passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Hakuna dunia hii anayeweza Kumkamata Putin usipokuwa Mungu Tu.Hii shughuli karibia inafika mwisho.
Mbwa kala Mbwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna dunia hii anayeweza Kumkamata Putin usipokuwa Mungu Tu.Hii shughuli karibia inafika mwisho.
Mbwa kala Mbwa.
Sio lazima.Ajabu ni kuwa USA sio mwanachama
Hii mahakama ya kidwanzi ilishindwa kuwakamata wanajeshi wa marekani kwa uhalifu wa kivita baada ya marekani kuwatishia kuwa itawawekea vikwazo so ni kibogoyo tu haina hata makali.Majaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.
=====
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin.
![]()
Mahakama ya ICC inadai kuwa anahusika na uhalifu wa kivita, ikiwa ni pamoja na kuwahamisha watoto kutoka Ukraine kwenda Urusi kinyume cha sheria.
Inasema uhalifu huo ulifanyika nchini Ukraine kuanzia tarehe 24 Februari 2022 - wakati Urusi ilipoanzisha uvamizi wake kamili.
Moscow imekanusha madai ya uhalifu wa kivita wakati wa uvamizi huo.
BBC
Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango. Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita.Tunasubir mwanaume wa kuingia Russia na kumkamata. Kutoa tamko sio shida.
Huyu ni muhalifu wa kupigwa Vita na kila mpenda amaniMajaji wa mahakama ya kimataifa (ICC),imetoa hati ya kukamatwa popote atakapopatikana rais wa urusi Vladimir Putin.
=====
Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa kivita (ICC) imetoa hati ya kukamatwa kwa Rais wa Urusi Vladimir Putin.
![]()
Mahakama ya ICC inadai kuwa anahusika na uhalifu wa kivita, ikiwa ni pamoja na kuwahamisha watoto kutoka Ukraine kwenda Urusi kinyume cha sheria.
Inasema uhalifu huo ulifanyika nchini Ukraine kuanzia tarehe 24 Februari 2022 - wakati Urusi ilipoanzisha uvamizi wake kamili.
Moscow imekanusha madai ya uhalifu wa kivita wakati wa uvamizi huo.
BBC
Kweli?Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague
Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Ni shida aisee kwani wamemwondolea kinga. Maana yake kwa sasa Putin hana Immunity tena. Yani CD4 zimeshuka chini kabisa ya kiwango.Ugonjwa wowote, hijack, assassination na watu wake watamwepuka au kumsaliti bila kikwazo, personaly kisaikolojia atakuwa na wasiwasi mkubwa zaidi juu ya uhai wake - Atakosa muda wa kufikiria vita. Anaweza kupatwa na kiharusi, shinikizo la damu, moyo au kukimbilia mafichoni kwa usalama zaidi n.k.
Huyu ni muhalifu wa kupigwa Vita na kila mpenda amani
OK; Sasa ni zamu ya Putin kusurrender au kukimbilia Uhamishoni kama alivyomtishia Zele eti nakupa 72 hrs. utekelezaji ufanyike chap. na mavifaru yake yenye nembo ya Z mlolongo km 64. Sasa kibao kimegeuka kwani atawindwa na wabobezi wa kimataifa(Interpol) mataifa 194. Kazi anayo.Hii mahakama ya kidwanzi ilishindwa kuwakamata wanajeshi wa marekani kwa uhalifu wa kivita baada ya marekani kuwatishia kuwa itawawekea vikwazo so ni kibogoyo tu haina hata makali.
Ukitumia akili ya CHAWA WA MAMA huwezi kuona hili, utaishia kusema "Mama hana baya, atatawala zaidi ya miaka 1,000"Basi wewe ni kipofu
Hata wao wanajua hawana uwezo wa kumkamata.Hakuna dunia hii anayeweza Kumkamata Putin usipokuwa Mungu Tu.
Putin ni kidagaa pia ?...Icc nao wapuuzi tu hawana jipya!! Wana nyavu za kuvua vidagaa tu, big fish hawatawaweza