top Bottom