Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Mahakama ya Kimataifa ya ICC yatoa hati ya kukamatwa kwa Rais Vladmir Putin wa Urusi

Hakuna dunia hii anayeweza Kumkamata Putin usipokuwa Mungu Tu.
Boss, Mambo mengine bora kutokuhusisha MUNGU. Sasa ikitokea akakamatwa aliyemkamata ndo mungu wako? Maana ushasema ni mungu tu ndiye anayeweza. Usiweke imani kwa binadamu. Putin ni binadamu, walinzi wake ni binadamu.

Kumkamata Putin ni jambo gumu linalowezekana. Watu wake tu wakimsaliti ugumu wa kumkamata unapungua.
 
Nan atamfunga paka kengele
Mkuu hilo lisikupe shida - Usihofu. Wewe subiri tu kwa muda utaona kama ulivyoshuhudia wababe kama Saddam Hussein na wenzake kina Osama n.k. watu wa aina hiyo walivyoshughulikiwa.

Ingekuwa ni huku kijijini kwetu, unaweza kumbonda na rungu halafu ukishtakiwa unajitetea "Nilikuwa nataka asiweze kukimbia ili akamatwe na sungusungu" na kesi yako inakwisha.
 
Boss, Mambo mengine bora kutokuhusisha MUNGU. Sasa ikitokea akakamatwa aliyemkamata ndo mungu wako? Maana ushasema ni mungu tu ndiye anayeweza. Usiweke imani kwa binadamu. Putin ni binadamu, walinzi wake ni binadamu. Kumkamata Putin ni jambo gumu linalowezekana. Watu wake tu wakimsaliti ugumu wa kumkamata unapungua.
Putin kwa sasa atajilinda mno asipoteze madaraka, maana ndio njia pekee ya kujihakikishia usalama wake.
 
Vita part two wanawapa mwanya magenerali wa kirusi kupindua Russia kwa kumkamata kuwa wasipate shida wakimpindua kuwa wampeleke wapi ni the Hague

Hadi hilo tamko kutolewa ina maana assessment ya vita inaonyesha mwelekeo mzuri wa Putin kuchokwa ndani ya Russia kwenye inner circle za chama tawala na jeshi
Hahaahahaaaa,Moscow wameiita hiyo warrant ", meaningless"!
Hiyo warrant mpaka Putin anaingia kaburini haitafanya kazi!
 
Hakuna wa kumkamata.
Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague

Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita

Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu

Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!


Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo
 
Boss, Mambo mengine bora kutokuhusisha MUNGU. Sasa ikitokea akakamatwa aliyemkamata ndo mungu wako? Maana ushasema ni mungu tu ndiye anayeweza. Usiweke imani kwa binadamu. Putin ni binadamu, walinzi wake ni binadamu. Kumkamata Putin ni jambo gumu linalowezekana. Watu wake tu wakimsaliti ugumu wa kumkamata unapungua.
Nakazia: Putin anao maadui wengi 1.Ndani ya Urusi, 2. Nje ya Urusi(kimataifa) na 3. Hata mazingira yake nayo kwa sasa sio salama kwake.
 
Hao ICC ni mbwa asiye na meno Kwa giants!Tujikumbushe pale ICC walipotaka kuchunguza war crimes za US huko Afghan na pia uhalifu wa Israel dhidi ya Palestina!
On September 2, 2020, the United States government imposed sanctions on the International Criminal Court (ICC) prosecutor, Fatou Bensouda, and another senior prosecution official, Phakiso Mochochoko. In addition, US Secretary of State Michael Pompeo announced that the United States had restricted the issuance of visas for certain unnamed individuals “involved in the ICC’s efforts to investigate US personnel.”

The sanctions on Bensouda and Mochochoko implemented a sweeping executive order issued on June 11, 2020 by President Donald Trump. This order declared a national emergency and authorized asset freezes and family entry bans against ICC officials who were identified as being involved in certain activities. Earlier, the Trump administration had repeatedly threatened action to thwart ICC investigations in Afghanistan and Palestine. In a precursor step, in 2019, the Trump administration revoked the prosecutor’s US visa.

The following questions and answers discuss the Trump administration’s unprecedented authorization of a sanctions program aimed at undermining the work of the ICC.
 
Uchaguzi mkuu Russia ni mwakani March 2024
The Hague hawajawahi kamata mtu wananchi na wanajeshi ndio hukamata na kupeleka the Hague

Warusi wenyewe watamkamata na kumpeleka wamechoka vita

Atashikwa kama kuku wa mdondo watu wachukue nafasi yake March 2024 uchaguzi mkuu

Imefanywa calculation kuwa Putin atqjidai ohh hakuna uchaguzi sababu nchi iko vitqni hivyo niendelee!!!


Tamko la mahakama limetolewa at the right time Putin analo
Asilimia 90 ya warusi wanamuunga mkono Putin ebu tumia Akili hata kidogo.
 
Mkuu hilo lisikupe shida - Usihofu. Wewe subiri tu kwa muda utaona kama ulivyoshuhudia wababe kama Saddam Hussein na wenzake kina Osama n.k. watu wa aina hiyo walivyoshughulikiwa.
Ingekuwa ni huku kijijini kwetu, unaweza kumbonda na rungu halafu ukishtakiwa unajitetea "Nilikuwa nataka asiweze kukimbia ili akamatwe na sungusungu" na kesi yako inakwisha.
Mbona akina obama, bush hawajafunguliwa kesi? Au uhalifu wa libya na iraq sio uhalifu?
 
Boss, Mambo mengine bora kutokuhusisha MUNGU. Sasa ikitokea akakamatwa aliyemkamata ndo mungu wako? Maana ushasema ni mungu tu ndiye anayeweza. Usiweke imani kwa binadamu. Putin ni binadamu, walinzi wake ni binadamu. Kumkamata Putin ni jambo gumu linalowezekana. Watu wake tu wakimsaliti ugumu wa kumkamata unapungua.
Narudia Tu anayeweza Kumkamata Putin ni Mungu tu.hawawezi kumkata isipokuwa Kwa idhini ya Mungu Tu.
 
Back
Top Bottom