Aliyezini na mwanamke umemwacha umemleta mwanamke tu alafu unamuuliza Yesu tumemkuta akizini na sheria ya musa inatuambia tumpige mawe hadi kufa.mwanaume aliyezini yupo wapi?. Walichokifanya hawa hakuna tofauti na nyinyi. Unataja kuuwa na ujamleta muuwaji Mahakamani. Watenda HAKI WOTE SWALI LETU NI MOJA TU ALIYEUWA YUPO WAPI?. Tunataja MUNGU uku tunamlinda muuwaji. Pole aqwilina rip hukumu ya aliyekuuwa ni leo ila aliyekupiga risasi na kukuuwa wanamlinda asiguswe eti ahusiki. Damu yako ilie mbele za Mungu idai haki ya uhai wako katika mikono ya aliyekuuwa.