Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,007
Wasema membe katumwa na CHADEMASio watawasingizia CHADEMA, hilo zigo atatwishwa Membe wakishindwa wa kumpa kesi basi inaishia hewani.
Mashinji naye anaenda ndani!Psychological torture, kesi za kutengenezwa huwa ni ngumu sana kuzihukumu.Dalili zinaonyesha kuwa Mashinji ataachiwa huru ila hao wengine?
Mambo kama haya ndiyo huanzisha hasira dhidi ya watawala.Tujisahihishe.
Kosa la kuandamana bila kibali adhabu yake ni kifungo au faini.Dah wanaenda jela mkuu, tena mbaya zaidi Mbowe kaongezewa na kosa moja zaidi ya wenzake!
Maneno mazuri ya faraja,tunaomba updates Kamanda.Na Malisa GJ
Maombi yetu ni juu yenu. Najua watesi wenu wanajua kwamba hamkumuua Aquilina ila Polisi ndio waliomuua. Watesi wenu pia wanajua hamkuanzisha vurugu isipokua polisi ndio walianzisha. Ninyi mlikua mnatembea kwa amani kwenda ofisi za mkurugenzi ili kumuuliza kwanini alikataa kuwaapisha mawakala wa Chadema. Na matembezi yenu yalikua ya amani hadi pale polisi walipoingilia na silaha za moto kusababisha vurugu. Kwa nchi zilizoendelea Polisi ndio walipaswa kushtakiwa si ninyi.
Zipo taarifa kuwa kuna MAAGIZO KUTOKA JUU kuwa ni lazima mfungwe. Msivunjike moyo, hata wakiwafunga haiwezi kuzuia kelele za kudai haki. Mandela alifungwa miaka 27, lakini haikumzuia kudai uhuru wa Afrika kusini kutoka kwa makaburu.
Your pain,
Yet more my pain,
Shall suffocate oppression.
Your blood,
Yet more my blood,
Shall irrigate our victory.!
----------
Up dates
Halafu akishakula mvua maisha yako yatabadilika utaongezewa mshahara au biashara yako itaboresheka kwa kupunguziwa kodi au bei ya mazao yako itaongezeka?Liwe lisiwe lazima mbowe ale mvua hapo wengine watapata unafuu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Timizeni mlichokusudia kwani wao wanafahamu kila kitu. Wameshajiandaa kisaikolojia. Ila kumbukeni kutunza kumbu kumbu.Halafu hawa ndio wote wale vimbelembele. Hapo kina prof J hawapo, kina Lijualikali hawapo, kina Joyce Mukya wabunge wa miaka nenda rudi hawapo. Ukiangalia wabunge wengi hapa ni walamba miguu wa mbowe. Hufanya vitu ili kumfurahisha mwenyekiti. Lema sijui kwa nini hakuwepo. Yule mzee wa machale sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbowe akila mvua ndio Mumeo atafanikiwa kukutia Mimba ?Liwe lisiwe lazima mbowe ale mvua hapo wengine watapata unafuu kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Asipotiwa mvua ndio hatamtia mimba?Mbiwe akila mvua ndio Mumeo atafanikiwa kukutia Mimba ?
Sent from my SM-A207F using Tapatalk
Inaonekana Mbowe kuwa uraiani inasababisha huyu Dada hanasi MimbaAsipotiwa mvua ndio hatamtia mimba?
Senti bai yuzingi tecno T301
Hebu fafanua; Haki itajulikanaje kuwa imetendeka? Mahakama kila siku huhukumu kwa haki hivyo kitakachohukumiwa pale ni haki tuMungu asimamie haki itendeke!
Wakati huu wa Kwaresma tunajikumbusha mengi kuhusu Wanasheria na yule Yuda aliyesaliti PIA Petro aliyekana!
Hata kama ni chuki mkuu,punguza aina ya maneno ya kuyatumia dhidi ya kiongozi mkuu wa nchi. Ni rais wetu,ni baba,babu. Achana na lugha zisizofaa hata kwa mtu usiyempenda. Kumbuka wote sisi ni binadamu.Tanzania awamu hii tuseme ni bahati mbaya tulichagua kiongozi mkuu mpuuzi,muuaji,dikiteta,hasidi,firauni,mbinafsi,mzandiki,muongo,fisadi ,mwizi,mkabila na mwendawazimu........yote haya tunamuachia mungu!
Ikitokea Mwenyekiti kafungwa, Makamu mwenyekiti yuko nje ya nchi hajalikani atarudi lini, Katibu naye akafungwa, Mwenyekiti wa BAWACHA naye akafungwa wajumbe wengine wa Kamati kuu nao wakafungwa hicho chama kitaitisha uchaguzi mkuu au kitaendelea kuwepo bila viongozi wakuu?Na Malisa GJ
Maombi yetu ni juu yenu. Najua watesi wenu wanajua kwamba hamkumuua Aquilina ila Polisi ndio waliomuua. Watesi wenu pia wanajua hamkuanzisha vurugu isipokua polisi ndio walianzisha. Ninyi mlikua mnatembea kwa amani kwenda ofisi za mkurugenzi ili kumuuliza kwanini alikataa kuwaapisha mawakala wa Chadema. Na matembezi yenu yalikua ya amani hadi pale polisi walipoingilia na silaha za moto kusababisha vurugu. Kwa nchi zilizoendelea Polisi ndio walipaswa kushtakiwa si ninyi.
Zipo taarifa kuwa kuna MAAGIZO KUTOKA JUU kuwa ni lazima mfungwe. Msivunjike moyo, hata wakiwafunga haiwezi kuzuia kelele za kudai haki. Mandela alifungwa miaka 27, lakini haikumzuia kudai uhuru wa Afrika kusini kutoka kwa makaburu.
Your pain,
Yet more my pain,
Shall suffocate oppression.
Your blood,
Yet more my blood,
Shall irrigate our victory.!
----------
Up dates