econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
ikitokea kapanick anarusha makombora kwa wanaotaka kumkamata lawama zitakuwa juu ya nani
Lawama kwake, kwanini arushe makombora hovyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ikitokea kapanick anarusha makombora kwa wanaotaka kumkamata lawama zitakuwa juu ya nani
Hizo ni Propaganda tu Za kumchafua putin hazina maana yoyote
Hata asiposhinda uchaguzi cha msingi atakayeshika nchi ampe support
Teh mrusi mwenyewe anawashangaa maana hio mahakama hata haimhusu
Kivipi icc wana issue rest warranty kumkamata putin wakati Russia sio signatory wa hiyo mahama ?Hii imeakaje?
Kazi sasa ndio imeanza ukisha wekewa hati ya kukamatwa maana yake huna thamani ktk jamii na Taifa lako. Wachambuzi wa mambo wanasema Putin. Mwenyewe anajuwa siku zake zipo ukingoni kama all Dictator.
Tayari hata watu wake wakaribu wanajuwa sasa hiki ni kimavi na akitoka yeye na sisi lazima tuumie je tuumie wote na Taifa au tumtoe kafara. Bila shaka watamtoa kafara. Let us keep monitoring
Hiyo mahakama imekaa kizushi sana. Toka kuanzishwa wanadai ni viongozi kama 40 wa Kiafrika wamekamatwa, labda na Yugoslavia basi. Hakuna toka Ulaya magharibi!
Bush, Obama, Blair na hata wa toka France walitakiwa wakamatwe.
Undorobo uliojaa ujinga, kupumbazana, ubaguzi na utoto uliopitiliza!
Jamaa wanafikiri the rest the of the world ni wajinga?!
😀😀😀😀😀Ndio wameanza na Putin, wengine watafuatia.
Upande huu hawafui dafu...... Kama wanaweza wasogee Yuko paleee
Sudan ni Nuclear Power? 🤣Sio lazima uwe mwanachama, refer case ya Albashir.
Iraq ilikuwa na Nuclear Powers? 🤣Hata Sadam ilianza hivi. Kiutani lakini alinyongwa hadharani nchini kwake.
Icc hamna kitu kabisa mbele ya mwamba
Amini kwamba hawana cha kumfanya. Na ataenda hata Marekani akitaka 🤣🤣🤣Putin kupewa warrant ni doa kwake.
Ishaisha mbina coz 3/4 ya wanajeshi wa ukraine wamegeuzwa mbolea, ana wanajeshi wachache sana, na wanajificha hospitalini, vyuoni, ili wasipigwe huku wakishambulia tokea humoHii shughuli karibia inafika mwisho.
Mbwa kala Mbwa.
Walimshindwa Kenyatta,watamuweza Putin[emoji1787]
Sudan ni Nuclear Power? 🤣
Ishaisha mbina coz 3/4 ya wanajeshi wa ukraine wamegeuzwa mbolea, ana wanajeshi wachache sana, na wanajificha hospitalini, vyuoni, ili wasipigwe huku wakishambulia tokea humo
Basi jibu unalo mzee, hata mtaani kwako ukijulikana unamiliki bunduki huwezi kusikia vibaka wanaisogelea nyumba yako. Wataibia majirani tu kila siku.